Hearly Loyalty
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 411
- 370
Ni beta male huyu [emoji16][emoji16][emoji16]Kiutaratibu,
Ni fedhea Kuitwa ukweni wewe ukaenda,
Wewe ndo umeoa, wao ndo wameolewa
Wao ndo walitakiwa waje kwako au mkutane mahali pengine ila sio kule ukweni ulikooa wewe.
Achana na hiyo familia kabla ya kuingia ndoani utafurahi show, hao ni wafanyabiasharaNinavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Hata awe bikira siwezi kutoa Pesa hizo , akiwa na bikira ndio Nini Sasa !? Kwamba hatokuja kuwa Hana bikira kama wanawake wengineMilioni Saba ulikuta bikira,?
Au aliyotoa bikira alitoa chips yai?
Kabila gani hao?Hebu tuwe siriazi kidogo.
Ng'ombe 35 mkuu.Hivi mil7 ni sawa na ng'ombe ngapi?
Sensa ifanyike watoto warudi shuleNinavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Duh jaman hivi nyie wakristo mbona mnamahali nyingi hivyo hiyo si lawamaNinavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Wajinga ndio wali wao [emoji1787]Milioni 7 unamuoa na baba yake???
Watu wengine ovyo kweli mahari gani kubwa hivyoo?
Kama Sinta...... alipigwa denda hadi gari ikagoma kwenda, Inaniuma Sana by Juma NatureHuwezi jua kaka pengine alifinyiwa kwa ndani.[emoji23]