SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kumekuwepo na madai kuwa ulaji wa ugali hudumaza akili. Madai haya yana ukweli kiasi gani?

02692B18-05FE-4851-857F-7A5DA6E174CD.jpeg
 
Tunachokijua
Ugali ni chakula kinachotumika sana Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kwa mujibu wa utafiti wa Onu Okpa et al (2019), “Sub-Saharan African Maize-Based Foods - Processing Practices, Challenges and Opportunities” mahindi huchangia 30% ya nishati za vyakula wanavyotumia watu wa ukanda huu kila siku.

Kwa mujibu wa utafiti huu, kila mtu anayepatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara hutumia wastani wa kati ya gramu 52-450 za mahindi kwa siku. Ni chanzo kikuu cha ugali unaotumika kila siku kwenye nchi hizi. Kwa Tanzania, 64% ya wananchi wake hula chakula hiki walau mara 5-7 kwa wiki.

Takwimu hizi zinaonesha kuwa ugali ni chakula kinachotumika sana, pengine kuliko aina nyingine za vyakula. Baadhi ya watu huutengeneza kwa kutumia unga wa mhogo, mtama, ulezi pamoja na aina zingine za nafaka.

Bila kujali tofauti ndogo za mgawanyiko wa virutubisho, nafaka zote husifika kwa kuwa na kiasi kikubwa cha nishati na wanga, pia kiasi kidogo cha madini na vitamini muhimu kwa afya.

Kuhusishwa na udumavu wa akili
Kitaalamu, udumavu wa akili husababishwa mambo mengi ikiwemo baadhi ya changamoto za kijenetiki mfano Down’s syndrome, kukosa hewa ya kutosha wakati wa kuzaliwa, maambukizi makali ya homa ya uti wa mgongo, utapiamlo, matumizi ya baadhi ya madawa na pombe wakati wa ujauzito pamoja na sababu zingine siziso wazi sana.

Kwa kurejea mgawanyiko wa virutubusho vinavyopatikana kwenye nafaka zinazotumika kutengenezea ugali, hakuna uhusiano wa moja kwa moja unaoweza kutajwa, au pia kuhusishwa na kusababisha udumavu wa akili kwa watu. Virutubisho na madini yake havina athari hasi kwenye afya ya ubongo.

Pia, JamiiForums imezungumza na wataalamu wa lishe ambao wamethibitisha kuwa chakula hiki ni salama, hakiwezi kusababisha madhara tajwa.

Hivyo, JamiiForums imebaini kuwa madai haya hayana ukweli uliojengwa kwa hoja za kisayansi. Ni uzushi usio na uthibitisho wa tafiti au takwimu.
True story kabisa mkuu, hii kitu kuna namna inapunguza na kudidimiza uwezo wa kufikiri.
Uji wake ni jau vile vile huko mashuleni boarding hizi za kayumba ni mwendo wa kulala kwenye pindi la mathe baada ya kupiga porenga ni msala sana hii kitu.

Hallelujah!!!
Vipindi vya Math huwa asubuhi kabla ya uji
 
Mahindi yametokea Ulaya ila wenzetu huko wanalishia ng'ombe. Hawali ugali ndo maana hata msamiati wa ugali ama makande kwa lugha zao hawana. Huku tulioletewa mahindi tumegeuza ndio chakula Kikuu, inamaana kabla hayajaja mahindi chakula Kikuu kilikua ni kipi na nini madhara ya kula ugali? Hapa inahitajika wataalamu wafanye utafiti
 
Nilishagundua hata wanyama wengi hawahufagilii kabisa ugali,ila kuna wakati wanakula tu bas kupoza njaa

Kuku,mbwa,nyau na nguruwe pamoja na kuwa huyu bwana hakosagi apetitte na anakula chochote lakin ugali huwa haupend kabisa
 
View attachment 3114645

Ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu.

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k,

hapo zamani watumwa walilishwa ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri, ni dawa iliyotumika kupunguza uwezo wa kufikiria (Thinking capacity), Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 3 zaidi bila ugali.

kwa hapa nchini ukifuatilia sehem zinazotoa vichwa utagundua hawali sana ugali, lakini bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanakula ugali.

Mboga za majani na samaki wanaweza kuongeza akili lakini kosa linalofanywaa huwa ni kutumia ugali, nguvu ya ugali inaenda kuyeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, ukitaka kumuongezea mtoto uwezo wa akili usimzoeshe ugali, kiwe ni chakula cha kufanyia mazoezi ajifunze kufinya matonge ili ugenini asitie aibu.
Nsipokula ugali nahisi ubongo unaskzi, haya ma vyakula ambayo mnahisi ni bora binafai nayachukulia kama takataka sometimes.
 
View attachment 3114645

Ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu.

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k,

hapo zamani watumwa walilishwa ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri, ni dawa iliyotumika kupunguza uwezo wa kufikiria (Thinking capacity), Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 3 zaidi bila ugali.

kwa hapa nchini ukifuatilia sehem zinazotoa vichwa utagundua hawali sana ugali, lakini bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanakula ugali.

Mboga za majani na samaki wanaweza kuongeza akili lakini kosa linalofanywaa huwa ni kutumia ugali, nguvu ya ugali inaenda kuyeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, ukitaka kumuongezea mtoto uwezo wa akili usimzoeshe ugali, kiwe ni chakula cha kufanyia mazoezi ajifunze kufinya matonge ili ugenini asitie aibu.
Ugali wenyewe tunaukoboa na kutupa protini yote, tunakula wanga mtupu.

Lile dona ndo lina virutubisho vya protini, ugali mweupe ni wanga mtupu, energy tu, hauna virutubisho.
 
View attachment 3114645

Ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu.

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k,

hapo zamani watumwa walilishwa ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri, ni dawa iliyotumika kupunguza uwezo wa kufikiria (Thinking capacity), Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 3 zaidi bila ugali.

kwa hapa nchini ukifuatilia sehem zinazotoa vichwa utagundua hawali sana ugali, lakini bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanakula ugali.

Mboga za majani na samaki wanaweza kuongeza akili lakini kosa linalofanywaa huwa ni kutumia ugali, nguvu ya ugali inaenda kuyeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, ukitaka kumuongezea mtoto uwezo wa akili usimzoeshe ugali, kiwe ni chakula cha kufanyia mazoezi ajifunze kufinya matonge ili ugenini asitie aibu.
Acha ujingaujinga. Kama huna cha kuandika utulie.Ndiyo nini sasa hicho ulichokiandika?Rudia ukisome upya.
 
Ugali wa mahindi hutokana na mahindi yaliyokomaa au kukauka sana na kisha kusagwa na kusonga unga wake kwenye maji ya moto. Tukumbuke kuwa mahindi mabichi ambayo huchomwa au kubanikwa nayo ni ugali ambao hauhitaji mboga!

Faida ya ugalli ni kuupa mwili nguvu kama ilivyo kwa vyakula vingine vya wanga, si kujaza tumbo tu.

Aidha, kiini cha njano cha punje au mbegu za mahindi hutoa mafuta; na baadhi ya mashina ya mahindi mabichi ni miwa mitamu kabla ya kukomaa kuwa mabua. Tuyape heshima mahindi!
Aidha, kiini cha njano cha punje au mbegu za mahindi hutoa mafuta; na baadhi ya mashina ya mahindi mabichi ni miwa mitamu kabla ya kukomaa kuwa mabua. Tuyape heshima mahindi!📌💪🏿❤
 
View attachment 3114645

Ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu.

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k,

hapo zamani watumwa walilishwa ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri, ni dawa iliyotumika kupunguza uwezo wa kufikiria (Thinking capacity), Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 3 zaidi bila ugali.

kwa hapa nchini ukifuatilia sehem zinazotoa vichwa utagundua hawali sana ugali, lakini bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanakula ugali.

Mboga za majani na samaki wanaweza kuongeza akili lakini kosa linalofanywaa huwa ni kutumia ugali, nguvu ya ugali inaenda kuyeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, ukitaka kumuongezea mtoto uwezo wa akili usimzoeshe ugali, kiwe ni chakula cha kufanyia mazoezi ajifunze kufinya matonge ili ugenini asitie aibu.
Na wali bila mboga unalika !!!
 
View attachment 3114645

Ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu.

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k,

hapo zamani watumwa walilishwa ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri, ni dawa iliyotumika kupunguza uwezo wa kufikiria (Thinking capacity), Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 3 zaidi bila ugali.

kwa hapa nchini ukifuatilia sehem zinazotoa vichwa utagundua hawali sana ugali, lakini bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanakula ugali.

Mboga za majani na samaki wanaweza kuongeza akili lakini kosa linalofanywaa huwa ni kutumia ugali, nguvu ya ugali inaenda kuyeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, ukitaka kumuongezea mtoto uwezo wa akili usimzoeshe ugali, kiwe ni chakula cha kufanyia mazoezi ajifunze kufinya matonge ili ugenini asitie aibu.
Aisee
 
Kwa mbali ugali wa unga uliokobolewa unapunguza madhara, unakutana na mtu anakula DONA !! unga ambao haujakobolewa umechanganywa na PUMkws

Kwa mbali ugali wa unga uliokobolewa unapunguza madhara, unakutana na mtu anakula DONA !! unga ambao haujakobolewa umechanganywa na PUMBA.
Huu ni upotoshaji unaoufanya tena makusudi kabisa. Iweje upate lishe bora kwenye mahindi yaliyokobolewa na kuondolewa virutubisho vya maana. Najua unafanya makusudi au umeamua kujifyatua akili. Nenda clinic watakuambia mnyweshe mtoto uji wa nafaka yoyote isiyokobolewa, wewe unanapotosha watu upate faida gani ?
 
View attachment 3114645

Ni Chakula cha ajabu huwezi kula bila mboga wala kunywea chai.

Ni chakula maarufu zaidi kwenye sehemu za mateso kama jela, watoto wasiojitambua wanalishwa kinguvu.

vyakula vilivyojitosheleza unaweza kula bila mboga mfano wali, ndizi, mkate, maandazi, chips, chapari, viazi, n.k,

hapo zamani watumwa walilishwa ugali kwa maksudi ili kuwakandamiza uwezo wa kufikiri, ni dawa iliyotumika kupunguza uwezo wa kufikiria (Thinking capacity), Mtu anaweza kuwa genius anaekula ugali lakini ilibidi awe mara 3 zaidi bila ugali.

kwa hapa nchini ukifuatilia sehem zinazotoa vichwa utagundua hawali sana ugali, lakini bado sio uwezo wao kamili kwasababu siku mbili au tatu za wiki wanakula ugali.

Mboga za majani na samaki wanaweza kuongeza akili lakini kosa linalofanywaa huwa ni kutumia ugali, nguvu ya ugali inaenda kuyeyusha / ku dilute virutubisho vya ubongo.

Ushauri wa bure kabisa, ukitaka kumuongezea mtoto uwezo wa akili usimzoeshe ugali, kiwe ni chakula cha kufanyia mazoezi ajifunze kufinya matonge ili ugenini asitie aibu.
Ukiona kitu mtoto mdogo anakikwepa/hakipendi basi ujue hicho kitu kinaenda kinyume na nature.
 
Kweli ugali una punguza uwezo wa kufikiri ndo maana hata ww mleta mada uliyekula ugali umeleta mada ambayo hujaifanyia Tafiti. Wamarekani kutumia mahindi kuzalisha chakula cha wanyama haifanyi mahindi yanapoliwa na binadamu kushusha uwezo wa kufikiri. Labda uje na data za kukusapoti.

Lakini pia hata ukienda supermarket za wazungu mbona mahindi mabichi yako packed na yanaliwa vizuri Sana kwenye salads na matumizi mengine??
 
Back
Top Bottom