T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Basi hana maamuzi ya kiume huyu mleta madaSio Cha pitia thread zakeza mahari yaani huyo demu wake sijui Ana dhahabu kaahhh
Anapelekeshwa mnooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hana maamuzi ya kiume huyu mleta madaSio Cha pitia thread zakeza mahari yaani huyo demu wake sijui Ana dhahabu kaahhh
Anapelekeshwa mnooo
Mahari unashindwaje mkuu, wakat Ile ni maridhiano yaani mnafanya bargaining mpaka mfikie hitimisho kama una Nia ya dhati kabisa unaoa licha ya mahari uliyotajiwa kuwa kubwa au ndogoHiv wakuu ilitokea mtu katoa posa mahari ikamshinda kutoa hua nn kinafata?
Mfano unaambiwa m3 au m2 mambo yanakua mdivyo sivyo unakwama kabisa, unaweza kuchukua binti,? Nauliza tuu mkuu wala ainihusuMahari unashindwaje mkuu, wakat Ile ni maridhiano yaani mnafanya bargaining mpaka mfikie hitimisho kama una Nia ya dhati kabisa unaoa licha ya mahari uliyotajiwa kuwa kubwa au ndogo
Kuna jamaa yangu aliambiwa mahari M3 2016 yeye akapeleka 900k na mke akaoa na anawatoto wawili hata sent hajaongezaMfano unaambiwa m3 au m2 mambo yanakua mdivyo sivyo unakwama kabisa, unaweza kuchukua binti,? Nauliza tuu mkuu wala ainihusu
Alioa kwa harusi mkuu au alichukua kinyamelaKuna jamaa yangu aliambiwa mahari M3 2016 yeye akapeleka 900k na mke akaoa na anawatoto wawili hata sent hajaongeza
Kwa harusi mkuu na ubwabwa tulimpiga kama kawaidaAlioa kwa harusi mkuu au alichukua kinyamela
Basi kumbe inawezekanaKwa harusi mkuu na ubwabwa tulimpiga kama kawaida
Vipi, Demi, kidogo au nyingi? Maana duh unaosimama pande zote.Mil 7 duh!
Ni mahari mkuu. Ingekuwa magari tungesema pengine Ni mapya.Magari m7 sasa si mrudishe biashara ya utumwa
Ni nyingi mno. Lkn km mtu anajiweza atoe tuVipi, Demi, kidogo au nyingi? Maana duh unaosimama pande zote.
Samahani, wewe zilitolewa ngapi? kama hutojali!!
Maana wengine wanajumlisha na blanketi la Bibi, mkaja wa shangazi, kibembelezo cha mama, mambo kibao. Ukijumlusha ndiyo hiyo m7!!! Looh! Mabinti wenyewe hawa wa dot.com!!😀😀😀😀😀😀
Hata kama angekuwa fundikiasi gani, that's too much! Hiyo biashara kabisa.Huwezi jua kaka pengine alifinyiwa kwa ndani.[emoji23]
Mmh! Hiyo mbususu ina chumba Cha akiba ndani yake?Ni nyingi mno. Lkn km mtu anajiweza atoe tu
Mbususu next level..haichokiMmh! Hiyo mbususu ina chumba Cha akiba ndani yake?
Hata kama ana uwezo, kwanini kufanya Kama biashara. Hii ni rahisi kutengeneza kiburi kwa mwoaji; kwa asiyehekima haishi kutaja taja kima cha mahari wakiudhiana. Hiyo ndiyo hofu yangu.