Ukweni moto unawaka baba mkwe kaniita, naombeni ushauri

Kama ana bikra million saba wamekwambia kidogo pambana ulipe Ila kama hana hiyo million 1 uliyolipa bado nyingi nenda kadai change yako waambie ulijichanganya wakate hapo 120K wakupe baki yako 880,000/=.

Wakikataa achana nae azae ageuke singo mama.
 
M 7 unaoa au unafungua duka la spare?, Kwanza hauko serious
 
Relax , hakuna kitu watakufanya hao!
Embubpambana na vitu vya msingi

Imarisha ndoa yako na wekanmalengo ya familia yako usji associate sana na hao wazee stress zinawasumbua ,

wakikuuliza kuhusu fedha waambie utawatumia mwa ujao wa fedha !
 
Mrejesho?
 
Duh mzee kama uliahidi kutoa amna namna we jitahidi utoe kama Huna basi waangalie utaratibu hata wa kulipwa kidogo kidogo
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…