SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
ugali ni mtamu sana
 
Ukiongelea mbwa sio hao uliosema wa kibongo, hao ni mbwa koko..... ndo wanakula ugali sababu ya kukosa chaguo tu.

We ushawahi kufuga mbwa nchi gani? Tuanzie hapo kwanza.
 
Ulayana amerika wanauitaje?
 
Kumbe kichaa kipo kweli jamani😳😳😳😳
 
Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili,
 
Hata kama ulifanya art, vipindi vya biology 1 n 2 ulikuwa chaka alafu hapa umekurupuka kunijibu bila kufanya tafiti.
Letu ushahidi wowote kunipinga ila mbambamba peleka vidudu
 
mzungu anatumia uboo kupigwa pumbu na vidume pia usiache kuiga maana unawahusudu sana.
 
Nimejitahidi kusoma hadi mwisho nikijua naweza pata facts lakini mpaka mwisho ni pumba tupu. Hakuna fact hata moja
 
Ulayana amerika wanauitaje?
Ulaya na Marekani wana Tamaduni Tofauti na Tamaduni za Africa..
Ugali ni Tamaduni za Kiafrika..

Ulaya Tamaduni zao nyingi zilianza kipindi cha Anglo-Saxons Societies na Viking pia..

Marekani Ni taifa la West Indies so Tamaduni nyingi zimetoka huko..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…