Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Achana na hiyo familia kabla ya kuingia ndoani utafurahi show, hao ni wafanyabiashara
 
Yaani mimi ningekua ni wewe siku nilipotajiwa hiyo mahari ya 7m, kesho yake wangekutana na tangazo la ndoa yangu na binti mwingine.
 
Mnaongea tu, Mahari pia inategemea na unakooa, kama unaoa kwenye familia yenye uwezo lazima utoe pesa mingi, maana for a long run we ndo utaepuka gharama, toa milion mbili au moja kwenye familia, ila for a long run unatoa kama 20 hivi nyingine, maana ukoo wako na wake zote zinakuangalia ww
 
Milioni Saba ulikuta bikira,?
Au aliyotoa bikira alitoa chips yai?
Kabila gani hao?Hebu tuwe siriazi kidogo.
Hata awe bikira siwezi kutoa Pesa hizo , akiwa na bikira ndio Nini Sasa !? Kwamba hatokuja kuwa Hana bikira kama wanawake wengine

Tatizo ukiwa mshamba mshamba wa mapenzi lazima uburuzwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna kikao Cha harusi nili hudhuria siku ya kutoa mahari jamaa Aliambiwa atoe ml 1.7, sio Pesa nyingi but nili dought cuz Binti alikuwa amesha olewa mara 2 na kuachika ningekuwa Mimi nisinge kubali kiwango hicho Cha Pesa
 
Komaa hapohapo kwenye M1 inatosha na kwa kuwa ushamtia mimba tulia wewe sema sina uwezo wa hiyo M7
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Sensa ifanyike watoto warudi shule
 
Kila la kheri
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Duh jaman hivi nyie wakristo mbona mnamahali nyingi hivyo hiyo si lawama
 
Kwani kuna madini gani mkuu kwenye mwili wa huyo binti

Halafu unaweza kuta anagukomwe gugubwaa[emoji41]
 
Back
Top Bottom