SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wakenya hao uwatajao wanakula ugali utokanao na mahindi au mtama?
 
Kanda ya Ziwa wanakula ugali wa Mtama na siyo mahindi
 
Dr. Shukrani Kwa michango but naomba nirekebishe kidogo kwenye hii hoja hapa;
'Unga na hata ugali una chembe chembe za Heavy metal ambazo ni mycotoxins zinazoitwa Aflatoxins au kwa jina jingine Aspergillus flavus zipo kiwango kidogo sana yaani (μg g−1)..'
Hoja ya Kwanza: Chembe chembe za heavy metals Kwa Kiswahili ni madini tembo na yapo ya aina nyingi kama zebaki, lead, Arsenic etc. so heavy metals zinastand alone. in most cases unga wa mahindi ni nadra sana kuwa na Kiasi kikubwa cha madini tembo ( Heavy metals). Labda kama process ilikuwa very very contaminated au kuna uchafuzi wa hali ya juu huko mashambani kutokana na sumu za kuuwa wadudu mbolea n.k
Hoja ya pili: Ni kweli mycotoxins Zipo za aina nyingi moja wapo ni hii inaitwa aflatoxin Kwa Kiswahili 'SUMUKUVU'. Sumu kuvu ni sumu zinazozalishwa na ukungu au Kwa lugha ya kigeni moulds ambao huota kwenye hizo nafaka na bidhaa zake kama unga, mikate, maandazi, mihogo n.k. Kuna ukungu WA Aina nyingi lakini ambao unaweza zalisha sumukuvu ni pamoja na hao Aspergilus flavus penicillium, fusarium etc.
HOJA YA MSINGI. Mahindi na Karanga
huwa yatashambuliwa Kwa wingi na Kwa urahisi Sana na hao ukungu wanaozalisha sumukuvu. In most cases mashambulizi haya yanatokana na uhifadhi mbaya WA nafaka na bidhaa zake. Chanzo kikuu cha mashambulizi ni uhifadhi unaosababisha unyevu pamoja na uchafu.
Sumu zingine kwenye hizi nafaka zetu ni vihifadhi au Kwa lugha ingine pesticides ambazo wengi huweka ili nafaka ziliharibiwe na wadudu waharibifu. Tatizo kubwa kinakuwa kwenye withdrawal period ambapo wengi ya wakulima huwa hawazingatii.. maelekezo wanasema sumu ikitpulizwa mahindi yasitumike Kwa miezi mitatu but wengi wao wanapuliza leo wanauza kesho. Sasa sumu hizi si rahisi kuziona au kuzinusa au kuziona, so the safe side ni kuyaosha na kuyakoboa haya mahindi, çoz hatujui Kipi kilifanyika nyumba ya pazia. But kama unauhakika na value chain ya mahindi yako basi yasage Dona.
 
Shukrani sana Chief nakubali marekebisho!
Japo Nilikosea, lengo nilikuwa ni kuandila Heavy metal na mycotoxins..
Ila kwa bahati mbaya Nilisahau kiunganishi "Na" baina ya maneno hayo..

Sina elimu Kubwa sana kuhusu Afya ya Mazingira "Enviromental Health" na Elimu ya Mimea "Botanist"

Kuhusu Lini hasa Sumu hizo Za mycotoxins huingia kwenye Mahindi..
Mycotoxins "Fusarium" na "Aspergillus species" inashambulia Mhindi na mahindi Kwenye stage mbili ambazo ni both pre-harvest na storage stage..

Kuna studies nyingi zilizofanyika na zimeonyesha hivyo moja ya study ni hii hapa chini..

A Comprehensive Study on the Occurrence of Mycotoxins and Their Producing Fungi during the Maize Production Cycle in Spain contamination is one of,pre-harvest and during storage.
 
Yah: Mashambulizi na Uchafuzi yanaweza tokea katika stage yeyote katika value chains ya mahindi. Inaweza kuwa shambani, wakati wakati uhifadhi usafirishaji, na hata pale nyumbani. So stage zote lazima watu wawe makini. Kinachowezekana kufanya kifanyike Kwa umakini na Kwa wakati.
 
Na kwa mikoa yenye Uhanga wa mvua na mvua Nyingi Inatokea sana
 
NAfahamu na Lipo kwa kasi sana..
Japo kwenye Mihogo huwa ndo lina Onekana sana..

Ila kwenye mahindi Huwa ni kiasi kidogo na inaathiri Polepole..

Kama Umesoma hiyo report means kama hizo zina high level means nyingi kama sio zote zina Low level..

So hakuna hata mmoja aliye huru na Sumu hii wote tuko infected kama tukiendelea kula ugali..
 
NAfahamu na Lipo kwa kasi sana..
Japo kwenye Mihogo huwa ndo lina Onekana sana..

Ila kwenye mahindi Huwa ni kiasi kidogo na inaathiri Polepole..

Kama Umesoma hiyo report means kama hizo zina high level means nyingi kama sio zote zina Low level
Ukungu wanaoota kwenye mihogo siyo wale wanaozalisha sumukuvu. Au ata wakitokea kuivamia mihogo basi wanakuwa hawapati stress ya kuweza kuzalisha sumukuvu. Kuna species zaidi ya 40 za ukungu/ moulds. Kuna ambao wanazlisha sumukuvu na ambao hawazalishi. Ukungu wanafanana kimuonekano wa nje kwani huonekani Kwa rangi, kama njano, Kijani, kijivu n.k inahitaji laboratory procedure kuweza watofautisha
 
Shukrani kwa somo mkuu..
Mnatakiwa sana mtufundishe..

Haya mambo tunahitaji sana kuyajua Vinginevyo tutaisha sana
 
Asante kwa elimu Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MTU kutokuwa na akili tatizo sio u gal I MTU mweusi dunia nzima yupo hana maendeleo
 
Acha utani
 
ukila ugali ujue na kufanya kazi za nguvu kama wasukuma. piga jembe sawasawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…