Ulanzi umeingia kwenye mfumo, gongo nayo ipate nafasi ya kurasimishwa

Pole sana..kama unanipenda tujiibe iwe sir yet s et eeh
 
Twiny
Ulanzi na pombe maarufu ya ndizi kama "banana wine" nazo ni wine?
Ninavyofahamu wine inatengenezwa kwa zabibu tu.
Hongera kwa huyu mzee kupaki ULANZI katika hali ya kisasa. Watengeneza gongo nao wapate fursa kama hii.
View attachment 3064554
Twinywa twivilegela kuvagalashida
 
Gongo bongo ilirasimishwa zamani,K vant,Visungura......hizo zote gongo tu
 
Nimecheka kwa sauti kwenye daladala 🀣🀣🀣🀣
 
Kuna wakati huko nyuma kiwanda cha Konyagi kilikuwa kinanunua gongo kutoka kwa raia ikawa inakuwa malighafi yao.

Sijui kwa nini walisitisha ununuaji huo!
Hicho ni chanzo kizuri Cha ajira!kama plastic la lita 20 laki moja hasta graduates wangetengeneza viwanda vya mchongo!
 
Wanywa Ulanzi tumefikiwaa sasa!!
Wine tunayo na tunatambaa nayoooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…