Kwasasa hiyo mahari ni kubwa sana,baadhi ya wazazi au walezi,wanaamini kumlisha,kumvisha na kumsomesha binti,ndiyo kumtunza ipasavyo,wanasahau zamani ilikua ukiangalia kumtunza binti,ni mambo yaliyozingatia BIKRA na tabia njema ya binti na hivyo nilivyovitaja mwishoni,ndo vilikua muhimu,na bado mahari iliendana na uchumi wa familia inayooa.
Sasa sasa hivi,wadada unakuta katumika hadi hana ladha,na kizazi hiki unakuta mdada akiwa anaachia kwa wengi,anakutana na wanaume wengine ni wahuni,wanamfanya hadi kinyume na maumbile,halafu utoe milioni 7 are u serious?
Tuma mshenga,awaeleze kua utazilipa tartibu na usizilipe zote,ni kubwa sana,halafu itakufanya uwe na hasira sana maex wake wakianza kurudi kwake,utakuja kumuua,watu waanze kukulaumu kua ungemuacha tu,uoe mwingine kwa milioni 7,kuliko kumuua.