Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Una uhakika gani kama kuna sayari nyingine nje ya mfumo wetu wa jua?

Bila shaka hata wewe unaamini kwamba dunia inazunguka jua ?Hivyo ndivyo wanasayansi walivyokudanganya.
Mimi naamini kinyume na wewe,yaani naamini jua linazunguka dunia.

Pili,kama hao wanasayansi wana uhakika na yale wanayo yasema.Kwanini waseme hudhaniwa kwamba kwenye sayari kuna maisha?

Hivi kweli mpaka leo unaamini nadharia ya KISHINDO KIKUBWA?Haa jamaa sitaki kuamini maneno yako.

Embu pekua vitabu usome tena na tena.
Mkuu: Mambo kuhusu ulimwengu nimejifunza nimeenda Chile, Kazakhstan, USA, Ethiopia nimejifunza mengi.
MKUU
a) JUA;
Halizunguki ni mfumo wa ki nuclear uliounganika na kuungua jua lipo pale pale nimefanya utafiti wa vitendo na kujiridhisha hili kwa asilimia 100.

b)MWEZI:
Mwezi unaizunguka Dunia na mwezi upo karibu na Dunia yetu na mwezi ndio unao panga majira misimu na mwezi upo mbali na jua takriba 93 million km umbali mwezi na Dunia.

c)SAYALI INJE MFUMO WA JUA LETU
Mkuu Mimi sipingani na Mungu naamini Mungu muumba kwa akili zangu zote alizonijalia.
Nyota zinazoonekana angani zipo Mbali umbali usiohesabika na nyingine ni kubwa sana kuliko nyota (jua) yetu karibu na uso wa Dunia.
Nyota hizi zimetengeza mfumo kama uliopo katika anga yetu na kila ukanda angani una mamilioni ya nyota na ukubwa wa anga huajulikani ( Infinite) Nyota na sayari miezi n.k katika anga ni trillions hazihesabiki.
 
Halafu sisi wengine na umri wetu huu mdogo kiasi utata huo umetupitia mbali mno,yaani hatujawahi kutatizika hata kwa bahati mbaya yaani tunapata elimu sahihi kuhusu vitu hivyo na sisi tunavifanyia kazi.

Sasa ngoja nikupe faida nyingine,kutokana na kile ulichokigusia yaani kupatwa kwa mwezi.

Waislamu tuna kalenda yetu,yaani ina tarehe na miezi,kwa wote hakuna shaka ya kuwa idadi ya miezi ipo kumi na mbili tangu ilipoumbwa hii dunia.Kwa waislamu miezi huwa ina siku 29,na mara chache sana huenda mpaka siku ya 30,ndipo mwezi huandama.

Kawaida jua hupatwa pindi mwezi unapopotea katika uso wa dunia yaani ardhini,na jua halipatwi isipokuwa katika tarehe ya 28 au 29,hii ni kwa mujibu wa kalenda ya hijiriya.Kwahiyo ni juu yako kama utakuwa ni mtu wa kupenda kujua ukweli.Kwa mfano kwa Tanzania juzi lilipopatwa jua ilikuwa ni tarehe 1.9.2016 sawa na yarehe 29.11.2016.Huo ndio muujiza wa Mola kutuonyesha sisi kwamba yeye upo.Katika kupatwa kwa jua tarehe hizo hazibadiliki.Kama Mola akikupa uhai,ukisikia tena jua limepatwa wewe ulizia ni tarehe ngapi katika kalenda ya hijiriya.

Tukirudi katika suala la kupatwa kwa mwezi,inajulikana ya kuwa mwezi una njia zake na vituo vyake,nidhamu hiyo ameiweka yule mjuzi wa kupangalia mambo hasa.Jua na Mwezi haviingiliani katika njia zao wali kimoja hakimtangulii mwenzie wala havidirikiani.
Mwezi haupatwi isipokuwa katika siku ya 13 au 14 au 15 tangu unapoandama.Hii ni kwa mujibu wa kalenda ya hijiriya kwahiyo utatafuta muwafaka wake na kalenda ya miladiya.

Tofauti yetu sisi na wayakinifu sisi vitu hivi kamwe havitupi utata na tunajua kwanini kuna kupatwa kwa jua na kwanini kuna kupatwa kwa mwezi.Mpaka kesho kiyama hakuna mwanasayansi atakayekwambia kwanini kuna kupata kwa jua au mwezi,sio kwanini mwezi umepatwa au jua.

Sisi tumeitangulia sayansi mbali sana,sababu tunaujua ukweli ambao wao hawaujui tena kwao wao mpaka wafanye majaribio na dhana zao.Mimi najua ni tarehe gani jua au mwezi utapatwa tena.Hatukuoteshwa bali tumesomeshwa ukweli.
Mkuu' Nikukosoe ktk kupatwa kwa mwezi, kupatwa ni jambo la kawaida ambalo lipo ktk mpangilio wa mizunguko ya mwezi.

Kupatwa kwa mwezi hakuhusiani na mwezi kupita ktk njia ya jua Jua lipo mbali na Mwezi na Jua halizunguki kinachozunguka ni sayari na mwezi wake.

Kinacho sababisha kupatwa ni mwezi kuwa sambamba na jua na kuiziba dunia isipate mwanga wa jua.
Na mwezi huaksi mwanga wake katika jua sasa ukiwa sambamba na dunia na jua nusu huaksi jua na nusu upande wa dunia huaksi dunia na kwa kuwa mwezi unazunguka huchuku mda mchache kuludi ktk hali halis
 
Kwa akili alizo tupa mungu ni kidogo sana kuweza kutafakar ila kumbuka mungu yupo mbingun usizid kumtafakari ubongo wako utafika mwisho na jibu hutalipata
Chief, Lakini Mungu ametupa akili tuzitumie na siamini kama ni dhambi mtu kumtafuta baba yake.
Na Mungu amejifunua kwetu kila kitu ila alipo ni mbali hatuwezi fika kwa uweza wa kibinadamu.
Lakini haichoshi kumtafta lakini sisi si wa kwanza kumtafta wenzetu mwanzo walijenga mnara wa babeli.
 
Mkuu' Nikukosoe ktk kupatwa kwa mwezi, kupatwa ni jambo la kawaida ambalo lipo ktk mpangilio wa mizunguko ya mwezi.

Kupatwa kwa mwezi hakuhusiani na mwezi kupita ktk njia ya jua Jua lipo mbali na Mwezi na Jua halizunguki kinachozunguka ni sayari na mwezi wake.

Kinacho sababisha kupatwa ni mwezi kuwa sambamba na jua na kuiziba dunia isipate mwanga wa jua.
Na mwezi huaksi mwanga wake katika jua sasa ukiwa sambamba na dunia na jua nusu huaksi jua na nusu upande wa dunia huaksi dunia na kwa kuwa mwezi unazunguka huchuku mda mchache kuludi ktk hali halis
Nashukuru kwa jaribio lako la kunikosoa.Naona hukusoma vyema kile nilichoandika.Niliposema ya kuwa mwezi una njia zake na vituo vyake nilimaanisha na ninajua ninachokisema.

Maneno yako yapo dhidi yako.Unaposema mwezi unazuia miale ya jua isifike duniani unazungumzia sehemu ya dunia?

Kadhalika sijasema kupatwa kwa mwezi ni jambo la ajabu.Ndio maana sisi tunajua mpaka kimoja wapo kati ya viwili hivyo vikipatwa tunatakiwa tufanye nini?
 
Mkuu' Nikukosoe ktk kupatwa kwa mwezi, kupatwa ni jambo la kawaida ambalo lipo ktk mpangilio wa mizunguko ya mwezi.

Kupatwa kwa mwezi hakuhusiani na mwezi kupita ktk njia ya jua Jua lipo mbali na Mwezi na Jua halizunguki kinachozunguka ni sayari na mwezi wake.

Kinacho sababisha kupatwa ni mwezi kuwa sambamba na jua na kuiziba dunia isipate mwanga wa jua.
Na mwezi huaksi mwanga wake katika jua sasa ukiwa sambamba na dunia na jua nusu huaksi jua na nusu upande wa dunia huaksi dunia na kwa kuwa mwezi unazunguka huchuku mda mchache kuludi ktk hali halis
Suala la mimi kusema ya kuwa mwezi una njia zake ni kukupa faida.
 
Hebu fafanua hilo la natural resistance ya HIV likoje/linakuaje.



Ugumu unaoupata wewe kujadili uwepo wa mungu ndio ugumu ninaopata mimi kujadili uwepo wa HIV...hivyo basi,fahamu kwamba jinsi unavyowachukulia wale wanaoamini kwamba kuna mungu ndivyo mimi ninavyokuchukulia wewe unayeamini kwamba kuna HIV.Tena wewe unaweza kuwa zaidi ya hao wanaoamini kwamba kuna mungu....hii ni kwasababu masuala ya umungu ni IMANI lakini suala la HIV ni SAYANSI.Hivyo ningetegemea wewe kwako iwe rahisi zaidi kuelewa kuhusu kutokuwepo kwa HIV kuliko wao kuelewa kuhusu kutokuwepo kwa mungu,hii ni kwasababu sayansi inaweza kuthibitishwa na kuweza kuonekana wazi lakini imani haiko hivyo.
Wapi nimesema ninaamini kwamba kuna H.I.V?

Mimi sitaki kuamini chochote, nataka kujua.

Kuhusu H.I.V resistance soma hii link

Is Anyone Immune to HIV?
 
Hivi unahitaji uthibisho upi kwa evidence zote unazopewa?
Nahitaji uthibitisho ulio logically consistent.

Maneno yote mnayosema kuthibitisha uwepo wa Mungu hayapo logically consistent na yamejaa contradictions.

Unafahamu logical consistency ni nini?

Unafahamu contradiction ni nini?

Nisije kuwa nabishana na watu ambao hata mambo ya msingi hawajui.
 
Uungu unapatikana katika natural balance ya gases /upepo, Maji, joto/jua,solar systems, baridi /barafu, viumbe hai (wanyama na mimea), viumbe visivyo hai/solids and other infinite substances.
Binadamu Kama mfano wa Mungu kila nilichotaja hapo juu umtokea.
Either kwenye
mwisho wa uhai/ decaying curve (solids remains-skull & bones).
Mwanzo wa binadamu (liquids-combination of male and female sperms)
Living of human body (maji/blood,heat energy, minerals, air exchange) .
Decaying/deppreciate of human body/cell (heat/joto/micro-organics,air/gases).
Expire of human being (cold).
Accumulation of minerals to the human body to balance with nature ((plants and animals feed) + reinforcement /Sun rays).
Locomotion /moving one place to another to absorve and use energy - gravitation force (it's like solar system).
Hivyo Uungu uko mahali pore penye uhai na pasipo na uhai, Ingawa kwa sisi binadamu tunadhani heat energy/Sun,water and Air are the only one which make a combination of the The Almight God existence.
We can not judge the existence of God in terms of % because there are other important issues which is infinity to define or to imagine using our own human capacity.
For that case we need to go deeply as far as spirituals belives which are also very complicated when explaining who is exactly God we may follow and believes.
The above may be among the most difficult question to answer,others being is God Black or White?
 
Nashukuru kwa jaribio lako la kunikosoa.Naona hukusoma vyema kile nilichoandika.Niliposema ya kuwa mwezi una njia zake na vituo vyake nilimaanisha na ninajua ninachokisema.

Maneno yako yapo dhidi yako.Unaposema mwezi unazuia miale ya jua isifike duniani unazungumzia sehemu ya dunia?

Kadhalika sijasema kupatwa kwa mwezi ni jambo la ajabu.Ndio maana sisi tunajua mpaka kimoja wapo kati ya viwili hivyo vikipatwa tunatakiwa tufanye nini?
 
Wapi nimesema ninaamini kwamba kuna H.I.V?

Mimi sitaki kuamini chochote, nataka kujua.

Kuhusu H.I.V resistance soma hii link

Is Anyone Immune to HIV?

Huelewi ulichokiandika,ukitaka kuamini kama huelewi endelea kunihoji, nitakufumbua macho na nina uhakika utaona hata kama hutaki kuona.Siku nyingine ukitaka kuweka link hapa hakikisha umeielewa kwanza kabla ya kuiweka.
 
Nashukuru kwa jaribio lako la kunikosoa.Naona hukusoma vyema kile nilichoandika.Niliposema ya kuwa mwezi una njia zake na vituo vyake nilimaanisha na ninajua ninachokisema.

Maneno yako yapo dhidi yako.Unaposema mwezi unazuia miale ya jua isifike duniani unazungumzia sehemu ya dunia?

Kadhalika sijasema kupatwa kwa mwezi ni jambo la ajabu.Ndio maana sisi tunajua mpaka kimoja wapo kati ya viwili hivyo vikipatwa tunatakiwa tufanye nini?
Chief naomba kwa faida yangu kupatwa kwa
mwezi kunahusiana na dini
 
Back
Top Bottom