Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Hii kitu naipinga sana, kwa sababu zipi binti alipiwe mahari tena kubwa hivyo, ukute she's not even sealed...aagr!
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Mahari (si mahali, mahali ni sehemu, mahari ni kinacholipwa ili kupata mke) ni jambo la kijima linalomfanya mwanamke awe kama bidhaa.

Yani, inamfanya mke awe ana bei kama ng'ombe.

Inamvunjia mwanamke utu wake, na inajenga mfumodume kwamba mwanamme anammiliki mke wake.
 
Usitoe inatosha hiyo
Tafuta mtu anaejua kuongea, wewe hautakiwi kwenda
 
Nenda kaseme tu, jamani wazee wangu mimi sitaweza kuoa tena, jambo limekuwa gumu hili.

Alafu potea kweli kweli.
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Tafuta mwanamke mwingine
 
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti

Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.

Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.

Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili

Yaani mahari milion 7 [emoji23] aise watu tumeoa kwa laki 6 na hatuja maliza yote sahiz miaka 13 tunaishi maisha raha mustarehee na ndoa ina aman raha na udambwidambwi mix vicheko
 
Kwan kikawaida mahali intakiwaga i range kwanzia wap mpka wap mweny uzoefu jamniiii [emoji120]
Bei elekezi kwa watoto wakiislamu ni msahafu ama tsh.3OOK-1M.

Kwa watoto wa kikristo ni kati ya 1M-3M hapo.

Zaidi ya hizo tarakimu jua unakuwa umepigwa sababu mbunye nyingi sikuhizi ni refurbs.
 
Bei elekezi kwa watoto wakiislamu ni msahafu ama tsh.3OOK-1M.

Kwa watoto wa kikristo ni kati ya 1M-3M hapo.

Zaidi ya hizo tarakimu jua unakuwa umepigwa sababu mbunye nyingi sikuhizi ni refurbs.
3 m unauziwa Nini?
Na bikira alitolewa kwa chipsi za 2000?
Kwenye Biblia mahari hutolewa kwa mwanamke bikira.
Hawa wengine tulipaswa kupewa Bure tu.
 
Siyo kweli, unapotosha.
Toa ufafanuz
Binafs kwny suala la migogoro na wife
siwez kuitwa ukweni nikaenda.

Kiutaratibu,
Nikigombana na wife,
Anapaswa akanishitaki kwa wazazi wangu
Wao ndo waniite na wanikanye na kunambia wapi nmekosea.

Wakwe zangu kunikanya na kunambia nmekosea, huko ni totally kunidharau na kunikosea heshima.

Kiutaratibu,
Wao wanapaswa kumkanya binti Yao na sio kunikanya mimi.
 
Mkwe hapaswi kuniita nyumbani kwake kwa kunilazimisha.

Yaani hata kwenda kuwasalimia tu ni shughuli. Sembuse waniite ghafla!!!
Sahii kabisa
Jamaa Inaonekana wakwe zake wanamdharau
 
Back
Top Bottom