Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Forever and always πππππππππππππππππππππNjoo niapie kwenye lips zako...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forever and always πππππππππππππππππππππNjoo niapie kwenye lips zako...
π si kuna hatua na utaratibu wa kufuata?Mwenye kumwamini Mungu anakaa na mwanamme nje ya ndoa?
Tupishe huko, mshirikina mkubwa we.
Smart aliekuchachua haendi mbinguni ujue hahahaaa!
Sawa sawa ankol...ππππππ
Unachekelea sababu una vyote, sura na tako...Smart aliekuchachua haendi mbinguni ujue hahahaaa!
Nivitoe wapi mi smart mie flat screen sura ya babaUnachekelea sababu una vyote, sura na tako...
BadiHabari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Badilisha mavazi yako wazazi sio wajinga.Habari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Bado hujajua, siku ukijua ndio utajua hujui.hapana mimi sijakomaa nikubalike ni mwanaume mwenyewe anatamka kua hayupo tayari kuniacha na hawezi chaguliwa mke wa kuoa kwakua amefanya maendeleo mengi sana nikiwa nae na nimefanyika baraka sana kwake
Wewe na huyo mwanaume wote ni wapumbavu ila wewe ni mpumbavu zaidi. Unashindwa nini kuelewa kuwa huyo mwanaume hakutaki na anamtumia mama yake kama sababu ya nyie kuachana? Acheni kumsingizia mama wa watu upumbavu wenu. Na unaposema "NIMEFANYIKA BARAKA SANA KWAKE" ndo unapozidi kuonyesha upumbavu wako. Binti unafanya makosa makubwa ya kufanya majukumu ya mke kabla hujaolewa. Mwanaume anatakiwa afanye bidii kukuoa sio wewe ufanye bidii kuolewa. Huyo jamaa atakuacha kwa aibu kubwa usipochukua maamuzi ya haraka.hapana mimi sijakomaa nikubalike ni mwanaume mwenyewe anatamka kua hayupo tayari kuniacha na hawezi chaguliwa mke wa kuoa kwakua amefanya maendeleo mengi sana nikiwa nae na nimefanyika baraka sana kwake
Nmeona hilo pia kuna namna mwanaume anampa ujumbe ila yeye anakuwa mgumu kuelewa.Wewe na huyo mwanaume wote ni wapumbavu ila wewe ni mpumbavu zaidi. Unashindwa nini kuelewa kuwa huyo mwanaume hakutaki na anamtumia mama yake kama sababu ya nyie kuachana? Acheni kumsingizia mama wa watu upumbavu wenu. Na unaposema "NIMEFANYIKA BARAKA SANA KWAKE" ndo unapozidi kuonyesha upumbavu wako. Binti unafanya makosa makubwa ya kufanya majukumu ya mke kabla hujaolewa. Mwanaume anatakiwa afanye bidii kukuoa sio wewe ufanye bidii kuolewa. Huyo jamaa atakuacha kwa aibu kubwa usipochukua maamuzi ya haraka.
Kama maneno hayo unapata kupitia kwa mchumba wako,amin kuna ujumbe anakufkishia,usichukulie kama proudHabari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Mabinti wanakosea sana kufanya majukumu ya mke kabla ya ndoa.Nmeona hilo pia kuna namna mwanaume anampa ujumbe ila yeye anakuwa mgumu kuelewa.
Hakuna kitu kibaya kama kuusemea moyo wa mtu, yeye aseme uhalisia wake ila sio wa mwanaume, moyo wa mtu kichaka una mengi.
Yeye kashajiaminisha kuwa ataolewa yeye. Anaejua anamuoa nani n mwanaume na sio keMabinti wanakosea sana kufanya majukumu ya mke kabla ya ndoa.