Ukweni ni kuzuri ukiwa na uwezo wa kuwabadilishia maisha yao kuwa bora

Ukweni ni kuzuri ukiwa na uwezo wa kuwabadilishia maisha yao kuwa bora

Huo upumbavu kwangu never bora nijengee baba na mama watanibless hizo shida zao kama mpaka wanazeeka wameshindwa kuzitatua ts over, ujana wangu ni muhimu kwa future yangu, nitasaidia mengine but not to that extent hata wao silently wataniona boya. Huko ni kutafuta huruma isiyo na lazima meanwhile life has no mercy.
Imetokea baba mkwe anafariki rafiki zako wanakusindikiza nyumba ni mbavu za mbwa hata jeneza halipiti.
 
Huu ushauri ni kwa wenye hela tu. Hata mimi niwe na hela uhakika wa kama 10M per month upo nakosaje kuwajengea ukweni kama nikikuta maisha magumu.

Kila kitu ni risk, huwezi goma kuwajengea kisa unaogopa utaachana na mke kama ni hivyo usingemuoa. Yani najisemea nikiwa na hela nijenge orphanage na watoto niwalishe mwenyewe sembuse kujenga vyumba vinne ukweni
 
Huu ushauri ni kwa wenye hela tu. Hata mimi niwe na hela uhakika wa kama 10M per month upo nakosaje kuwajengea ukweni kama nikikuta maisha magumu.

Kila kitu ni risk, huwezi goma kuwajengea kisa unaogopa utaachana na mke kama ni hivyo usingemuoa. Yani najisemea nikiwa na hela nijenge orphanage na watoto niwalishe mwenyewe sembuse kujenga vyumba vinne ukweni
Hata ikitokea umeachana na mke, acha baba mkwe amtukuze Mungu kwa kuletea msaada uliompa nyumba bora.
 
Huu ushauri ni kwa wenye hela tu. Hata mimi niwe na hela uhakika wa kama 10M per month upo nakosaje kuwajengea ukweni kama nikikuta maisha magumu.

Kila kitu ni risk, huwezi goma kuwajengea kisa unaogopa utaachana na mke kama ni hivyo usingemuoa. Yani najisemea nikiwa na hela nijenge orphanage na watoto niwalishe mwenyewe sembuse kujenga vyumba vinne ukweni
Ukiwa masikini hata mtu anae kula milo 3 kwa siku utaona anafanya anasa.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Imetokea baba mkwe anafariki rafiki zako wanakusindikiza nyumba ni mbavu za mbwa hata jeneza halipiti.
Sasa je vipi kuhusu kwetu kama litatokea swala kama hilohilo ni wapi nitaonekana mm mjinga au patanifedhehesha zaidi nyumban au ukweni?
 
Kuna yule mwamba lisimulia humu aliemnunuliaga shamba mama mkwe wake na kumjengea nyumba plus choo cha kisasa sijui alilipwa nini
[emoji23][emoji23][emoji23] akhasante nyingi sanaa adii jamaa akashindwa kuzibeba
 
Back
Top Bottom