Ukweni ni kuzuri ukiwa na uwezo wa kuwabadilishia maisha yao kuwa bora

Imetokea baba mkwe anafariki rafiki zako wanakusindikiza nyumba ni mbavu za mbwa hata jeneza halipiti.
Tatizo liko wapi Sasa hao marafiki Wana takiwa kujua Kuwa huo sio wajibu wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani nijiingize ktk gharama zisizo nihusu kisa kwaajili ya kufikiria marafiki wata nionaje !?

You must be kidding
 
Mkuu hapo sio Lindi liwale kweli, hiyo ndio sitaili yetu ya kujenga Nyumba huku
 
Tatizo liko wapi Sasa hao marafiki Wana takiwa kujua Kuwa huo sio wajibu wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani nijiingize ktk gharama zisizo nihusu kisa kwaajili ya kufikiria marafiki wata nionaje !?

You must be kidding
Kwa mawazo haya hatutakaa tutokomeze mabavu za mbwa Tanzania.
 
Kwenu kuna afadhali kidogo, Mzee alipopata pension yake ya uwalimu alimalizia pagala lake na sasa hivi wanaishi kwenye nyumba bora.
Wapi ni sahihi kuanza kujenga kati ya kwenu na ukweni
Ikiwa pande zote zinauhitaji?
 
Wakwe zako ni wazazi wako pia ni vizuri kuwaboreshea pia maisha yao kama hawajiwezi.
Kwann michepuko kama ujamaliza ujana kwann uingie kwenye ndoa
 
Binadamu hana shukurani. Hata umfanyie nini.

Utafanya mengi mazuri, Ukikosea moja. Umefuta yote mazuri.

Be real
Wajibu wako ni kutenda wema na sio kugoja shukrani.
 
Nihitimishe kwa kusema vijana tutafute Hela tena hela nyingi sana
 
Ni mtazamo wako tu.
Kwani kwa waganga na mitume mbona mnachunwa pesa nyingi Sana zaidi unapata nini cha ziada.Wakwe ni babu na bibi wa watoto wako labda tu kuepuka hayo kaoe kwa matajiri.
Wanaweza wakawa ni masikini lakini Wana good heart.
 
Kwenu umeshamaliza kufanya haya au huna wazazi
Yaani ujenge kwako na familia yako, ujenge Kwa mkeo, ujenge kwenu.

Bado usomeshe wanao, wadogo zako, ndugu wa mkeo.

Bado usaidie ndugu zako, wazazi wako,

Bado michango ya jamii.

Hapo kipato chako take home 400,000 mwalimu wa Grade A na ajira umepata ukiwa na Miaka 35!!

Halafu utarajia kutoka kwenye umasikini?????

πŸ˜„πŸ˜„
 
Ukitoka Dar tu unaanza kukutana na mbavu za mbwa. Sehemu ambayo hizi nyumba zimepotea ni Kilimanjaro.
Acha uwongo.

Hizo nyumba zipo sana.

Ingawa huku wanajengea Mbao ( Kwa zamani ) na nyingine wanatumia Tope lililochanganywa na nyasi.
 
Duuuh kujenga ukweni tena, mbona tunaanza kupotoshana kimya kimya
 
Anatupotosha huyo, huo mpango wakujengea wakwe umeanza lini tena
 
Ni mtazamo wako tu.
Kwani kwa waganga na mitume mbona mnachunwa pesa nyingi Sana zaidi unapata nini cha ziada.Wakwe ni babu na bibi wa watoto wako labda tu kuepuka hayo kaoe kwa matajiri.
Wanaweza wakawa ni masikini lakini Wana good heart.
No research no right to speak, how sure kwmb mimi ni mwendaji kwa waganga na wakwenda huko kwa wachungaji and uko sawa kwamb ni mtazamo wangu and never kujenga ukweni ntayafanya mengne yote ila si kujenga kama hawatakuwa thankfull kw hivyo ntakavyofanya basi ni jibu tosha na sababu yakutojengewa.
 
Ipo tofauti ya kujenga ukweni na kuwajengea babu na bibi wa watoto wako upande kwa mama yao.
Unaishi kwenye ghorofa town unajisikiaje kupeleka watoto wako wakawasalimie babu na bibi yao wanaokaa nyumba mbavu za mbwa huku ukibadili magari makali.Hali ukiwapa milioni 3 tu kijijini wanajenga nyumba fresh tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…