Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Anayeupima ni Putin sasa Rubu inashuka tu kutoka 60% hadi 100%
Anaefahamu uchumi atakwambia kwamba kushuka kwa thamani ya rubble against dollar hakuathili uchumi wa Russia kwasababu marekani ameamua kuiunguza dollar kwenye mzunguko hivyo lazima demand yake iwe kubwa sana Duniani. Angalia Kenya Wana upungufu wa dollar uliovunja historia, Tanzania tumepungukiwa sana dollar, Hali hii inaifanya tuitafute kwa udi na uvumba ndio maana imepanda thamani.
Kwahiyo si rubble pekee imeathirika na kupungua kwa dollar kwenye soko

Madhara ya hii kalata anayoicheza marekani itamuathiri vibaya sana miaka michache ijayo, coz mataifa yatatafuta mbadala wa dollar ili kufanya biashara confidence ya dollar kwenye soko itapotea.

Kwasasa anatumia kupunguza dollar kwenye soko kama silahaa ya kuzitingisha nchi lakini pia kuimarisha mizizi ya uchumi wake. Anapaswa kutumia vizuri sana hiyo solution.
Uchumi wa urusi haujateteleka, tazama sarafu zote Duniani zilivyoathiriwa na kupungua kwa dollar
 
Anaefahamu uchumi atakwambia kwamba kushuka kwa thamani ya rubble against dollar hakuathili uchumi wa Russia kwasababu marekani ameamua kuiunguza dollar kwenye mzunguko hivyo lazima demand yake iwe kubwa sana Duniani. Angalia Kenya Wana upungufu wa dollar uliovunja historia, Tanzania tumepungukiwa sana dollar, Hali hii inaifanya tuitafute kwa udi na uvumba ndio maana imepanda thamani.
Kwahiyo si rubble pekee imeathirika na kupungua kwa dollar kwenye soko

Madhara ya hii kalata anayoicheza marekani itamuathiri vibaya sana miaka michache ijayo, coz mataifa yatatafuta mbadala wa dollar ili kufanya biashara confidence ya dollar kwenye soko itapotea.

Kwasasa anatumia kupunguza dollar kwenye soko kama silahaa ya kuzitingisha nchi lakini pia kuimarisha mizizi ya uchumi wake. Anapaswa kutumia vizuri sana hiyo solution.
Uchumi wa urusi haujateteleka, tazama sarafu zote Duniani zilivyoathiriwa na kupungua kwa dollar
Nafikiri US imetuliza akili ikaona hii solution.
 
Anaefahamu uchumi atakwambia kwamba kushuka kwa thamani ya rubble against dollar hakuathili uchumi wa Russia kwasababu marekani ameamua kuiunguza dollar kwenye mzunguko hivyo lazima demand yake iwe kubwa sana Duniani. Angalia Kenya Wana upungufu wa dollar uliovunja historia, Tanzania tumepungukiwa sana dollar, Hali hii inaifanya tuitafute kwa udi na uvumba ndio maana imepanda thamani.
Kwahiyo si rubble pekee imeathirika na kupungua kwa dollar kwenye soko

Madhara ya hii kalata anayoicheza marekani itamuathiri vibaya sana miaka michache ijayo, coz mataifa yatatafuta mbadala wa dollar ili kufanya biashara confidence ya dollar kwenye soko itapotea.

Kwasasa anatumia kupunguza dollar kwenye soko kama silahaa ya kuzitingisha nchi lakini pia kuimarisha mizizi ya uchumi wake. Anapaswa kutumia vizuri sana hiyo solution.
Uchumi wa urusi haujateteleka, tazama sarafu zote Duniani zilivyoathiriwa na kupungua kwa dollar
Mshauri wa uchumi wa Putin ameilalamikia benki kuu ya Urusi kwa sera mbovu zinapolekea kuanguka kwa ruble
 
Ruble inazidi kuporomoka huko
pesa kushuka nzuri kama una export ...mChina anaipenda dola sababu anaweza aka devalue currency yake ili bidhaa zake ziwe na bei ndogo sokoni ndo maana ushindani kwenye soko la dunia kauweza, na mrusi ana rasilimali nyingi sana za kuuza nje hasa mafuta, mafuta yake yakiwa bei ndogo anawapiga bao wauzaji wengine
 
Anaefahamu uchumi atakwambia kwamba kushuka kwa thamani ya rubble against dollar hakuathili uchumi wa Russia kwasababu marekani ameamua kuiunguza dollar kwenye mzunguko hivyo lazima demand yake iwe kubwa sana Duniani. Angalia Kenya Wana upungufu wa dollar uliovunja historia, Tanzania tumepungukiwa sana dollar, Hali hii inaifanya tuitafute kwa udi na uvumba ndio maana imepanda thamani.
Kwahiyo si rubble pekee imeathirika na kupungua kwa dollar kwenye soko

Madhara ya hii kalata anayoicheza marekani itamuathiri vibaya sana miaka michache ijayo, coz mataifa yatatafuta mbadala wa dollar ili kufanya biashara confidence ya dollar kwenye soko itapotea.

Kwasasa anatumia kupunguza dollar kwenye soko kama silahaa ya kuzitingisha nchi lakini pia kuimarisha mizizi ya uchumi wake. Anapaswa kutumia vizuri sana hiyo solution.
Uchumi wa urusi haujateteleka, tazama sarafu zote Duniani zilivyoathiriwa na kupungua kwa dollar
Mimi nadhan ungefafanua zaidi ni kwa vipi roubble ishuke thamani lakini uchumi wake ubaki salama, wewe ni mtu wa kwanza kusikia hayo maneno., swali zuri ni dollar imeadimika lakini kwa nini munaisaka kwa udi na uvumba?
 
pesa kushuka nzuri kama una export ...mChina anaipenda dola sababu anaweza aka devalue currency yake ili bidhaa zake ziwe na bei ndogo sokoni ndo maana ushindani kwenye soko la dunia kauweza, na mrusi ana rasilimali nyingi sana za kuuza nje hasa mafuta, mafuta yake yakiwa bei ndogo anawapiga bao wauzaji wengine
Umekariri, kwanza Urusi haina mafuta mengi, ni gesi, mikataba ya gesi huwa ya muda mrefu na huingiwa kwa dollars, bei ya gesi na mafuta duniani huwa inapangwa zaidi na OPEC. Zaidi sana, Waarabu hata hawana haja ya kushindana na Urusi kwa sababu wana soko kubwa sana la mafuta na gesi yao. Huwa wanakaa tu kucheza na bei kupitia OPEC.
 
Umekariri, kwanza Urusi haina mafuta mengi, ni gesi, mikataba ya gesi huwa ya muda mrefu na huingiwa kwa dollars, bei ya gesi na mafuta duniani huwa inapangwa zaidi na OPEC. Zaidi sana, Waarabu hata hawana haja ya kushindana na Urusi kwa sababu wana soko kubwa sana la mafuta na gesi yao. Huwa wanakaa tu kucheza na bei kupitia OPEC.
Matayo mstari wa ngapi hio....... CHANT DOWN BABYLON
 
Back
Top Bottom