Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Kila taarifa unayopata jitahidi sana kuichakata kichwani kwako. Kumbuka huo mgogoro unakwenda na SIASA nyingi sana.

Huo uwezekano wa Marekani kufidia hilo gap ilishaongelewa sana hata kabla ya kauli ya Juzi ya Bidden. Lakini bado inaonekena ni vigumu sana kiutekelezaji.

Na ikaonekana iwapo itawezekana Ku supply hiyo gas bado Ulaya watapata maumivu kwasababu haiwezekani kupatikana kwa bei nafuu kama ya Russia. Kwa maana hiyo Russia atakosa kweli na Ulaya watapata gas ya Marekani kwa maumivu na kusababisha kupanda kwa gharama za maisha ndio maana Ulaya wanaihitaji sana gas ya Russia.

MAREKANI NDIYE ATAKAYEFAIDIKA
Huna ubavu wa kuchakata habari ambayo tayari Marekani washaitangaza na kukubaliana na umoja wa ulaya, ni vile unatumia uhuru wako wa mawazo tu, Marekani walitathmini hiyo hali kabla ata Putini hajaishambulia Ukraine, vision ya Marekani inalenga miaka mingi ijayo ndio mana walimuekea vikwazo urusi vigorously on the spot siku ya kwanza alipoivamia ukraine.

Jizoeshe kujua hali ya maisha ya russia kwa sasahivi tokea aekewe vikwazo na magharibi na sasa ni just a month
 
Mkuu ulaya na magharibi hizo cost wamejikubalisha kubeba lengo ni kumtia adabu putin, kwa nilivyowafahamu west kwamba hata ukiwa mtu bora wa kutoa huduma fulani lakini pia ufahamu ubora wa kile unachokipata kutoka kwao, russia atakosa 47% kutoka ulaya kwenye gesi
Project hiyo itakuwa overnight kama biscut za msaada au?
 
The western allies know pretty well that bringing the Russian economy to its knees means there are some sacrifices that they'll have to make to achieve that goal and it's something they're bracing for.

The Europeans say, they cannot help fuel the Russian war machine to their own detriment.
Yoote tisa,
Mwenye uchumi imara hapo Ulaya ni Germany, ngoja tuone kama atakubali kukandamizwa na USA ideas, sbb tishio kwa USA kwenye project ya Nord II ya gas ya Urusi alikuwa ni Germany. Ngoja tuone. USA anaweza kujifanya anapeleka gas Ulaya kusaidia kumbe anammaliza mtu hapo asiibuke.
 
Yoote tisa,
Mwenye uchumi imara hapo Ulaya ni Germany, ngoja tuone kama atakubali kukandamizwa na USA ideas, sbb tishio kwa USA kwenye project ya Nord II ya gas ya Urusi alikuwa ni Germany. Ngoja tuone. USA anaweza kujifanya anapeleka gas Ulaya kusaidia kumbe anammaliza mtu hapo asiibuke.
Wewe unafahamu baada ya WW II uchumi wa Ulaya ulisambaratika kabisa na unajua aliyeufufua au wewe unaongea tu.
 
Huna ubavu wa kuchakata habari ambayo tayari Marekani washaitangaza na kukubaliana na umoja wa ulaya, ni vile unatumia uhuru wako wa mawazo tu, Marekani walitathmini hiyo hali kabla ata Putini hajaishambulia Ukraine, vision ya Marekani inalenga miaka mingi ijayo ndio mana walimuekea vikwazo urusi vigorously on the spot siku ya kwanza alipoivamia ukraine.

Jizoeshe kujua hali ya maisha ya russia kwa sasahivi tokea aekewe vikwazo na magharibi na sasa ni just a month
Sawa Professor
 
Wewe unafahamu baada ya WW II uchumi wa Ulaya ulisambaratika kabisa na unajua aliyeufufua au wewe unaongea tu.
Mkuu wasamehe bure tu. Tatizo madogo wakishamiliki smartphones wanadhani kila kitu ni ushabiki na hisia kama kucheza FIFA na PES.

Sometimes waga naangalia jinsi watu wanavoleta ushabiki bila background knowledge juu ya Geopolitics alafu naishia kuiskitikia nchi yangu; kwa hizi akili bora wakoloni warudi kututawala labda tunaweza kurekebishika.
 
Nina maswali mawili.

1.Je Urusi inataka kupindua serikali ya Ukraine??

2.Wataondoaje vikwazo baada ya kumuuwa Zelensky??
Wagombanao ndio wapatanao...
Leo hii marekani na venezuela ni marafiki japo wa unafiki.😁😁😁
 
Nina maswali mawili.

1.Je Urusi inataka kupindua serikali ya Ukraine??

2.Wataondoaje vikwazo baada ya kumuuwa Zelensky??
Hapo awali huo ndio ulikuwa mkakati wao lakini sasa wameshindwa wanataka waigawe kama walivyogawa Ujerumani au Korea.
 
Mabeberu kwishney!! Mauzo ya gesi na mafuta ya Urusi yataingiza Rouble na SIYO Dola!! Njia mbili zitatumika:
1. Mteja anunue Rouble kwa kutumia Dola yake halafu ndio anunue gesi au mafuta ya Urusi.
2. Mteja atoe hiyo Dola kwa Urusi na Urusi iitumie hiyo Dola kununua Rouble na mchakato huo ukikamilika ndipo mteja apewe gesi au mafuta!!
Kwa maneno mengine mabeberu waondoe kikwazo Chao Cha kuizuia Urusi kufanya miamala kwa kutumia Dola linapokuja suala la miamala ya mauziano ya gesi na mafuta!! Kigogo wa EU ambayo ni Ujerumani keshakubali tayari!!
Kwa Sasa Dola ni Kama mawe kwa Urusi maana hairuhusiwi kuzitumia kwenye miamala!!
 
Marekani imeyafanya mataifa ya ulaya Kama watumwa wake!! Kila siku inawagombanisha na Urusi, lengo ni kuwa Marekani iteke soko la ulaya Ili iwauzie gesi kwa Bei kubwa karibu Mara mbili ya ya Bei ya gesi ya Urusi!! Na inaelekea imefanikisha njama hiyo!!
 
Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.

Source: BBC
Na watauziwa kwa bei ya juu.
Hapa lazima Demand and Supply itumike. Wakija kushtuka washachangia uchumi wa US vya kutosha
 
Back
Top Bottom