Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

Hiyo avatar mbona inafanana na ya mtu mmoja aliyekuwa akiitumia humu?
Bila shaka ni multiple I.D nahisi ile i.d nyingine ilipigwa life ban au ban ya miezi 6...
pengine uliwazalo linaweza kuwa sahihi au lisiwe sahihi
 
Jamani Mashabiki angalieni......MTU unakuwa na hisia adi kupitiliza za muhusika juu ya maisha Yake...
 
..
Wapo wengi kila mmoja na kazi ake wale wakina tale na fela wao soko la ndani ndo kazi yao nje sallam pamoja na collabo kubwa z kimataifa kwa soko la ndan media zote had upite kwa tale na fella ko hawez waacha
Okay..nashukuru kwa maelezo murua.
 
Acha uzushi
Weka bank statement zao hapa
Ndio maana unapigwa bani za miezi miezi.
 
Acha uongo , angalia kwanza ngozi ya hiyo unayemuita mnyonyaji na halafu angalia ya mnyonywaji, hiyo unayedai anamyonya mwenzake kapauka na kusinyaa kama ngozi ya goti, halafu mcheki Simba anavyonawiri kama anakunywa maji ya nido muda wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…