Ulaji wa Panya mikoa ya Kusini: Safari yangu ya siku 37 ilivyonifungua mambo mengi

Ulaji wa Panya mikoa ya Kusini: Safari yangu ya siku 37 ilivyonifungua mambo mengi

Mi nitaenda Mtwara kwa mambo mengine kabisa ila si kula au mambo ya Panya
 
Kuna kisa kimoja cha mwalimu wangu juu ya ulaji wa panya..
nimesoma kusini mkoa wa Lindi shule moja inaitwa mahiwa high school

Mwalimu wangu wa geography aliitwa Mr mwazembe jitu la miraba minne kutoka mbeya alibahatika kupata binti wa pale kijijini,.Ruti za shuleni kwenda kijijini Kwa mchumba wake zilikuwa nyingi sn.

Km unavyojua mikoa ya Lindi na Mtwara ulaji wa panya ni kitu cha kawaida sn,Kwa hiyo mke wa ticha alikuwa mlaji mzuri sn wa panya.Km ilivyo kawaida ya wabongo,ticha alidharau sn watu wanokula panya,lkn Yule dada (demu wake) alikuwa mlaji wa panya..siku moja ticha akaamua kujaribu kuonja..asee Radha aliyokutana nayo,kuanzia siku hiyo akageuka kuwa ndiyo kinara wa walaji panya

Ticha akaenda mbali zaidi,akawa na mtu wake maalumu anachukua panya kwa bili,kisha analipia mwisho wa mwezi mshahara ukitoka..
Watamuu sanaaa
shukrani, umeongea vizuri, we ni kweli umefanya uchunguzi mwenyewe hujakaririshwa.

kuna watu waliokaririshwa basi wao huishia kuiaminisha dunia kuwa panya hawa wa majumbani ndiyo wanaoliwa huko kusini wakati siyo kweli kabisa. pia huaminisha dunia kuwa watu wote wa kusini (lindi na mtwara) wanakula panya, wote! nimefurahi kuona hata wewe umejiridhisha kuwa si kweli, nikienda ndani zaidi ni kuwa ukweli ni kwamba maeneo yenye waumini wengi wasio waislamu km masasi ndiyo yanaongoza kwa ulaji huo wa panya. aina hii ya panya, pia huliwa maeneo fulani ya morogoro

ila nitajaribu kuweka sawa kidogo kama hautojali, ni kuwa si kila eneo la kusini utaona uuzaji wa panya. ni maeneo yale tu wanayopendelea hiyo kitu kama huko masasi. sehemu kama kilwa kamwe huwezi kukuta kitu kama hicho.
Sema watani zangu mnakula vitu vya kushangaza! Ngedere,nyani, viwavi (chavi chavi) nyie mnatupia tu! Mradi kaumba Mungu
 
Hata baadhi ya watu wa njombe wanakula panya hao wa shambani.
Panya wa njombe tofauti, wanaitwa ndezi na kupa ni wakubwa kama sungura wengine wanazidi hata kwa sungura,siyo jamii ya panya kama wa mtwara na lindi.
 
Watu wakiwa mjini huku wanalishana uongo mwingi. Ukikuta panya wameandaliwa hata hawa wanaopondea wengi watakula.
 
Mie naishi Masasi na ninalima Tunduru kwahiyo naelewa zaidi ya unavyofikiria. Ukanda wote wa kusini kuanzia Namtumbo, Lusewa, Tunduru, Mtambaswala, Mangaka, Masasi, Ndanda, Mtama, Newala, Lindi hadi Kilwa wanakula hao viumbe. Pia na chatu analiwa vizuri sana
Usisahau pale Mwena
 
vile kina njomba nchumali wakiwahi samaki nchanga sokoni
E6haqJDX0AQ-xf1.jpg
 
Sema watani zangu mnakula vitu vya kushangaza! Ngedere,nyani, viwavi (chavi chavi) nyie mnatupia tu! Mradi kaumba Mungu
kuna wamakonde chale (wamawia) nasikia, wana asili ya msumbiji.........hao ni kama wachina linapokuja suala la malaji. hata wachache waliopo huku tz upande wa kusini huwa kama wanatengwa flani hv au wanajitenga maana ni kawaida kukuta mtaa wao kabisa au kijiji chao. hao balaa, mkigombana na wakahisi kuna hatari kwao basi kijiji kizima huweza kuhama ndani ya dakika tu.
 
Niliwakuta wengi Sana wiki mbili zilizopita maeneo ya MWENA MKALAPA CHIGUGU katika harakt zangu za maisha

Nilichogundua kumbe sio panya hawa wa majumban wao ni tofaut kabisa Kuna jamaa alinionesha panya ambaye hajabanikwa

Ila inahitji moyo kuwala

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mie naishi Masasi na ninalima Tunduru kwahiyo naelewa zaidi ya unavyofikiria. Ukanda wote wa kusini kuanzia Namtumbo, Lusewa, Tunduru, Mtambaswala, Mangaka, Masasi, Ndanda, Mtama, Newala, Lindi hadi Kilwa wanakula hao viumbe. Pia na chatu analiwa vizuri sana
Asee nimeishi Sana kilwa hasa maeneo ya kipatimo masoko pande nakiu nanjirinji kiranjeranje kinjumbi chumo kibata sijawah ona watu wakila chatu au panya si kweli

Panya wanaliwa maeneo ya masasi mangaka Tena mangaka au nanyumbu n maeneo machache Sana


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Km unavyojua mikoa ya Lindi na Mtwara ulaji wa panya ni kitu cha kawaida sana
Sio kweli!! Ni Masasi peke yake ndiko panya wanakoliwa kwa wingi! Hakuna sehemu yoyote Lindi unakoweza kuta panya wanaliwa kwa wingi, na ukiona watu wanakula panya basi huyo ni mwenyeji wa Masasi! Ni kama Zanzibar ukute mtu au baadhi ya watu wanakula kitimoto halafu u-conclude kwamba ni jambo la kawaida sana Zanzibar kuona watu wanakula kitimoto!

Ukikuta mahali Lindi wanakula panya basi ni kama kukuta Zanzibar watu wanakula kitimoto!! Pia sio rahisi ukute panya wanaliwa kwa wingi wilaya zingine za hata mkoa wa Mtwara mbali na Masasi kwa sababu, ukitoa Masasi, wilaya karibu zote Mtwara zimejaa Waislamu!!

Hili nalifahamu vizuri kwa sababu nimezunguka sehemu mbalimbali za mkoa wa Lindi na Mtwara kuanzia mwezi March hadi June.
 
Asee nimeishi Sana kilwa hasa maeneo ya kipatimo masoko pande nakiu nanjirinji kiranjeranje kinjumbi chumo kibata sijawah ona watu wakila chatu au panya si kweli

Panya wanaliwa maeneo ya masasi mangaka Tena mangaka au nanyumbu n maeneo machache Sana


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa muongo!!
 
Napenda kujaribu kula kitu kinacholiwa na jamii ya watu wa eneo husika ni huluka tu,ndoo maana miaka ile waliniita Mchina.

Ushakula funza wakubwa wakwny magogo na magome ya miti mikavu.

Acha kbsa..

Ni mboga hyo ilikuja na mmisionar alieenda kongo baada ya miezi akaja na madude hayo.
Acha bas🤪
 
Mie naishi Masasi na ninalima Tunduru kwahiyo naelewa zaidi ya unavyofikiria. Ukanda wote wa kusini kuanzia Namtumbo, Lusewa, Tunduru, Mtambaswala, Mangaka, Masasi, Ndanda, Mtama, Newala, Lindi hadi Kilwa wanakula hao viumbe. Pia na chatu analiwa vizuri sana
Wewe muongo!!! Ukitoa wilaya ya Masasi (ambayo ndiyo inachanganya na Namtumbo), maeneo mengine uliyotaja yote sio kweli. Mahali kama Newala ukikuta panya basi ni kwa uchache, na watakuwa wanaliwa na wenyeji wa Masasi, au labda watu wa Msumbiji ambao wao ndio ula hadi Chatu, lakini Mmakonde wa kawaida, ambao wengi ni Waislamu, huwezi kukuta wanakula panya au chatu!
 
Back
Top Bottom