Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi mtu anatoa million 7 harafu mke anakuja kuliwa kisela na dereva boda boda au kahuni kajinga jinga kamtaani tuWanakupangia mahari sh milioni saba mbususu ya binti yao ina mbuga za wanyama na vivutio vya watalii ndani?
Nenda kikaoni, waeleze wakwezo kuwa mbususu ya mtoto wao ni ya kawaida saaaaaana haina maajabu, ipo sawa tu na mbususu ambazo zinatolewa mahari ya msahafu
Mahari (si mahali, mahali ni sehemu, mahari ni kinacholipwa ili kupata mke) ni jambo la kijima linalomfanya mwanamke awe kama bidhaa.Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Tafuta mwanamke mwingineNinavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Bei elekezi kwa watoto wakiislamu ni msahafu ama tsh.3OOK-1M.Kwan kikawaida mahali intakiwaga i range kwanzia wap mpka wap mweny uzoefu jamniiii [emoji120]
3 m unauziwa Nini?Bei elekezi kwa watoto wakiislamu ni msahafu ama tsh.3OOK-1M.
Kwa watoto wa kikristo ni kati ya 1M-3M hapo.
Zaidi ya hizo tarakimu jua unakuwa umepigwa sababu mbunye nyingi sikuhizi ni refurbs.
Ndo wale Wanawake wanasemaNi beta male huyu [emoji16][emoji16][emoji16]
Hao hao [emoji1787][emoji1787]Ndo wale Wanawake wanasema
"Mi Mume wangu Ni mwelewa sana"
Toa ufafanuzSiyo kweli, unapotosha.
Sahii kabisaMkwe hapaswi kuniita nyumbani kwake kwa kunilazimisha.
Yaani hata kwenda kuwasalimia tu ni shughuli. Sembuse waniite ghafla!!!
Sio Cha pitia thread zakeza mahari yaani huyo demu wake sijui Ana dhahabu kaahhhNikisema ni chai nitaonekana hater