SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
1. Ugali 'Bora' ni ule uliokobolewa, coz kiasi cha sumu za kuhifadhia hayo mahindi hupungua kupigia ukoboaji, labda kama hayo mahindi umelima wewe. Ugali Bora ni sembe kwani wafanyabiashara wengi wakiona mahindi yameharibika au kuoza ( Kuota fungus) hupendelea kuyasaga moja Kwa moja kuwa unga. Sembe ni Bora Kwa kuwa sembe inakaa muda mrefu bila kuharibika ukilinganisha na Dona kutokana na MAFUTA. Dona ina MAFUTA mengi kuliko sembe sababu ya kiini cha mbegu za mahindi ambacho kwenye sembe huwa kinaondolewa. Dona nyinginzilizopo madukani huwa zinawahi kuharibika nankuwa chungu kutokana na oxidation ya MAFUTA inayosabanishwa na uwepo wa hayo mafuta ikichangiwa na mwanga na joto. Athari unazoweza zipata Kwa Kula unga ulikuwa oxidized ni pamoja na cancer n.k
2. Kuna vyanzo vingi vya starch kama wali, tambi, viazi n.k wataalamu wanasema starch na sukari siyo nzuri Kwa Afya yako, matatizo mengi yabkiafya yanasababishwa na starch) sukari yakiwemo matatizo ya ini, kisukari, figo n.k
3. Mahindi hayana cyanide. Cyanide iponkwemye mihogo, na ni natural compound inayozalishwa kwenye mihogo ili kujilinda. So si kweli usipokausha vzuri mahindi yatatengeza cyanide, instead yatashambuliwa na fungus wanaosababisha sumukuvu.
4. Opt vegetables instead if you real need fibers.
5. As 4 above.
6. Animal proteins is better coz unapoila haina vipingamizi kama vilivyopo kwemye plant based proteins. Proteins za mimea zinakuwa na vipingamizi vingi ( anti nutritional factors) ambazo vinapunguza bioavailability yake.
7. Kuhusu ngozi SINA uhakika..hope tumeelewana
 
Mimi ugali naokul
Ugali naokula mimi ni mahindi na ngano
 
Source: TRUST ME BRO
 
Unapokataza kula ugali tuambie pambio lingine la mlo tule nini!!
Vinginevyo unatudanganya.
 
Huko wanazalisha Kwa wingi kulisha mifugo kama ng'ombe nguruwe sio kula kama ninyi!
 
Mwenyewe nilishtuka mapema nashukur Mungu nikajiuliza kwann wazungu hawali maindi, binafsi mm kitu kama mzungu hatumii na mm siwez tumia ndio utamadun wangu coz wazungu wapo mbele kifikra miaka elfu tano kuliko sisi ngozi nyeusi!! Hata kama mtakataaa.

Hvo nikapiga marufuku ugal pale home ni mwendo wa wali ndizi,viazi.naona positive changes nyingi sana .

Ugali na maindi kiujumla ni chakula Cha wanyama..wengi hamuwez elewa huyu mtoa mada anamaanisha nn sabb ugali ushawaathiri uwezo wenu wa kufikiri!!

Mwisho ugali ni sumu inayoua taratibu kama sigara na pombekali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…