Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Mtu ambaye hata kuandika Mahari huwezi waliwezaje kukupa Mke? Yaani kwa uandishi wako tu ngejua kichwani wewe ni empty.
 
7M hahaha sioi mke kwa mahari yote hiyo
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
 
Kweli umechanganyikiwa maana unaandika kama unakimbizwa. Hakuna kituo.
Kwa sababu ana mimba imetosha watakuruhusu TU umchukue ila kama mahali kwao nikipaumbele usitarajie positive results...ndoa haitodumu au kusumbua sana
 
Wazazi wanakimbilia kutaja mahari utafikiri wanaolewa wao 😂
 
7M kwa mahari labda kama namnunua binti yao moja kwa moja yani harudi kwao tena ndio nishamnunua hivyooo...

Hizi maswala za mahari ifike mahali ziondolewe natamani sana kumjua alieanzisha huu utaratbu aliwaza nini na lengo lake hasa ni lipi?

kwa 7M yani bajaji hiyoo,kwanza kuna IST "a boy from the next door" hapa home anaiuza 5m halafu kaliiii.

7m sio msuli huo useme utaenda ufata pale saba saba,wambie hutaki mazoea hebu...
Mahari katika vitabu vya Dini ni maagizo ya mungu....na hiyo mahari ktk Dini ya kiislamu ni zawadi Kwa mwanamke mwenyewe....kwahiyo mwanamke ndio anaamua apewe kiasi gani.....Sasa bahati mbaya ndugu wameigeuza mahari kuwa ndo mtaji....utasikia sijui mkaja wa mama,sijui kilemba cha Babu yaani Mila ndio imechukua nafasi zaidi.

Ktk Uislamu imehusiwa mahari iwe ndogo ili iwe wepesi vijana kufunga ndoa....na mwanamke wa kiislamu Kwa mapenz yake aweza sema anataka msahafu Tu kama mahari yake na mambo yakawa poa kabisa.
 
Baba mkwe kudai mahari kwa nguvu ni ulafi.
Waambie kwasasa unajipanga kulea mtoto mtarajiwa na mzazi.
 
Milioni 7 😜😜😜😜 kwani ina tivii ndani😜😜😜😜............ harafu ukute hata ukumkuta bikra........pango kubwa Tu kama wengine
Ndo hivyo wenzio walimchezea wakamuacha Tena bure kabisa pasipo wazazi kujua.
yeye anataka kuoa , aoe hivyo hivyo Hakuna namna so umejifanya kiherehere.
 
Kwasasa hiyo mahari ni kubwa sana,baadhi ya wazazi au walezi,wanaamini kumlisha,kumvisha na kumsomesha binti,ndiyo kumtunza ipasavyo,wanasahau zamani ilikua ukiangalia kumtunza binti,ni mambo yaliyozingatia BIKRA na tabia njema ya binti na hivyo nilivyovitaja mwishoni,ndo vilikua muhimu,na bado mahari iliendana na uchumi wa familia inayooa.

Sasa sasa hivi,wadada unakuta katumika hadi hana ladha,na kizazi hiki unakuta mdada akiwa anaachia kwa wengi,anakutana na wanaume wengine ni wahuni,wanamfanya hadi kinyume na maumbile,halafu utoe milioni 7 are u serious?

Tuma mshenga,awaeleze kua utazilipa tartibu na usizilipe zote,ni kubwa sana,halafu itakufanya uwe na hasira sana maex wake wakianza kurudi kwake,utakuja kumuua,watu waanze kukulaumu kua ungemuacha tu,uoe mwingine kwa milioni 7,kuliko kumuua.
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Jiamini huo ndio ushauri wangu, ni mfupi lakini matunda yake utakuja kunisimulia
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Ulikubalije kutoa mahari usiyo na uwezo nayo? Mambo mengine ni kujitakia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom