Ukweli wa kuzimika kwa taa za uwanja wa Benjamin Mkapa

Ukweli wa kuzimika kwa taa za uwanja wa Benjamin Mkapa

Huo mpunga wa Azam mbona unanunua generator jipya brand yoyote ya 500kVA na mafuta ya saa 24 kwa mwezi mzima bila kulizima.

500kVA diesel generator ½ load ni 65l/h.

65×24×30×3100=145,080,000.

Mwezi mzima bila kulizima saa 24 ni 145M.
Je hilo Genereta la 500kVA lina uwezo wa kuendesha hizo taa za uwanja wa taifa, vp pale azam complex chamazi jenereta yao ina uwezo gani tupate ufafanuzi
 
Mimi ninacho kujua
Simba ikicheza ule uwanja inatosha Lita 40 za mafuta.

Inatosa asilimia za uwanja. Kwenye get collection nknk.....

Hiyo ya Azam nae kama anatoa Hiyo Fedha Sina uhakika coz Azam haonyeshi Mechi za CAF...

ANYWAY NGOJA NIFANYE UTAFITI.
Labda kama Azam kapewa tenda ya kupiga picha mechi za caf zinazofanyika taifa
Azam hawaonyeshi mechi za CAF.? 😂 Kwahy mechi za CAF zinazofanyika Benjamin Mkapa hua zinafanywa na Media gani.?
 
Sawa tunakubaliana na wewe kwa upande mmoja je kama wanakula hela izo mbona takukuru haijatumwa apo kufanya uchunguzi
 
ILE MECHI TULIANGALIA ZBC2 Sasa Azam kaingiaje apo emu nieleweshen
Kadanganya hapo. CAF ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi za CAF. Sasa CAF ndio hutoa tenda kwa kampuni kurusha mechi hizo, inawezekana AZAM akapewa au kampuni nyingine.

Na ndio maana hata CAF alikataza local redio kurusha matangazo ya mashindano ya CAF.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kadanganya hapo. CAF ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi za CAF. Sasa CAF ndio hutoa tenda kwa kampuni kurusha mechi hizo, inawezekana AZAM akapewa au kampuni nyingine.

Na ndio maana hata CAF alikataza local redio kurusha matangazo ya mashindano ya CAF.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Sasa unaona umeandika cha maana hapa.? Ww mwenyewe umesema CAF ndio wanaotoa tenda na ni Azam ndo mhusika kwa mechi zote zinazochezwa hapa Tz. Sasa uongo wangu ni upi hapo.?
 
Kadanganya hapo. CAF ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi za CAF. Sasa CAF ndio hutoa tenda kwa kampuni kurusha mechi hizo, inawezekana AZAM akapewa au kampuni nyingine.

Na ndio maana hata CAF alikataza local redio kurusha matangazo ya mashindano ya CAF.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kwa akili yako unajua zbc ndio wanaofanya Production mechi za CAF kisa wao ndio wanaorusha matangazo.? Zbc hawawezi hata kufanya Production ya ligi ya Zanzibar ndio waje waweze kufanya mechi za kimataifa.?
Kwenye ziara na mikutano ya rais Samia unadhani kila Media inakwenda na camera zao.?

Tafuta mtu anayefanya kazi kwenye televisheni Media afu mwambie akueleze kitu kinachoitwa 'feed' afu Ndio uje ubishane na mimi.
 
Kadanganya hapo. CAF ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi za CAF. Sasa CAF ndio hutoa tenda kwa kampuni kurusha mechi hizo, inawezekana AZAM akapewa au kampuni nyingine.

Na ndio maana hata CAF alikataza local redio kurusha matangazo ya mashindano ya CAF.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kidogo wewe naanza kukuelewa
 
YAAH ni urasimuu huo ndo unafanyikaaa... wanakula hela ya mafuta ya genereta sasa tanescooo nao wameona wafanyee yaoo Mr KIparaa kimeumana 😀 😀 😀 mbele ya mawazirii kibao
 
Sasa kwa nini Azam asirushe yeye Moja kwa moja..
Kitu ambacho inawezekana hukijui ni kwamba zbc 2 kwa asilimia fulani inamilikiwa na Azam Media, hvy kuamua kurusha mechi flani ni wao wenyewe wanapanga.

Em kuwa makini siku mechi za CAF zinapochezwa hapa Tz, mechi inaonyeshwa zbc2 lkn watangazaji, wachambuzi n.k wote ni wale wale wa azam.

Mfano, kuna Azam sport 1, sport 2, sports 3 nadhani na 4 sasa uliwahi kuona mechi kubwa za ligi zikionyeshwa kwenye hizo 2,3,4.? Ni kanuni zao wnyw kuwa mechi zote kubwa zionyeshwe Azam sport1.
 
Huo mpunga wa Azam mbona unanunua generator jipya brand yoyote ya 500kVA na mafuta ya saa 24 kwa mwezi mzima bila kulizima.

500kVA diesel generator ½ load ni 65l/h.

65×24×30×3100=145,080,000.

Mwezi mzima bila kulizima saa 24 ni 145M.
Nakupa pole mzee
 
Ukijibiwa naomba unielimishwa na mimi Mkuu....
Nimeshamjibu muda mrefu tuu labla husomi comment, na ww nikuulize em nambie wanaofanya production ya mechi za CAF zinazofanyika hapa Tz ni nani.?
 
Sasa kwa nini Azam asirushe yeye Moja kwa moja..
Nafikiri anakwepa gharama, Azam kisimbuzi akichukua haki ya kurusha matangazo atalipa gharama kubwa ndiomaana katumia mlango wa nyuma kuonyesha yale mashindano, katumia zbc2 ambayo inapatikana kwenye kisimbuzi chake pekee huku zbc2 haimiliki yeye
 
Nafikiri anakwepa gharama, Azam kisimbuzi akichukua haki ya kurusha matangazo atalipa gharama kubwa ndiomaana katumia mlango wa nyuma kuonyesha yale mashindano, katumia zbc2 ambayo inapatikana kwenye kisimbuzi chake pekee huku zbc2 haimiliki yeye
Anakwepa gharama kivipi wakati Production anafanya Azam ila zbc 2 yeye anapewa 'feed' Ili arushe matangazo tuu. Soma comment zangu nmeshajibu ulichokiandika.
 
Back
Top Bottom