Ukweni hawanitaki, wanasema nimempa dawa kijana wao. Nifanye nini?

Ukweni hawanitaki, wanasema nimempa dawa kijana wao. Nifanye nini?

Kama kwao ni wachawi achana na hiyo familia, ukizidi kung'ang'ania watakumaliza ww kwanza au uzao wako. Hao wazazi kuna kitu walitarajia kwa kijana wao labda kuoa binti kabila moja na wao au binti walisha muandaa, kwani ww ni kabila moja na mchumba wako?
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Badi
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Badilisha mavazi yako wazazi sio wajinga.
 
hapana mimi sijakomaa nikubalike ni mwanaume mwenyewe anatamka kua hayupo tayari kuniacha na hawezi chaguliwa mke wa kuoa kwakua amefanya maendeleo mengi sana nikiwa nae na nimefanyika baraka sana kwake
Wewe na huyo mwanaume wote ni wapumbavu ila wewe ni mpumbavu zaidi. Unashindwa nini kuelewa kuwa huyo mwanaume hakutaki na anamtumia mama yake kama sababu ya nyie kuachana? Acheni kumsingizia mama wa watu upumbavu wenu. Na unaposema "NIMEFANYIKA BARAKA SANA KWAKE" ndo unapozidi kuonyesha upumbavu wako. Binti unafanya makosa makubwa ya kufanya majukumu ya mke kabla hujaolewa. Mwanaume anatakiwa afanye bidii kukuoa sio wewe ufanye bidii kuolewa. Huyo jamaa atakuacha kwa aibu kubwa usipochukua maamuzi ya haraka.
 
Wewe na huyo mwanaume wote ni wapumbavu ila wewe ni mpumbavu zaidi. Unashindwa nini kuelewa kuwa huyo mwanaume hakutaki na anamtumia mama yake kama sababu ya nyie kuachana? Acheni kumsingizia mama wa watu upumbavu wenu. Na unaposema "NIMEFANYIKA BARAKA SANA KWAKE" ndo unapozidi kuonyesha upumbavu wako. Binti unafanya makosa makubwa ya kufanya majukumu ya mke kabla hujaolewa. Mwanaume anatakiwa afanye bidii kukuoa sio wewe ufanye bidii kuolewa. Huyo jamaa atakuacha kwa aibu kubwa usipochukua maamuzi ya haraka.
Nmeona hilo pia kuna namna mwanaume anampa ujumbe ila yeye anakuwa mgumu kuelewa.
Hakuna kitu kibaya kama kuusemea moyo wa mtu, yeye aseme uhalisia wake ila sio wa mwanaume, moyo wa mtu kichaka una mengi.
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Kama maneno hayo unapata kupitia kwa mchumba wako,amin kuna ujumbe anakufkishia,usichukulie kama proud
 
Back
Top Bottom