SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mimi heri mninyang'anye vyote ila mniachie tu ugali.

Mluhya original kutoka magharibi mwa Kenya.
 
Wazee wetu wangekuwa timamu kama unavyowanadi wangewatawala wakoloni au wangeukataa ugali.
Chips yai zinawasahaulisha sana mpaka mmeanza kujiona mna aleji na UGALI
Kabisa. wazee wetu wangekuwa na akili wasingekuwa wanasakwa na Mwaarabu moja kama ng'ombe kutoka Ujiji hadi Bagamoyo. Tena kuna sehemu anasinzia na kulala, wanamlinda hadi aamke then anawasaka tena. Kuna mahali anachoka, wanambeba kwa kupokezana. Wazee wetu walikuwa Fake-n kama sisi sisi wajukuu zao wa chipsi mayai. Vile unavyomuona Mwikaju na Machawa wengine wa CCM ndivyo walivyokuwa wengi wa wazee wetu ingawa inawezaka si wote.
 
Ugali ni chakula cha maskini. Inadumaza akili za watoto. Kama Uchumi wako upo vizuri kidogo piga marukufu ulaji wa ugali wa mahindi kwa watoto wanaokua. Pia, Mungu akikubariki kidogo uchumi wako ukawa bora ondoa ugali wa mahindi katika ratiba ya ulaji wa nyumbani kwako. Zidisha Protini na wanyama na mime na vitaminis (matunda na mbogamboga) katika kapu la chakula cha familia yako kila siku.
 
Umenena kweli Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mbwa wenyewe wa kibongo wasile ugali si watakufa njaa.
Ukiongelea mbwa sio hao uliosema wa kibongo, hao ni mbwa koko..... ndo wanakula ugali sababu ya kukosa chaguo tu.
 
Vyovyote tutakufa tu,
Nmekumbuka ugali dagaa Dah umatemate umenitoka ,nkajipikilishe tu😅
 
Kwani nutrients unazipata kwa kula kitu kimoja pekee? Je, huo ugali unaliwa peke yake?. Wewe sema huna hela ya kununua samaki wa kula na ugali.
 
Ugali (pap) nilikutana nao Botswana, basi na zile nyama zao za ng'ombe utakula tu hata kama haupendi.
 
Nimecheka kama mazuri ... kama sijakosea, ingia Google kisha tafuta matumizi ya mahindi kwa mataifa yanayolima mahindi kwa wingi duniani.. matumizi ya mahindi ni kwa kutengenezea chakula cha mifugo.. kuna majedwali utaona kuwa matumizi ya binadamu ni mwisho kabisa (wametumia neno "kwa matumizi mengineyo"

Source Google

Around 60% of the total maize production in China is utilized for animal feed, and only 10% is used for human food and seeds.

...animal feed and ethanol production collectively make up around 73% of U.S. corn usage. Other uses of corn include the production of sweeteners, starch, cereal, and alcoholic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugali wa mtama mwekundu uliochanganywa na muhogo plus maziwa ya mgando plus supu ya utumbo,nilikula 2016 katoro pale Kwa mama yangu mdogo aiseh nilikumbuka mbali Sana hasa Kule kibara Busambara kwa Bibi yangu Nganzi!!!

Moja ya mlo Bora kabisa niliowahi kuula!!

Shida ilianza baada ya kuja Dodoma aiseh ugali mahindi ukaanzia hapo warangi hawali ugali wa mtama na mhogo!

So sad!!!mahindi ya plastic haya DK no hatari kwa afya!!
 
Nini kilitangulia kati ya wakoloni na kilimo cha mahindi,.!?,nyie watu mna matatizo kichwani hata kutumia google hamjui. Ila mna justify upumbavu wenu kwasababu nyepesi nyepesi..
Mahindi yaliletwa na Portuguese.
 
Ugali haufai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwana, unazidiwa akili mpaka na panya? Ukikoboa mahindi unabaki unakula makapi ambayo haya panya hayali! Yaani wewe unachukua mahindi tu kutoka kwa wauzaji na kwenda kusaga? Hopeless kabisa!
Twende Kwa facts, hizo story za makapi huwa wanaongea malayman wasiojua chochote kuhusu nutrition. Embu tujue ukikoboa unaondoa virutubisho gani ambavyo havipatikani kwingine? most of the time ugali huwa unaliwa na mboga hauliwi mkavu, kiini cha indi ambacho kinaondolewa kina fat kwa wingi na protein kidogo, vitamins kidogo plus fibers ambazo zinapatikana kwenye ganda la nje. Vyote hivyo unaweza vipata Kwa usalama kabisa toka kwenye mboga zako za majani au hata maarage, iwapo itakula ugali ndondo. Ukikoboa utabakiza starch na fats, starch ndicho kitu kikuu unachokufuatwa kwenye mahindi.
Cha msingi ni wewe ni kuchagua unahitaji hayo MAFUTA na some little protein with a cocktail of toxins au ukoboe ili uoñdokane na majanga ili hivyo vitu unavyoondoa upate kwenye source zingine.
 
Kapata mgao wa mafao ndo anakuja kuropoka huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…