Unapinga dini ambazo zinaeleza habari za kuhusu Mungu kwa kuona zimetungwa tu na watu,ila ajabu na wewe unakuja na habari za kuhusu Mungu. Hivi watu watakao kubali haya unayoyaeleza nao watakuwa huru au nao pia watakuwa watumwa wa maelezo yako kama ilivyo katika dini?Dini ni utashi wa watu kujitaftia ridhiki endelea kujifunza ukiwa huru utaujua ukweli wa uwepo wa Mungu kikubwa usiruhusu kushikwa akili hapo kweli hautoijua
Kabla ya ujio wa Yesu tayari suala la kuhusu Mungu lilikuwepo,kwa maana kulikuwa na wale waliyokuwa wakifanya kazi ya kueleza yenye kumuhusu Mungu. Hivyo Yesu hakuja kama ndio wa kwanza kuwaambia watu kwamba kuna Mungu na kwa maana ni hivyo hivyo kwa Muhammad pia.Tatizo ni moja kwann huyo mungu mwenyewe hakutaka sisi tumjue?
Kwanini nasema mungu hakutaka sisi tumjue?
Jibu uislam umekuja kati ya karne 13 au 14 kupitia waarabu walivyokuja kufanya biashara East Afrika wakati ukristo umekuja kati ya karne 18 baada ya industrial revolution ulaya
Swali langu ni
Kama mungu alikuwa anataka tumjue kwanini muhammad katokea mwaka 570 lakini uislam umekuja karne 13 miaka mingapi imepita hapo mpaka waarabu walipokuja kufanya biashara wakaamua kueneza na uislam kwa maneno mengine lengo lao kubwa waarabu lilikuwa biashara na si kueneza dini kama ingekuwa dini wangekuja miaka ya 610 wakati muhamad yupo hai
Na Yesu katokea miaka ya 1 C.E lakini wazungu wameleta ukristo karne 18 imepita miaka karibu elfu kwann miaka hiyo yote wasije kueneza dini mpaka kulipotokea mapinduzi ya viwanda ulaya ndio wao wakaja na colonial agents wakiwemo missionary inamaana lengo lao kubwa lilikuwa kutafuta mali ghafi sio kueneza dini
Kwanini mungu wa uislam na ukristo wamekuja kwa dizain kama hizo?
Kwanini unajiuliza kuhusu bibi na babu zako huko wakati hata sasa kuna watu hawajafikiwa na dini,je unapata jibu gani kwa hawa nao?You have a point kaka... nikitafakari haya huwa nabaki na mashaka na nakuwa mgumu sana kutekeleza yanayodaiwa ni maagizo ya Mungu....napata ukakasi sana linapokuja swala la practising... najiuliza kama mimi nafanya kosa kufanya ibada.. je babu na bibi zangu nao walikuwa na makosa???.. . Waliishi bila kutegemea kufanya haya ya miaka hii.
Kwa vile hao ndio reference nzuri kwa kuwa they have gone for good..Kwanini unajiuliza kuhusu bibi na babu zako huko wakati hata sasa kuna watu hawajafikiwa na dini,je unapata jibu gani kwa hawa nao?
Mungu ni kisababishi kisicho sababishwa,Biblia inasema hivi
Mungu alimuumba binadamu kwa mfano wake inamaana mungu naye ni binadamu
Kama sisi
Swali linakuja je huyo binadamu aliye uumba huu ylimwengu alivipata wapi vitu vya kuumbia huu Ulimwengu wote na wakati huo inaonyesha nayeye aliumbwa?
Kila mwana JF ana haki ya kuhoji chochoteMkuu badala ya kujibu swali uliloulizwa,unaanza kuhoji Imani ya mtu
Yupo kwa sababu na wewe upo, pamoja na vilivyokuzungukaHebu nambie ni kwasababu gani yupo..?
Ni swali zuri, na hiyo ya Saba pia ipo sehemu gani?M
mbingu ya kwanza IPO sehemu gani?
Katika vitabu kadha wa kadha, yamefunuliwa mambo machache sanaSijui vimetengenezwa na nani.
sasa na kama vimetengenezwa huyo alievitengeneza na yeye ametengenezwa na nani..?
Labda atahamia kwenye nyota nyingine, pia nadhani mtoa mada haelewi nyota ni niniKwahiyo kama uzima wa huyo mungu upo kwenye nyota za juu, siku hizo nyota zikifa na yeye ndio chali [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ukitaka kupata ukweli wa Mungu usitumie diniMimi nimesema Hakuna Mungu
Sasa wewe ndiye unayepaswa kunikosoa mimi,kwa kuleta Ushaidi unaothibitisha Uwepo wa Mungu.
Kitu ambacho mimi nitafanya ni kuonyesha contradiction zinazomuhusu huyo Mungu.
Mkuu,wewe ni muumini wa dini gani,tuanzie hapo?
tumalize kwa kusema Mungu yupo kwasababu sisi tupo,hivyo anatutegemea na kwakuwa anatutegemea basi hapaswi kuitwa Mungu!.. kwasababu hawezi kuwepo bila sisi kuwepo.Y
Yupo kwa sababu na wewe upo, pamoja na vilivyokuzunguka
Utapimaje kitu usichokijua chote..?Katika vitabu kadha wa kadha, yamefunuliwa mambo machache sana
Kwa mfano Biblia, ameonyesha kuwa yeye ndiye muunbaji wa Ulimwengu,
Lakini haijafunuliwa ameiumbaje from Nothing
Hao waliyokuwa wazee wetu hawana tofauti na watu waliyopo sasa ambao bado hawajafikiwa na dini.Kwa vile hao ndio reference nzuri kwa kuwa they have gone for good..
The good thing.. hoja yangu umeielewa...Hao waliyokuwa wazee wetu hawana tofauti na watu waliyopo sasa ambao bado hawajafikiwa na dini.
Nisiseme nimekuelewa kumbe nimeelewa sivyo,niambie hoja yako ni ipi?The good thing.. hoja yangu umeielewa...
Sorry, tuishie hapa...Nisiseme nimekuelewa kumbe nimeelewa sivyo,niambie hoja yako ni ipi?
Aina shida.Sorry, tuishie hapa...
You have a point kaka... nikitafakari haya huwa nabaki na mashaka na nakuwa mgumu sana kutekeleza yanayodaiwa ni maagizo ya Mungu....napata ukakasi sana linapokuja swala la practising... najiuliza kama mimi nafanya kosa kufanya ibada.. je babu na bibi zangu nao walikuwa na makosa???.. . Waliishi bila kutegemea kufanya haya ya miaka hii.