SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ugali ni hata vitamini na madini hauna,
Je unazungumzia ugali upi? kulingana na mchanganuo wa UMUGHAKA

 
Kwa nini ugali huwa hauliwi kwenye sherehe??
 
Waliotuletea mahindi wanakula mahindi ya kuchemsha ila sio ugali
 
Ugali wa mahindi
 
Chakula na vina Saba ni tofali Mazingira yanasimama Kama mjenzi.
Kama Akili huna angalia hata waliokuzunguka kama wanazo au mambugila tu .
 
Mtoto yupi huyo aliyewahi kuzaliwa na IQ ya 300 duniani?

Natamani nimuone au nimsikie na kumsoma tu.
 
Mnadangayana tu mahindi ndio chakula kikubwa hata Huko Ulaya. Moja ya sababu Wamarekani wana unene kupita Kiasi ni ulaji wa Mahindi kupindukia. Sababu wao hawali ugali haimaanishi Hawali mahindi.

Vile vyakula vitamu vitamu vya wazungu unavyoona supermarket kama Vile biskuti, Cereal, Sukari, makaroni, wafers na vingine vingi ni mahindi.

On average mmarekani anakula kama gram 200-250 hivi za Mahindi kila siku.
 
Huu ni uongo
 
Mahindi ndiyo nafaka yenye nguvu zaidi. Ni bora kuliko mchele na ngano.
 
Kasomea historia , mreno kaleta ugali 1600 ukoloni umeingia 1800 , mmelishwa ugali Kwa miaka 200
Sasa kama walikuwa na IQ kubwa waliwezaje kuacha asili Yao ya kula mizizi na kichutumia vyakula vya wageni?
 
Kweli mti wenye matunda hupigwa mawe, yani niache kula ugali dagaa wa ku rost na mtindi, serious? you must be out of ur mind.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…