Ulanzi umeingia kwenye mfumo, gongo nayo ipate nafasi ya kurasimishwa

Ulanzi umeingia kwenye mfumo, gongo nayo ipate nafasi ya kurasimishwa

Vinywaji vingi gharama ni chupa (packing) maji yenyewe ni cheap, ulanzi (mtogwa, mkangafu na mdindifu) asilia ukiongezwa presevatives unapoteza vionjo kadhaa vinavyo haribu uhalisia wake,
 
Gongo - sio pombe ya kawaida mkuu ni bora tuangalie both side effects

You can't make money for destroy someone's health. There's debt Will be paid
 
Gongo - sio pombe ya kawaida mkuu ni bora tuangalie both side effects

You can't make money for destroy someone's health. There's debt Will be paid
Gongo ni nini??
 
Gongo - sio pombe ya kawaida mkuu ni bora tuangalie both side effects

You can't make money for destroy someone's health. There's debt Will be paid
Gongo:-wakati wa distillation ule mrija ukienda deep zaidi tunapata methanol ambayo ni hatari kiafya!!

Mrija ukiwa low depth tunapata ethanol sawa na hizi nyingine!

Kampuni za vinywaji ziruhusiwe kununua gongo toka kwa local producers,halafu wafanye distillation upya wapate pure zaidi iuzwe kama ilivyo konyagi!

Yaani wahusika wanapeleka viwandanj Moja kwa Moja au kwa wakala husika!

Itasaidia hiyo kuliko kamata kamata na rushwa za kutosha!!
 
Kule kwetu kuna mzee ana wine ya mavi
Alaf wew unasema unaijuabwine ya zabibu😂🤣😂😅
 
Hahahaha..muoe huyo alokutisha m ntakuwa side chick ..
Mh ni gujamaa gumejaa manyama ya mikono maana gulituma picha yake gunauliza utaweza kupigana na Mimi kwa hivi unavyoniona au uachane Mara moja huyo dada .

Masikini Mimi na vile pombe ishanikongoroa nitaweza wapi kupigana na vijana wa gym ,nikasema basi yaishe bwana mdogo
 
Gongo:-wakati wa distillation ule mrija ukienda deep zaidi tunapata methanol ambayo ni hatari kiafya!!

Mrija ukiwa low depth tunapata ethanol sawa na hizi nyingine!

Kampuni za vinywaji ziruhusiwe kununua gongo toka kwa local producers,halafu wafanye distillation upya wapate pure zaidi iuzwe kama ilivyo konyagi!

Yaani wahusika wanapeleka viwandanj Moja kwa Moja au kwa wakala husika!

Itasaidia hiyo kuliko kamata kamata na rushwa za kutosha!!
Kuna wakati huko nyuma kiwanda cha Konyagi kilikuwa kinanunua gongo kutoka kwa raia ikawa inakuwa malighafi yao.

Sijui kwa nini walisitisha ununuaji huo!
 
Back
Top Bottom