Ukweli wa kuzimika kwa taa za uwanja wa Benjamin Mkapa

Ukweli wa kuzimika kwa taa za uwanja wa Benjamin Mkapa

changaule na nguvu kama mko Dar na kama mtakuwepo taifa siku ya mechi ya Yanga bc naomba tuwasiliane. Kuna mengine siwezi kuyasema hapa hvy nataka nikawaonyeshe kabisa ili mjue naelewa nnachokiandika hapa.
Sijabisha kuwa Azam hazalishi yale matangazo kwakuwa sina ushahidi na hilo Ila nakuhakikishia Azam hana haki ya kurusha matangazo yale
 
Kwahy zbc ndo wanafanya production [emoji23][emoji23] ligi ya Zanzibar tuu inawashinda ndo waje wafanye za caf [emoji23]
Zbc wamepewa haki ya matangazo ila production wanafanya kampuni iliyopewa tender na CAF. Kama nilivyokuonesha hapo juu screenshot. Productions zote zinafanywa na kampuni iliyopewa tenda na CAF ili kufanya ubora wa kazi kuwa ni ule ule. Zbc kapewa tu haki ya matangazo. Na Azam anafanya production kwenye vimechi vya hatua ya awali tu ila kwanzia makundi ni wenyewe Caf kupitia kampuni iliyopewa kazi.

 
Zbc wamepewa haki ya matangazo ila production wanafanya kampuni iliyopewa tender na CAF. Kama nilivyokuonesha hapo juu screenshot. Productions zote zinafanywa na kampuni iliyopewa tenda na CAF ili kufanya ubora wa kazi kuwa ni ule ule. Zbc kapewa tu haki ya matangazo. Na Azam anafanya production kwenye vimechi vya hatua ya awali tu ila kwanzia makundi ni wenyewe Caf kupitia kampuni iliyopewa kazi.

Ndio maana nikasema kwenye mechi ya Yanga uje nikupe ushahidi kuwa Azam ndie anafanya mechi zote bila kujali ni stage gani (sina uhakika kwenye fainali)
 
Kama ni zbc ndio wamepewa haki mbona hawafanyi Production wao zbc2.?
Ungetulia ungeeleweka badala yake unataka uonekane ndio una akili peke yako. Tender ya production na haki ya kuonyesha ni vitu sawasawa?

Mmoja ni kama mzalishaji mwingine mtoa huduma au msambazaji. Nami nakuuliza swali, Dstv ilivyoonyesha kombe la dunia hapa Southern Africa ndio ilikuwa na production uwanjani?
 
Sijabisha kuwa Azam hazalishi yale matangazo kwakuwa sina ushahidi na hilo Ila nakuhakikishia Azam hana haki ya kurusha matangazo yale
Inawezekana vipi ukanyimwa haki ya matangazo halafu uje upewe kazi ya uzalishaji?
 
Ungetulia ungeeleweka badala yake unataka uonekane ndio una akili peke yako. Tender ya production na haki ya kuonyesha ni vitu sawasawa?

Mmoja ni kama mzalishaji mwingine mtoa huduma au msambazaji. Nami nakuuliza swali, Dstv ilivyoonyesha kombe la dunia hapa Southern Africa ndio ilikuwa na production uwanjani?
Bc nadhani wengi wenu ndio hamnielewi na sio kwamba najiona mm ndie mwenye akili, Azam anafanya production halafu zbc2 anapewa 'feed' ambayo ndo kuyarusha hewani.
Sasa hapo kipi kisichoeleweka.?
 
Bc nadhani wengi wenu ndio hamnielewi na sio kwamba najiona mm ndie mwenye akili, Azam anafanya production halafu zbc2 anapewa 'feed' ambayo ndo kuyarusha hewani.
Sasa hapo kipi kisichoeleweka.?
Siku jaribu kuwa na tv mbili moja weka supersports na nyingine weka ZBC 2 kisha angalia kama matukio mfano replay, n k kama zitaenda sambamba au zitatofautiana.
 
Inawezekana vipi ukanyimwa haki ya matangazo halafu uje upewe kazi ya uzalishaji?
Nani atafanya production hapa Tanzania kama sio Azam? Au kampuni itoke nje na itoze gharama kubwa. Baada ya kuzalisha, kitu ambacho Azam wanajua na CV yao inaonyesha wanavyotumika kwenye ligi yetu ndipo inabaki nani anasambaza. Wanaotazama ni wengi na wenye uwezo wa kuonyesha ni wengi zaidi kuliko wenye uwezo wa production. Hapo ndio competition inakuja mwenye vigezo zaidi anapewa nafasi. Azam haitaki kulipa zaidi na haina coverage kubwa ukanda huu wa EA, kati na Kusini mwa Afrika. Hivyo hawawezi lipa hela ndefu kuingia hasara. Ndio hapo OP anadai waliingia ZBC2 kujiweka pale, Wazenji walivyo ile channel ingekuwa chini yao tusingekuwa na kitu pale
 
Siku jaribu kuwa na tv mbili moja weka supersports na nyingine weka ZBC 2 kisha angalia kama matukio mfano replay, n k kama zitaenda sambamba au zitatofautiana.
Azam production yao haina replay nyingi na slow motion na camera hazishiki angles nyingi. Pia hawaonyeshi sana upande wa mashabiki
 
Siku jaribu kuwa na tv mbili moja weka supersports na nyingine weka ZBC 2 kisha angalia kama matukio mfano replay, n k kama zitaenda sambamba au zitatofautiana.
Duh mkuu naona unataka kuleta mengine hapa, Kwahy hua kuna kampuni ngapi zinazofanya Production mechi ikiwa taifa.?
 
Nani atafanya production hapa Tanzania kama sio Azam? Au kampuni itoke nje na itoze gharama kubwa. Baada ya kuzalisha, kitu ambacho Azam wanajua na CV yao inaonyesha wanavyotumika kwenye ligi yetu ndipo inabaki nani anasambaza. Wanaotazama ni wengi na wenye uwezo wa kuonyesha ni wengi zaidi kuliko wenye uwezo wa production. Hapo ndio competition inakuja mwenye vigezo zaidi anapewa nafasi. Azam haitaki kulipa zaidi na haina coverage kubwa ukanda huu wa EA, kati na Kusini mwa Afrika. Hivyo hawawezi lipa hela ndefu kuingia hasara. Ndio hapo OP anadai waliingia ZBC2 kujiweka pale, Wazenji walivyo ile channel ingekuwa chini yao tusingekuwa na kitu pale
Azam production yao haina replay nyingi na slow motion na camera hazishiki angles nyingi. Pia hawaonyeshi sana upande wa mashabiki
Atleast nmepata mtu nnayezungumza nae lugha moja, yote uliyoandika hapo ni sahihi mkuu.
 
Nani atafanya production hapa Tanzania kama sio Azam? Au kampuni itoke nje na itoze gharama kubwa. Baada ya kuzalisha, kitu ambacho Azam wanajua na CV yao inaonyesha wanavyotumika kwenye ligi yetu ndipo inabaki nani anasambaza. Wanaotazama ni wengi na wenye uwezo wa kuonyesha ni wengi zaidi kuliko wenye uwezo wa production. Hapo ndio competition inakuja mwenye vigezo zaidi anapewa nafasi. Azam haitaki kulipa zaidi na haina coverage kubwa ukanda huu wa EA, kati na Kusini mwa Afrika. Hivyo hawawezi lipa hela ndefu kuingia hasara. Ndio hapo OP anadai waliingia ZBC2 kujiweka pale, Wazenji walivyo ile channel ingekuwa chini yao tusingekuwa na kitu pale
Kama kazi ya kufanya productions inaweza fanywa na Azam ina maana hata misri, Tunisia, Morocco, Algeria, na nchi zingine zinazojimudu wana vituo pia wanaoweza kufanya kazi kama vile ambavyo Azam anafanya.
Kama hizo kazi zinaweza kufanyika je wazabuni waliopewa tenda ya kufanya productions za michuano ya CAF kazi zao ni zipi?
 
Azam production yao haina replay nyingi na slow motion na camera hazishiki angles nyingi. Pia hawaonyeshi sana upande wa mashabiki
Azam hawana coverage ya Camera za kutosha kama makampuni makubwa kama supersports ndio maana ni rahisi kukosa baadhi ya matukio ya uwanjani. Wenzetu wana Camera zaidi ya 30 kwenye uwanja.
 
Kama kazi ya kufanya productions inaweza fanywa na Azam ina maana hata misri, Tunisia, Morocco, Algeria, na nchi zingine zinazojimudu wana vituo pia wanaoweza kufanya kazi kama vile ambavyo Azam anafanya.
Kama hizo kazi zinaweza kufanyika je wazabuni waliopewa tenda ya kufanya productions za michuano ya CAF kazi zao ni zipi?
Hizo nchi ulizotaja nao pia mechi ikiwa kwenye nchi zao kuna Media za kwenye hy nchi wanafanya production, kama Media ipo na haijakizi vigezo vya CAF hapo sasa ndio kampuni kutoka nje anaweza kwenda kuomba kufanya production. Kwa mfano, timu ya Kenya ikiwa kwenye mashindano ya CAF afu hakuna Media itakayokidhi vigezo vya CAF bc Azam au Media nyingine wenye uwezo wanaweza kwenda kuomba kufanya productions.
Kumbuka kwamba Media inayofanya Production ya mechi hizo huwa wanalipwa na CAF.
 
Azam production yao haina replay nyingi na slow motion na camera hazishiki angles nyingi. Pia hawaonyeshi sana upande wa mashabiki
Sawa, je kwa kwa mechi za Tanzania supersports production yao anachukulia wapi kama kuna utofauti. Kwa mechi ambazo zinafanyika nje ya Tanzania je ni Azam ndiye anayehusika na production au ni nani?
 
Sawa, je kwa kwa mechi za Tanzania supersports production yao anachukulia wapi kama kuna utofauti. Kwa mechi ambazo zinafanyika nje ya Tanzania je ni Azam ndiye anayehusika na production au ni nani?
Soma comment yangu hapo juu, comment namba 77
 
Azam anarusha mechi za kimataifa sikuhizi? Yaani alipie mechi ambayo haonyeshi ..how come?
Mechi za caf zinazoonyeshwa supersport zina uBora sana..sidhani kama azam wanauwezo wa kufikia kile kiwango....mechi za Ligi kuu zenyewe hazina ubora azam..mapungufu kibao...
 
Back
Top Bottom