Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

Na hiki ndicho kinachofanya diamond asipige hatua za hapo , inabidi achukue maaamuzi magumu ya kuachana na tale bila hivyo itakula kwake kama vile Tip Top connection ilivyokula kwao
Mkuu hizo ni stori kma stori zingine,show zote za nje salam ndio mhusika huyo tale hata kuandika email kwa msaanii wa nje kupata kolabo hawezi,pesa anapata ila sio kihivyo
 
Amini usiamini meneja wa mwanamuziki Naseeb Abdul au diamond platnumz kama anavyojulikana na wengi aitwae Hamis Taletale al maarufu kama babu tale ana pesa nyiingi saana kuliko diamond platinum

Najua hili litakuwa jambo ambalo si rahisi kuamini lakin ukwel ndio huo

Babu tale ana mnyonya sana diamond platinum kuliko msaada anaoutoa kwake kwenda kwa diamond


Ili diamond aendelee inabidi aachane na babu tale kwani hapo alipo hana uwezo wa kumvusha zaidi ya hapo


Diamond kwa sasa inabidi aangalia mameneja kutoka nchi nyingine kwani hawa alionao haswa babu tale hamna cha maana wanachomsaidia zaidi ya kunenepesha matumbo yao


Yani inafika kipindi mpaka nahisi babu tale ana tumia kizizi kumfubaza diamond ili diamond aendelee kuwa naye si akili ya kawaida kwa kweli yani kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia bila diamond kujua


Tale kwa sasa bora aendelee kuwa na akina harmonize ,mavoko na rayvan lakin si diamond tena kwa kweli bila hivyo diamond itakula kwake hatopiga hatua zaidi ya hapo




View attachment 466186



View attachment 466187
SHILAWADU SHILAWADU. ....
 
Amini usiamini meneja wa mwanamuziki Naseeb Abdul au diamond platnumz kama anavyojulikana na wengi aitwae Hamis Taletale al maarufu kama babu tale ana pesa nyiingi saana kuliko diamond platinum

Najua hili litakuwa jambo ambalo si rahisi kuamini lakin ukwel ndio huo

Babu tale ana mnyonya sana diamond platinum kuliko msaada anaoutoa kwake kwenda kwa diamond


Ili diamond aendelee inabidi aachane na babu tale kwani hapo alipo hana uwezo wa kumvusha zaidi ya hapo


Diamond kwa sasa inabidi aangalia mameneja kutoka nchi nyingine kwani hawa alionao haswa babu tale hamna cha maana wanachomsaidia zaidi ya kunenepesha matumbo yao


Yani inafika kipindi mpaka nahisi babu tale ana tumia kizizi kumfubaza diamond ili diamond aendelee kuwa naye si akili ya kawaida kwa kweli yani kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia bila diamond kujua


Tale kwa sasa bora aendelee kuwa na akina harmonize ,mavoko na rayvan lakin si diamond tena kwa kweli bila hivyo diamond itakula kwake hatopiga hatua zaidi ya hapo




View attachment 466186



View attachment 466187
hance mtanashari nilikumiss saaaana nitafute 0713800880 hahahahaha
 
Hiyo kweli Hiyo.

Dimond gari yake X6 used alipewa zawadi na Babu Tale otherwise angeendelea kuendesha Morano yake.
 
Cash ya mtu inakadiriwa kulingana taslim na vitegauchumi/money worthy can you verify?
 
Mtoa mada hujui ata unachokiongea,
Babu tale hafukii hata nusu ya utajili wa Diamond japokuwa no manager wake.
Diamond ana nyumba 7 DSM peke take achana na ile south Africa , babu tale ananyumba 2 tu.
Katika vitu diomond ana nidhamu navyo ni Pesa.
Tarehe 11 Feb anafanya 40 ya mwanae kuna makampuni zaidi ya 5 yameshadhamini hatoi pesa take benk
GSM
Cocacola
Vodacom
Babyshop
Clouds
Dizzim
 
Ndio maana ukitaka mkopo hawaulizi kwenye a/c unakiasi gani au una gari ngapi ila watauliza maliisiyohamishiks e.g. land/building
 
Amini usiamini meneja wa mwanamuziki Naseeb Abdul au diamond platnumz kama anavyojulikana na wengi aitwae Hamis Taletale al maarufu kama babu tale ana pesa nyiingi saana kuliko diamond platinum

Najua hili litakuwa jambo ambalo si rahisi kuamini lakin ukwel ndio huo

Babu tale ana mnyonya sana diamond platinum kuliko msaada anaoutoa kwake kwenda kwa diamond


Ili diamond aendelee inabidi aachane na babu tale kwani hapo alipo hana uwezo wa kumvusha zaidi ya hapo


Diamond kwa sasa inabidi aangalia mameneja kutoka nchi nyingine kwani hawa alionao haswa babu tale hamna cha maana wanachomsaidia zaidi ya kunenepesha matumbo yao


Yani inafika kipindi mpaka nahisi babu tale ana tumia kizizi kumfubaza diamond ili diamond aendelee kuwa naye si akili ya kawaida kwa kweli yani kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia bila diamond kujua


Tale kwa sasa bora aendelee kuwa na akina harmonize ,mavoko na rayvan lakin si diamond tena kwa kweli bila hivyo diamond itakula kwake hatopiga hatua zaidi ya hapo




View attachment 466186



View attachment 466187
acha umbumbumbu hivi angewezaje kuwa meneja wake kama hajamzidi kipato??
 
Amini usiamini meneja wa mwanamuziki Naseeb Abdul au diamond platnumz kama anavyojulikana na wengi aitwae Hamis Taletale al maarufu kama babu tale ana pesa nyiingi saana kuliko diamond platinum

Najua hili litakuwa jambo ambalo si rahisi kuamini lakin ukwel ndio huo

Babu tale ana mnyonya sana diamond platinum kuliko msaada anaoutoa kwake kwenda kwa diamond


Ili diamond aendelee inabidi aachane na babu tale kwani hapo alipo hana uwezo wa kumvusha zaidi ya hapo


Diamond kwa sasa inabidi aangalia mameneja kutoka nchi nyingine kwani hawa alionao haswa babu tale hamna cha maana wanachomsaidia zaidi ya kunenepesha matumbo yao


Yani inafika kipindi mpaka nahisi babu tale ana tumia kizizi kumfubaza diamond ili diamond aendelee kuwa naye si akili ya kawaida kwa kweli yani kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia bila diamond kujua


Tale kwa sasa bora aendelee kuwa na akina harmonize ,mavoko na rayvan lakin si diamond tena kwa kweli bila hivyo diamond itakula kwake hatopiga hatua zaidi ya hapo




View attachment 466186



View attachment 466187
Tale mtalaam wa vizizi sana huyo......mtu mpaka kaikimbia tiptop unaleta masihara nini.
 
Back
Top Bottom