Ulaya wasifia uchaguzi wa Kenya na kusema umeweka kiwango kipya Afrika

Ulaya wasifia uchaguzi wa Kenya na kusema umeweka kiwango kipya Afrika

Nimeshangaa kusoma sehemu hata mkuu wa tume ya uchaguzi kwenu kaiongelea Kenya, ni vyema mjifunze.
Jibu kuhusu mauaji ya msimamizi wa uchaguzi. Mbona unahepa swali. Hamna kitu nyinyi.
 
Jibu kuhusu mauaji ya msimamizi wa uchaguzi. Mbona unahepa swali. Hamna kitu nyinyi.

Naona mlivyosubiri kwa hamu ila mumeambulia aibu
fb_img_1660798254774-jpg.2327082
 
Pamoja na kuuawa afisa wa tume?

Huyo afisa mmoja ndio mnajifariji naye, mlisubiri tukatane mapanga, mkakesha kila siku mumekazia macho kwenye runinga ila mumeishia kuaibika.
Of-course kuna matukio unfortunate situation kama hilo la afisa mnayemsema Tanzania yote, lakini zaidi ya yote tumefanikisha zoezi moja complicated sana na kwa ufanisi ambao haujaonekana Afrika yote.
 
Huyo afisa mmoja ndio mnajifariji naye, mlisubiri tukatane mapanga, mkakesha kila siku mumekazia macho kwenye runinga ila mumeishia kuaibika.
Of-course kuna matukio unfortunate situation kama hilo la afisa mnayemsema Tanzania yote, lakini zaidi ya yote tumefanikisha zoezi moja complicated sana na kwa ufanisi ambao haujaonekana Afrika yote.
Yaani Tz ikae isubiri kenya wakatane mapanga? Kenya ikichafuka tz hatuko salama vilevile tz ikichafuka kenya hamko salama, sidhani kama kuna anaemuombea mwenzie mabaya.
 
Huu uchaguzi umewaamsha Watanzania wengi sana, sijui kama mtarudia kuwachezea 2025 kama mlichowafanya 2020, labda kama na wao wataendelea kuwa wazembe.
Alafu ngoma bado, ngoja kesi iliyowasilishwa na Azimio la Umoja ianze kusikizwa pale Supreme Court. Sijui hivyo vikaragosi vya CCM vitaficha nyuso zao wapi.

Huu uchaguzi umenifunza pia kwamba ndani ya jumuiya hii ya AM kuna watu wengi sana 'progressive'. Waliosalia wachache ni hao wahafidhina wa kiafrika, wapuuzi tu, ambao kiasili huwa hawana agenda yeyote ya maana.
 
Alafu ngoma bado, ngoja kesi iliyowasilishwa na Azimio la Umoja ianze kusikizwa pale Supreme Court. Sijui hivyo vikaragosi vya CCM vitaficha nyuso zao wapi.

Huu uchaguzi umenifunza pia kwamba ndani ya jumuiya hii ya AM kuna watu wengi sana 'progressive'. Waliosalia wachache ni hao wahafidhina wa kiafrika, wapuuzi tu, ambao kiasili huwa hawana agenda yeyote ya maana.

299602738_5254673167963800_4539860158661590199_n.jpg
 
Afadhali ccm wanavyoiba inajulikana wameiba ila huu wenu idadi ya kura inapita Asilimia 100 umetia fora na haitatokea duniani kura zinazidi idadi ya wapiga kura
 
Kwamba mahakama ina uwezo kuchenjua yenyewe na kutangaza mshindi, interesting time ahead.
Acha tungoje maamuzi ya mahakama. Natumai viongozi wa pande zote mbili wataheshimu maamuzi hayo. Uchaguzi huu nilikuwa siegemei upande wowote na kwa mara ya kwanza sikupiga kura.
 
Acha tungoje maamuzi ya mahakama. Natumai viongozi wa pande zote mbili wataheshimu maamuzi hayo. Uchaguzi huu nilikuwa siegemei upande wowote na kwa mara ya kwanza sikupiga kura.

Tusubiri, ila kama hamna ushahidi wa maana sioni tija ya kupoteza muda....

img-20220823-wa0000-jpg.2331853
 
Back
Top Bottom