Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Ulaya yakataa kununua gesi ya Urusi kwa sarafu ya taifa hilo

Russia lazima iheshimu terms of contract ambayo inasema malipo yatafanywa kwa sarafu za dola/euro/pound, period hayo mambo ya sijui ruble yanatoka wapi tena.

Kama anavunja mkataba kuna gharama yake vilevile ya kulipa damages for the breach of contract gharama ambayo kwa hali yao ya sasa hawawezi kumudu kulipa.

Putin anajaribu bila mafanikio kuokoa sarafu yake isiporomoke lkn hana jinsi kwani ameshashika mavi lazima awe mpole, uchumi lazima uporomoke tu.
Katika kila mkataba mkubwa kuna kipengele cha God's Act.



Wakati Russia anaingia mikataba hakujua atawekewa vikwazo na kuondolewa kwenye mfumo wa swift.

At the same time mbona warusi wanaofanya kazi kihalali mali zao zimekuwa freezed bila kujali terms and conditions.
 
Katika kila mkataba mkubwa kuna kipengele cha God's Act.



Wakati Russia anaingia mikataba hakujua atawekewa vikwazo na kuondolewa kwenye mfumo wa swift.

At the same time mbona warusi wanaofanya kazi kihalali mali zao zimekuwa freezed bila kujali terms and conditions.
Nafikiri unaongelea ile Clause ya Force Majeure (unforeseeable circumstances that prevent someone from fulfilling his contractual obligations).

Hali iliyopo sasa hivi haiangukii kwenye hiyo Clause kwa sababu kilichotokea sio "An act of nature but it's a deliberate act of provocation initiated by Russia against an innocent and peaceful state a situation that could have been avoided and spare Russia from being slapped with crippling sanctions imposed on the country."
 
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amepuuzilia mbali takwa la rais wa Urusi, Vladimir Putin la kuyataka mataifa ya Ulaya kununua gesi kwa sarafu ya Kirusi, huku akimshutumu rais huyo kuwa mwenye nia ya kutaka kuvikwepa vikwazo alivyowekewa kutokana na uvamizi wake wa Ukraine.

Macron aliwaambia waandishi wa habari baada ya Mkutano wa Kilele wa Umoja wa Ulaya wa mjini Brussels kwamba hatua ya Urusi haipo katika makubaliano na haoni sababu ya kutekelezwa kwa jambo hilo. Rais Putin alitoa takwa hilo juma hili katikia kipindi hiki ambacho serikali yake inakabiliwa na vikwazo vikali vinavyoathiri uchumi wa taifa hilo, kutokana na hatua yake ya kuingia kijeshi nchini Ukraine.
View attachment 2164574
Source: DW
Je vikwazo walivyoweka vipo ktk makubaliano?

Kama mnasema mna njia nyinigine ya kupata gesi sasa kelele za nini hapa si mtumie iyo njia mbadala kuliko kuja kulalamika na kupiga kelele hapa.

Gesi watalipa kwa pesa ya Urusi watake wasitake, na wasipolipa jamaa anafunga koki na hapo ndo watatuma wake na watoto zao kama malipo nchini Urusi
 
China bwana wake ni Marekani akiambiwa mradi aachane nao ndio hakuna namna ataachana nao,, juzi aliposhutumiwa anapeleka silaha za kivita ukraine kuisaidia urusi ilibidi yule baloz wa China afunge safari hadi Washington kwenda kukataa
Kama Germany hakuachana na Nod stream 2 ndo mchina aache kwa ngonjera za America?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli alipovunja mikataba mibovu ya madini mlikuja na ngonjera za hovyo kwamba nchi italipa kwa kubreach contract hatimaye iliishia wapi....putin anajua zaidi anachokifanya kuliko wewe mporipori.
Russian economy will deteriorate before the eyes of Putin (The Butcher) something that will send him packing and vacate the office.
 
Kama Germany hakuachana na Nod stream 2 ndo mchina aache kwa ngonjera za America?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio muumewe maana china alimfata Marekani Washington na kumwambia sio kweli China haijapeleka sila za kivita Ukraine na kuisaidia Urusi, hivyo Marekani ndivyo alivyodhiti ulimwengu, taifa kubwa kama china linakuwa kama chura kumlinganisha na tembo
 
Russian economy will deteriorate before the eyes of Putin (The Butcher) something that will send him packing and vacate the office.
Stop discussing what is above you.... Russia is for Russians, discuss pet issues like inconsistence electric supply, poor government strategies to promote our economy and above all incompetent learned class in Tanzania.

Vinginevyo "you are shaking a baobab ending up shaking your buttocks "
 
.
Screenshot_20220328-125536.jpg
Screenshot_20220328-125542.jpg
Screenshot_20220328-125549.jpg
 
Russia lazima iheshimu terms of contract ambayo inasema malipo yatafanywa kwa sarafu za dola/euro/pound, period hayo mambo ya sijui ruble yanatoka wapi tena.

Kama anavunja mkataba kuna gharama yake vilevile ya kulipa damages for the breach of contract gharama ambayo kwa hali yao ya sasa hawawezi kumudu kulipa.

Putin anajaribu bila mafanikio kuokoa sarafu yake isiporomoke lkn hana jinsi kwani ameshashika mavi lazima awe mpole, uchumi lazima uporomoke tu.
Kwani kabla ya kuweka sanctions zao kulikua mkataba waliingia na urusi?
 
Soma vizuri Macron amempuuza, Marekani jana rasmi ametangaza kuziba hilo gape kwa aliyekuwa anamtegemea Putin na gesi yake, mzigo utatoka marekani, ni vile Putini amepigwa katafunua kwenye hii biashara ya gesi kwa nchi za ulaya
Kinadharia ni rahisi kusema gas itatoka USA na kuingia Ulaya, ukifanya cost analysis, utaona bora kununua kwa hela ya jamaa yetu Putin.
 
Stop discussing what is above you.... Russia is for Russians, discuss pet issues like inconsistence electric supply, poor government strategies to promote our economy and above all incompetent learned class in Tanzania.

Vinginevyo "you are shaking a baobab ending up shaking your buttocks "
We're free to discuss the topical issues currently trending in the world, consequently, the problems affecting Tanzania can only be resolved when the country will adopt a system that will allow the people to freely choose their leaders when they can hold accountable whenever it suits them.

Concerning the baobab 🌴 I think the tree has, not only been shaken, but felled down completely.
 
Kinadharia ni rahisi kusema gas itatoka USA na kuingia Ulaya, ukifanya cost analysis, utaona bora kununua kwa hela ya jamaa yetu Putin.
Mkuu ulaya na magharibi hizo cost wamejikubalisha kubeba lengo ni kumtia adabu putin, kwa nilivyowafahamu west kwamba hata ukiwa mtu bora wa kutoa huduma fulani lakini pia ufahamu ubora wa kile unachokipata kutoka kwao, russia atakosa 47% kutoka ulaya kwenye gesi
 
Kinadharia ni rahisi kusema gas itatoka USA na kuingia Ulaya, ukifanya cost analysis, utaona bora kununua kwa hela ya jamaa yetu Putin.
The western allies know pretty well that bringing the Russian economy to its knees means there are some sacrifices that they'll have to make to achieve that goal and it's something they're bracing for.

The Europeans say, they cannot help fuel the Russian war machine to their own detriment.
 
Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.

BBC
Kila taarifa unayopata jitahidi sana kuichakata kichwani kwako. Kumbuka huo mgogoro unakwenda na SIASA nyingi sana.

Huo uwezekano wa Marekani kufidia hilo gap ilishaongelewa sana hata kabla ya kauli ya Juzi ya Bidden. Lakini bado inaonekena ni vigumu sana kiutekelezaji.

Na ikaonekana iwapo itawezekana Ku supply hiyo gas bado Ulaya watapata maumivu kwasababu haiwezekani kupatikana kwa bei nafuu kama ya Russia. Kwa maana hiyo Russia atakosa kweli na Ulaya watapata gas ya Marekani kwa maumivu na kusababisha kupanda kwa gharama za maisha ndio maana Ulaya wanaihitaji sana gas ya Russia.

MAREKANI NDIYE ATAKAYEFAIDIKA
 
Back
Top Bottom