Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

aleesha

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
798
Reaction score
1,178
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
 
Kwani Watanganyika wana matatizo na Waarabu au Wazanzibar weusi ndio wana matatizo na Waarabu kama Dr. SALIM alivyobaniwa sababu ya Uarab wake.

Hii mada ni irrelevant na Watanganyika kabisa.
 
Kwani Watanganyika wana matatizo na Waarabu au Wazanzibar weusi ndio wana matatizo na Waarabu kama Dr. SALIM alivyobaniwa sababu ya Uarab wake.

Hii mada ni irrelevant na Watanganyika kabisa.
Yule Waziri aliekua akihutubia kanisani chuki zake za wazi juu ya wazanzibari na waarabu Alikua Mzanzibari mweusi au?
 
Yule Waziri aliekua akihutubia kanisani chuki zake za wazi juu ya wazanzibari na waarabu Alikua Mzanzibari mweusi au?
Issue ya CCM na Zanzibar haijawahi kua Waarabu, Issue yao ni kutokuona Zanzibar ina mamlaka kamili kama nchi tu. Kuna vitu unavichanganya hapa unaongelea petty Issue sana kuhusu Zanzibar na Tanganyika
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...

kisha wanapelekwa mpaka sehemu ya kutunzia watumwa (ipo mpaka leo) ambako wanafungiwa kwa siku 3 bila chakula wala maji!!!,(kumbuka minyororo mizito bado mmefungiwa nayo mikononi, miguuni na shingoni) kisha ndio mnatolewa ambao atakutwa amekufa anatupwa na waliobaki wanaenda kuuzwa.

Ikitokea katika kundi la watumwa wa kike wanaouzwa tajiri akitaka “kuonja" alikuwa anachagua mmoja na kumfanyia hiko kitendo hapo hapo hadharani. (kama ambavyo mnafahamu wanaume tulivyo , mwenzako akifanya kitu nawe unataka kufanya, mfano katika kundi mmojà akisogea pembeni na kufungua zipu ili achimbe dawa utakuta wawili watatu wanaungana naye kufanya hivyo, hata walipokuwa wanatwaa mtumwa mmoja wa kike na kumfanyia ushenzi, basi wengine nao waliungana kufanya ufedhuli huo kwa wengine kwenye kundi hilo)

Watumwa waliteswa sana, sana , sana!!! na hao waarabu ambao leo hii watoto wao tunaishi nao kwa amani.

Cha kusikitisha zaidi ni kitendo cha kuwahasi watumwa kiume waliosafirishwa kwenda Arabuni( walienda maelfu lakini mpaka leo hii jiulize kwanini hakuna masalia ya weusi kama sio ukatili wa waarabu ambao waliwahasi bila taratibu za kitabibu, yaani wanakata hizo gololi kisha unapakwa chumvi nyingi, na kutokana na kuvuja damu nyingi wengi walikufa, wachache waliobahatika kupona waliuzwa arabuni kwa hela nyingi, walivyoona wakubwa wanakufa sana basi wakawa wanawahasi watoto).

Bado ambao walikataa utumwa na kuleta uasi njiani waligeuzwa na kuf**lwa mbele ya watoto na wanawake, ili kuwafanya wajisikie majuto, na hata walivyokuwa wanasafiri na majahazi ilikuwa ni desturi ya waarabu kuwachukua watumwa wa kiume na kuwageuza ili kukidhi haja zao.

hivi vyote vilifanyika na historia ipo fika Zanzibar au hata Bagamoyo soko la watumwa uone historia, picha na vithibitisho vingine kuhusu ufedhuli huo waliofanyiwa mababu zetu (leo hii tunacheka nao hakika mababu zetu wakifufuka watasikitika sana).

Dini hizi hizi tulizoletewa tunafundishwa kusamehe waliotukosea, ilhali waliotuletea hizo dini walitufanyia ukatili huku tukishuhudia nasi tunachekelea kama mazombi. Tuishi kwa amani, tupendane na tusonge mbele tukitaka kuleta habari za historia na tuzibebe chuki za mababu zetu basi tutachukiana daima na tutauana.

Japo Muingereza alikomesha utumwa wa waarabu lakini naye alitesa manamba mashambani, Mbelgiji aliua watu wengi kongo, na mkaburu aliangamiza vizazi Afrika kusini, Huu ushenzi tuliofanyiwa waafrika ni mkubwa lakini tumesamehe na tuishi kwa amani bila kubaguana ila!!, nasisitiza tena ila tusisahau na tuwaeleze vizazi vilivyopo na vijavyo namna ambavyo mababu zao walipitia mateso makubwa ya wadhalimu waliokuja ili kutimiza haja za nafsi zao.
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana

Kwa akili yako unadhani Biashara ya utumwa Duniani ilifanywa na waarabu pekee?
Wale watumwa black Americans kutoka West Africa kwenda America walipelekwa na waarabu?
Tena wazungu walivyowadharau waafrika mpaka walikuwa wakiwabadilisha surnames zao kuwa za kwao mpaka wamepoteza uasili na majina yao ya kiafrika. Unakuta mtu anaitwa Lebron James, Michael Jackson, Chris Curter, Mike Tyson.. etc ila ni Pure African..!
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...
Labda ungelienda na kule marekani ukajifunza utumwa ulikuwa na makalai gani kwa watu weusi. Halafu ndio urudi hapa uje utuelezee nani zaidi. Sema nikukatishe tuu utumwa sio historia nadhani mtu yoyote anaweza kujivunia uwe wa kabila lolote lile mweusi / mweupe n.k.Kwa bahati mbaya dunia ilipitia muda huo and it can not be undone.

Sidhani kama kinachoendelea baina ya Zanzibar na Tanganyika kinatokana na utumwa au makali ya utumwa. Nadhani ni pure power and money issue, ambapo upande mmoja unafaidika zaidi kuliko mwengine. Kwa bahati mbaya nadhani waliopoteza kingi ni wazanzibar.

Tumepoteza utambulisho wetu kama wazanzibari, tumepoteza uchumi na fedha nyingi kwa kufunikwa kawa la Tanganyika n.k. Keep in mind miradi yote inahitaji mikopo ambayo inaekewa mkono Tanganyika. Hasara ni nyingi kuliko faida, japo zipo ambao wengi wanazijua vitunguu na mbatata za urojo kutoka kwa wakulima wa Tanganyika ... not so sure kama hii ni faida ... maana hata Kenya vinapatikana fedha yake tuu mtu .😀

Nitamalizia hapo kwa sasa, lakini wewe kama mtanganyika unatakiwa kujua faida na hasara za muungano. Na kama mzanzibari vile vile unatakiwa kupima na kuanza harakati za kusimamia kile kilicho sahihi kwa vizazi vijavyo. Upo tayari kujitambulisha kama mtanzania sawa na mtu mwengine alietoka Bara hususan asie muislamu ? Muungano huu una faida yoyote kwa uislamu wetu ? Jibu likiwa hakuna basi una sababu za msingi za kuhoji uhalali na uwepo wa muungano!
 
Dah!Mwishoni hapa mleta uzi kafunua rangi yake halisi,kumbe porojo zote ni kutetea maslahi ya dini?Hakika ni umasikini mkubwa wa fikra.Kubagua ndg zako kwa kigezo cha dini nao ni ujahiri wa aibu.Jifunzeni historia yenu kwa yakini na makini,hizi mnazofundishwa na dini hizi hamshtuki tu kwa nini wao wanatajwa kama raia bora kuliko nyie?Kujua elmu ya bwana wako hakuondoi kongwa la utumwa wako bali njia pekee ni kujitambua,kujithamini,kuchukua jukumu la kujisimamia ili huo utumwa uishe.La sivyo nguruwe hata umlishe kwenye sahani ya dhahabu atabaki kuwa nguruwe tu
 
Yaani unawatukuza Waarab makatili, na walio wageuza kuwa Watwana wao miaka nenda! Mpaka pale mlipokuja kukombolewa tarehe 12 January 1964 na yule Mgalatia John Okello, mwenye asiki ya Uganda!
Hii propaganda haifanyi kazi kwa mtu ambae ni muislam, labda awe taahira kidogo. Waliouliwa ni waislamu ambao ni ndugu zetu tena wa damu na imani.
 
Kwa akili yako unadhani Biashara ya utumwa Duniani ilifanywa na waarabu pekee?
Wale watumwa black Americans kutoka West Africa kwenda America walipelekwa na waarabu?
Tena wazungu walivyowadharau waafrika mpaka walikuwa wakiwabadilisha surnames zao kuwa za kwao mpaka wamepoteza uasili na majina yao ya kiafrika. Unakuta mtu anaitwa Lebron James, Michael Jackson, Chris Curter, Mike Tyson.. etc ila ni Pure African..!
Mbona kaeleza hao wazungu nk au bora kumchallenge tu kisa ameandika?.
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...
Inasikitisha sana..harafu kuna mazuzu huku yanawaabudu waarabu kama miungu watu..i wish ningekua....hiiii.

Kimsingi mwarabu hajawahi mpenda mwafrika ukitaka kujua hilo hata hao wavaa kobazi hawarusiwi kuoa binti wa kiarabu..labda awe na mawe ya kufa mtu..vinginevyo ataoa waarabu koko tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom