Ukweli wa kuzimika kwa taa za uwanja wa Benjamin Mkapa

Ukweli wa kuzimika kwa taa za uwanja wa Benjamin Mkapa

Sawa, je kwa kwa mechi za Tanzania supersports production yao anachukulia wapi kama kuna utofauti. Kwa mechi ambazo zinafanyika nje ya Tanzania je ni Azam ndiye anayehusika na production au ni nani?
Kwenye televisheni Kuna kitu kinaitwa 'feed' kwamba production inafanywa na wengine ila ww ndie unarusha matangazo hayo.
Mfano, kwenye king'amuzi cha Azam Tv kwenye channel yao ya UTV channel namba 108 hua wanarusha mechi za EPL lkn sio wao wanaofanya production na hakuna utofauti na kwa anayeangalia hiyo mechi kupitia channel za supersports.
Mfano mwingine, kwenye ziara za rais Samia au mikutano ya bunge Production inafanywa na wengine afu Media ndio wanapewa hiyo 'feed' hvy hakuna Media kwenda na camera zao (ila kuna uwezekano wa Media kupeleka Camera zao lkn hua wanapewa limit kama wakipeleka camera zao wenyewe)

Mkuu changaule pamoja na wengineo kama mpaka hapa hamjanielewa aisee bc imetosha kuwaelewesha.
 
Hizo nchi ulizotaja nao pia mechi ikiwa kwenye nchi zao kuna Media za kwenye hy nchi wanafanya production, kama Media ipo na haijakizi vigezo vya CAF hapo sasa ndio kampuni kutoka nje anaweza kwenda kuomba kufanya production. Kwa mfano, timu ya Kenya ikiwa kwenye mashindano ya CAF afu hakuna Media itakayokidhi vigezo vya CAF bc Azam au Media nyingine wenye uwezo wanaweza kwenda kuomba kufanya productions.
Kumbuka kwamba Media inayofanya Production ya mechi hizo huwa wanalipwa na CAF.
Mnachanganya mambo aisee, hao wataomba tu haki ya matangazo kwaajili ya kurusha ila production wanafanya walioingia zabuni na CAF. Kazi ya hao waliopewa ni kuandaa productions kisha vituo vya tv kazi yao ni kupewa haki ya kurusha.
IMG_20230502_231120.jpg
IMG_20230502_231600.jpg
 
Azam anarusha mechi za kimataifa sikuhizi? Yaani alipie mechi ambayo haonyeshi ..how come?
Mechi za caf zinazoonyeshwa supersport zina uBora sana..sidhani kama azam wanauwezo wa kufikia kile kiwango....mechi za Ligi kuu zenyewe hazina ubora azam..mapungufu kibao...
Soma comment mzee wangu
 
Mnachanganya mambo aisee, hao wataomba tu haki ya matangazo kwaajili ya kurusha ila production wanafanya walioingia zabuni na CAF. Kazi ya hao waliopewa ni kuandaa productions kisha vituo vya tv kazi yao ni kupewa haki ya kurusha. View attachment 2607840View attachment 2607848
Mkuu nimechoka kukuelewesha, kwenye mechi ya Yanga naomba uje afu nikupeleke kwa wanaofanya production.
Nmemaliza.
 
Mkuu nimechoka kukuelewesha, kwenye mechi ya Yanga naomba uje afu nikupeleke kwa wanaofanya production.
Nmemaliza.
Anza kwa kunielewesha hao waliopewa tender wamepewa tender ya kufanya kazi ipi za CAF? na kikomo chao cha kazi ni wapi?
 
Nani atafanya production hapa Tanzania kama sio Azam? Au kampuni itoke nje na itoze gharama kubwa. Baada ya kuzalisha, kitu ambacho Azam wanajua na CV yao inaonyesha wanavyotumika kwenye ligi yetu ndipo inabaki nani anasambaza. Wanaotazama ni wengi na wenye uwezo wa kuonyesha ni wengi zaidi kuliko wenye uwezo wa production. Hapo ndio competition inakuja mwenye vigezo zaidi anapewa nafasi. Azam haitaki kulipa zaidi na haina coverage kubwa ukanda huu wa EA, kati na Kusini mwa Afrika. Hivyo hawawezi lipa hela ndefu kuingia hasara. Ndio hapo OP anadai waliingia ZBC2 kujiweka pale, Wazenji walivyo ile channel ingekuwa chini yao tusingekuwa na kitu pale

Kwahiyo unamaanisha unschokiona kwenye ZBC2 ndio vile vile kinachonekana kwenye supersports? Kama ni tofauti je supersport wanatoa wapi production chukulia mechi zinazochezwa hapa Dar
 
Ndivyo ilivyo mkuu, Azam amepewa tenda ya kufanya mechi zote za CAF zinazofanyika taifa.
Kwahiyo unataka kusema supersport nae anachukua kutoka kwenye production iliyofanywa na Azam?
 
Anza kwa kunielewesha hao waliopewa tender wamepewa tender ya kufanya kazi ipi za CAF? na kikomo chao cha kazi ni wapi?
Siwezi kuendelea kukuelewesha mana umechagua kutokuelewa, ndio maana nakuambia uje taifa siku hiyo

Kwahiyo unamaanisha unschokiona kwenye ZBC2 ndio vile vile kinachonekana kwenye supersports? Kama ni tofauti je supersport wanatoa wapi production chukulia mechi zinazochezwa hapa Dar
Nmekuuliza Kwahy wanaofanya production ni kampuni mbili tofauti ndani ya uwanja mmoja ila naona unajifanya huoni hilo swali.
 
Kwahiyo unataka kusema supersport nae anachukua kutoka kwenye production iliyofanywa na Azam?
Ndio wanachukua kutoka Azam kama vilevile Azam wanavochukua na kuonyesha mechi za EPL kupitia channel yao ya UTV.
 
Mnachanganya mambo aisee, hao wataomba tu haki ya matangazo kwaajili ya kurusha ila production wanafanya walioingia zabuni na CAF. Kazi ya hao waliopewa ni kuandaa productions kisha vituo vya tv kazi yao ni kupewa haki ya kurusha. View attachment 2607840View attachment 2607848
Mkuu hivi unajua kuwa Azam tv kupitia channel yao ya UTV wanarusha mechi za EPL.?
 
Watu humu ni wabishi knoma ety inakuaje Azam sio wanaorusha hizo mechi ila ni zbc2 ndie anarusha, mbona hamshangai UTV channel ya azam kuonyesha mechi za EPL.?
 
BONGO UKIZUBAA KIDOGO UNALIWA, NOBODY CARES, NOBODY IS PATRIOT.
 
Inawezekana vipi ukanyimwa haki ya matangazo halafu uje upewe kazi ya uzalishaji?
Azam hajanyimwa haki ya kuonyesha bali hakuomba haki za kuonyesha, kuhusu kuzalisha Azam alifatwa akapewa dili na kulipa pesa kwa kazi hiyo, akitaka kuonyesha nae akaombe kibali caf na alipe pesa. This is business bro
 
Zbc wamepewa haki ya matangazo ila production wanafanya kampuni iliyopewa tender na CAF. Kama nilivyokuonesha hapo juu screenshot. Productions zote zinafanywa na kampuni iliyopewa tenda na CAF ili kufanya ubora wa kazi kuwa ni ule ule. Zbc kapewa tu haki ya matangazo. Na Azam anafanya production kwenye vimechi vya hatua ya awali tu ila kwanzia makundi ni wenyewe Caf kupitia kampuni iliyopewa kazi.

Kwani haiwezekani hiyo kampuni kwa mechi za dar akamtumia Azam kupunguza gharama?
 
Ndio maana nikasema kwenye mechi ya Yanga uje nikupe ushahidi kuwa Azam ndie anafanya mechi zote bila kujali ni stage gani (sina uhakika kwenye fainali)
Zile hatua za awali caf haingilii haki za kuonyesha ni timu tu inakubaliana na Azam wanajua wanavyolipana, ikifika group stage caf anachukua haki zote za kuonyesha mechi kwahiyo hapo yeye(caf) ndio anamtafuta mzalishaji sasa inawezekana huyo mzalishaji kwa mechi za dar anamtumia Azam, Ila Azam kama Azam hana dili na caf la kuzalisha matangazo yake
 
Siwezi kuendelea kukuelewesha mana umechagua kutokuelewa, ndio maana nakuambia uje taifa siku hiyo


Nmekuuliza Kwahy wanaofanya production ni kampuni mbili tofauti ndani ya uwanja mmoja ila naona unajifanya huoni hilo swali.
Sasa kama production inafanywa na kampuni moja pekee ambayo ni Azam, kwanini unachokiangalia kwenye supersports kiwe tofauti na unachokiona kwenye ZBC2 wakati production imefanyika na huyo huyo Azam?
 
Kwani haiwezekani hiyo kampuni kwa mechi za dar akamtumia Azam kupunguza gharama?
Ndio maana nikauliza swali, mechi za hapa Dar ukiangalia kwenye supersports na ZBC2 zina mfanano wa matukio na ubora wa urushwaji? Kama hakuna kampuni zingine zinazofanya production zaidi ya Azam ina maana kitakachorushwa kwa supersport na ZBC2 itakuwa inafanana kila kitu. Kama hakuna mfanano wa ubora wa matangazo inamaana supersport hachukui product ya Azam
 
Back
Top Bottom