Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana..kama unanipenda tujiibe iwe sir yet s et eehMh ni gujamaa gumejaa manyama ya mikono maana gulituma picha yake gunauliza utaweza kupigana na Mimi kwa hivi unavyoniona au uachane Mara moja huyo dada .
Masikini Mimi na vile pombe ishanikongoroa nitaweza wapi kupigana na vijana wa gym ,nikasema basi yaishe bwana mdogo
Niko tayari kabisa ,basi fanya kudondosha namba PM alafu nije nikutafute mwenyewe ,njoo uwe wangu Sasa hivi nina hela za tohara hivyo wahi kabla sijazimalizaPole sana..kama unanipenda tujiibe iwe sir yet s et eeh
Ok sweetheart..Niko tayari kabisa ,basi fanya kudondosha namba PM alafu nije nikutafute mwenyewe ,njoo uwe wangu Sasa hivi nina hela za tohara hivyo wahi kabla sijazimaliza
Twinywa twivilegela kuvagalashidaUlanzi na pombe maarufu ya ndizi kama "banana wine" nazo ni wine?
Ninavyofahamu wine inatengenezwa kwa zabibu tu.
Hongera kwa huyu mzee kupaki ULANZI katika hali ya kisasa. Watengeneza gongo nao wapate fursa kama hii.
View attachment 3064554
😂😂😂😂😂😂😂Kwani visungura ni nini?
Nimecheka kwa sauti kwenye daladala 🤣🤣🤣🤣Mh ni gujamaa gumejaa manyama ya mikono maana gulituma picha yake gunauliza utaweza kupigana na Mimi kwa hivi unavyoniona au uachane Mara moja huyo dada .
Masikini Mimi na vile pombe ishanikongoroa nitaweza wapi kupigana na vijana wa gym ,nikasema basi yaishe bwana mdogo
Hicho ni chanzo kizuri Cha ajira!kama plastic la lita 20 laki moja hasta graduates wangetengeneza viwanda vya mchongo!Kuna wakati huko nyuma kiwanda cha Konyagi kilikuwa kinanunua gongo kutoka kwa raia ikawa inakuwa malighafi yao.
Sijui kwa nini walisitisha ununuaji huo!