Ukweni hawanitaki, wanasema nimempa dawa kijana wao. Nifanye nini?

Ukweni hawanitaki, wanasema nimempa dawa kijana wao. Nifanye nini?

We ni lipumbavu la kufungua mwaka.
Mtoto wa kiume amrecord MAMA yake kisha atume kwa mwanamke voice note.
We jitizame kwenye kioo useme mi ni Lipumbavu mjinga wewe.
ukishatoka kwa shemeji yako nakuanza kujenga familia ndio utanielewa,kwa sasa endelea kumtengea maji yakuoga shemeji yako kwanza ukiwa unaendelea kukua
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Labda kweli umempa dawa, maana nyie wanawake hamuaminiki.
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.

Is up to mwanaume aonyeshe sasa msimamo, maana ukiolewa ni wewe na mume si wewe na wazazi

Lakin pia spiritualy wanahisi hivyo sababu mtoto wao kafa kaoza kwako. Ile attention kahamishia kwako, mama mkwe anaona anapoteza nafasi yake
 
ukishatoka kwa shemeji yako nakuanza kujenga familia ndio utanielewa,kwa sasa endelea kumtengea maji yakuoga shemeji yako kwanza ukiwa unaendelea kukua
Mi nakuoa wewe,mkeo,dada yako na mama yako ndio wa kuongea namimi.
We endelea kufikiria ujinga eti kujenga familia.
Hilo somo tulimaliza,naww pia unaweza kuwa mtoto wa mchepuko wangu huko zamani
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
kama wewe ni golikipa hata ka amekupenda utapata vikwozo fullstop. Gold diggers enzi zo zimekwish. Hao ndio wamentunza na kumfikisha huyo jamaa hapo alipo, usichukuii kirahisi rahisi. Labda ue mzuri kama malaika. Kama una kazi yako basi funga ndoa fasta hafu subiri changamoto.
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Tatizo huna mume
Huna mume
Huna mume.

Mume alipaswa kuwa mpatanishi na kiungo.

Kamwe hakupaswa kukueleza kila kitu.

Angemalizana na maye tu
 
Ushauri wangu ni huu; ikiwa umekaa nae muda mrefu na umemzoea akiwa na sifa hizi mbili kaa nae:-
1. Hana gubu
2. Ana nidhamu nzuri kwako anakuheshimu
3. Ni mwaminifu katika uhusiano
4. Ana kushauri suala zima la maisha
5. Ni mcha Mungu na anahofu ya kutenda mabaya

Huyo kuwa nae mengine utavumilia
 
1. Mwanaume umempata kwa kumuomba Mungu. Haya, baada ya kumpata, huyo Mungu asiyeweza kukuepusha hizo changamoto,wa kazi gani? Alijua atakupa mwanaume,na utakumbana na mazito! Hapana aise,hapana.
2. Hapa hujaeleza umejuaje hawakupendi! Wakati wanakupa zawadi na kukupigia simu,na kukuomba mkapange,bado unalalamika.
Haya, kwani unaolewa na wakwe au na unaeongopa kumpenda?
Ukiona yupo kimya,ujue anakuchola tu
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Mumeo ni mpumbavu. Inawezekana mama mkwe yupo sahihi. Hakuna mwanaume aliyebaki hapo kwa maelezo yako. Jamaa yako ni falah, mbea na mengine sijapata uhakika nayo bado.
 
Habari wana jf,

Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina

Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)

Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Tatizo ni huyo mwanaume ni muongo muongo muongo huyo uje umsute
 
Back
Top Bottom