ukishatoka kwa shemeji yako nakuanza kujenga familia ndio utanielewa,kwa sasa endelea kumtengea maji yakuoga shemeji yako kwanza ukiwa unaendelea kukuaWe ni lipumbavu la kufungua mwaka.
Mtoto wa kiume amrecord MAMA yake kisha atume kwa mwanamke voice note.
We jitizame kwenye kioo useme mi ni Lipumbavu mjinga wewe.
Labda kweli umempa dawa, maana nyie wanawake hamuaminiki.Habari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Habari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Mi nakuoa wewe,mkeo,dada yako na mama yako ndio wa kuongea namimi.ukishatoka kwa shemeji yako nakuanza kujenga familia ndio utanielewa,kwa sasa endelea kumtengea maji yakuoga shemeji yako kwanza ukiwa unaendelea kukua
ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
kama wewe ni golikipa hata ka amekupenda utapata vikwozo fullstop. Gold diggers enzi zo zimekwish. Hao ndio wamentunza na kumfikisha huyo jamaa hapo alipo, usichukuii kirahisi rahisi. Labda ue mzuri kama malaika. Kama una kazi yako basi funga ndoa fasta hafu subiri changamoto.Habari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
"muda" wa nini?π si kuna hatua na utaratibu wa kufuata?
Inahitaji muda.
Acha kulia, sasa ulimwomba Mungu akakupa mume na anakupenda. Sasa malalamiko ya nini?hapana mimi sijakomaa nikubalike ni mwanaume mwenyewe anatamka kua hayupo tayari kuniacha na hawezi chaguliwa mke wa kuoa kwakua amefanya maendeleo mengi sana nikiwa nae na nimefanyika baraka sana kwake
Tatizo huna mumeHabari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Huoni tatizo ni mume mgonganishi?Ukistaajabu Ya Mussa Utaona Ya Firauni
Nendeni Mkaishi Sehemu Nyingine Mbali
Ama Jitahidi Uanze Upya Maisha, Kuna Shida Hapo
Mumeo ni mpumbavu. Inawezekana mama mkwe yupo sahihi. Hakuna mwanaume aliyebaki hapo kwa maelezo yako. Jamaa yako ni falah, mbea na mengine sijapata uhakika nayo bado.Habari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Tatizo ni huyo mwanaume ni muongo muongo muongo huyo uje umsuteHabari wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 26 na nipo kwenye mahusiano na Tunatarajia ndoa ila Ukweni wanaweka pingamizi sana na sijawahi fanya chochote kibaya na wala sina mazoe na wakwe zangu ila chakushangaza mama mkwe Anamuuliza Kijana wake "Hivi Bado upo na yule mwanamke tu kwani amekupa nini? Si umwache mbona wanawake wapo wengi umekaa nae muda mrefu hivyo itakua amekupa Dawa huyo"
Na ukweli nikwamba mimi sijui mambo ya Dawa wala ushirikina
Namwamini sana MUNGU Na hata kumpata huyu mwanaume nilifunga kwa maombi nikaongea na MUNGU anijalie mwenza wa maisha na sio kupoteza muda
Ila nashangaa kwao kumekuwa na pingamizi sana
(ila kwao wana imani za kishirikina)
Mara wanasema najipendekeza kwao mara nimemloga mwanao, sasa nashindwa kuelewa ana tatizo gani hasa hawa wakwe zangu, ila nikikutana ma mama mkwe anafurahi nampa zawadi na yeye ananipa zawadi na tena mara nginyi ni yeye ananipigia simu niende tukapange siku za weekend's ila akiwa na mwanae ndo anamwambia hayo maneno na mwanae anakuja nieleza.
Hii comment imenibariki sana nimeukumbuka Uzi wa tupia picha za mademu wakali.π π Trako lipo ndugu Tena namshukuru MUNGU kwa uumbaji wake Amenijalia figure nzuri 8 na uzuri wa asili,mawifi hapa wametubu maana hakuna wakunizidi
Muda wa kukamilisha taratibu ili waweze kuishi kindoa."muda" wa nini?
πππNdevu bila pesa ni Nyasi
Au naongopaπππ
Hahha kweli kabisa ni nyasi tuAu naongopa