Ulaya yazuia matumizi ya chanjo ya Astra Zeneca, Rais Magufuli alikuwa sahihi kutokimbilia chanjo

Wee
Wee Mama acha kujidhalilisha kwa kumuongelea huyo kichaa..huoni aibu??
Kazuia chanjo halafu covid imemtandika vilevile.
 
Hamia huko mkuu
 
Waliochoma mpaka sasa kwa hiyo chanjo ya Astra Zenecca ni zaidi ya milioni 35 waliopata shida ni 35 tu, sasa akili kichwani mwako mjomba na pia jiulize huyo Bwana Mkubwa yupo wapi sasa hivi
Muangalie kwenye chupi yako utamuona
 
Hatuitaji ripoti ya mara kwa mara kuhusu chanjo.. Serikali ifanye uchunguzi ijilidhishe ndo ilete chanjo ambayo wataona inafaa kwetu sio kutoa update eti leo tumefikia hapa na hapa hiyo ata wewe usingeweza.
 
Usipende kutanguliza matusi. Kwani chanjo iko ya aina moja tu? Chanjo nyingine zinaendelea kutumika wakati unafanywa kuhusu chanjo ya Astra Zeneca.

Amandla...
Atakama nyingine zipo lakini unajiua chanjo iliyopo kwenye mpango wa COVAX? Ni hiyo ya Astrazeneca ambayo nchi za Africa imepatiwa kwa wingi wa kudai kuwa ni bure sijui iko katika program ya kusaidia hivo wanajua kama kununua direct kwetu Africa ni ngumu
 
Ile research imeanza kutoa majibu. Taratibu tu tutakuja kujua chanjo ipi ni salama kwa watu wengi.
 
Waliochoma mpaka sasa kwa hiyo chanjo ya Astra Zenecca ni zaidi ya milioni 35 waliopata shida ni 35 tu, sasa akili kichwani mwako mjomba na pia jiulize huyo Bwana Mkubwa yupo wapi sasa hivi
Acha upoyoyo wewe,hizo takwimu wewe umezipata wapi?,lete chanzo cha hizo takwimu,
 
Dunia inahangaika kutafiti na kutengeneza chanjo ya covid-19 KISAYANSI. Mafanikio mpaka sasa ni makubwa. Zimeonyesha kiwango cha EFFICACY cha kuridhisha sana kuzuia maambukizi (66%->90%).

Sisi tumeamua kuwa miongoni mwa skeptics wakubwa wa juhudi hizi badala ya kushiriki kuonyesha kuwa na sisi tumo KISAYANSI. Tumebakia na blabla za kisiasa na conspiracies. Eti tunasubiri wakishafikia hatua ya chanjo “kuaminika” ndio “tutazikubali”. Kazi yetu ni “kuangalia na kusubiri”!

Kwa mtu aliyesoma hadi sekondari atakuwa na uelewa kwamba hakuna chanjo wala dawa duniani yenye EFFICACY ya 100% kwa watu wote katika mazingira yote. Kinachotafutwa ni kiwango kinachokubalika kutatua tatizo na cha side effects zake. Hesabu za statistics zinatumika kupima hivi vigezo. Hii ni kwa teknolojia zote. Kwa mfano parts za ndege hubadilishwa kwa makadirio ya efficacy na reliability ya aina ya parts hizo kulingana na mwenendo wa ndege, masaa ya miruko na hali za hewa.

Sasa kama sisi kazi yetu ni kukaa tu na siasa zetu uchwara kusubiri dunia “ikamilishe kazi” na kuja kututhibitishia kwamba sasa chanjo ni 100% na side effects ni 0%, tusishangae kwa nini tunaendelea kuwa watumwa wa “mabeberu”!

Inasikitisha kuona kama vile tumeamua kwamba hatutaki wataalamu wetu wafanye kazi zao badala yake muda mwingi wanatumika kuunga mkono matamko ya ajabu ajabu ya wanasiasa kwa hoja zisizo na mashiko.
 
Mbona hata hueleweki? Kwa ufupi kabisa nataka nikueleze kuwa sisi TZ tumekataa kufanyiwa majaribio hizo chanjo bado hazijafikia kiwango cha kuwa chanjo kamili ndiyo maana watoa chanjo hizo wameshasema they cannot held responsible for any problem occurs while the so called chanjo used by human being until the research completed. Wataalam walikuwa bado wanaendelea na research yao lakini wazungu wanasiasa wakasema zianze kutumika. Be informed please!!
 
Alikuwa sahihi kusikilizia kwanza madhara ya chanjo, alichokosea ni kukebehi na kuponda hadharini wakati hakuna nchi iliyolazimishwa kuchuka chanjo. Haikutakiwa kuwaponda na kuwakebehi wakati chanjo zote za watoto zinatoka kwao. Ilitakiwa tuseme kwamba bado tunajiridhisha kwanza.
 
Mtoa mada unafahamu kuna chanjo ngapi za COVID ukiacha hiyo Astra Zeneca? siyo kila chanjo ya COVID ni Astra Zeneca. Tofautisha sayansi na siasa.
 
Hapa tunazungumzia ubora wa chanjo iliyotolewa na sio namna maamuzi ya kudeal na ugonjwa yalivyotolewa.
 
Watu zaidi ya milioni 17 wamechanjwa na Astra Zeneca ulaya peke yake. Katika hao ni 37 ambao wamepata matatizo, proportion ambayo ni sawa na wao matatizo hayo bila hata vaccine. Mpaka sasa hamna uthibisho kuwa hayo matatizo yametokana na chanjo hio.Kwa odds hizo mimi nitakubali kuchanjwa tu.

Aidha, hii chanjo inapendekezwa kwa Afrika kwa sababu utunzaji wake ni rahisi kuliko chanjo ya Pfizer ambayo inahifadhiwa kwenye baridi ya -70. Sehemu nyingi kwetu hazina uwezo wa kuzihifadhi kwa baridi ya kiasi hicho.

Amandla....
 
Kwa mazingira na tamaduni zetu ambapo mikusanyiko haikwepeke, chanjo ndio muokozi wetu pekee. Kama hatuwezi kuzuia watu kujazana kwenye mabasi, sokoni, misiba, kanisani, msikitini n.k. basi heri watu wachanjwe ili waweze kuendelea na shughuli na tamaduni zao.

Amandla...
 
Kwani waliochanja wanaruhusiwa kukusanyika?
 
Mtoa mada unafahamu kuna chanjo ngapi za COVID ukiacha hiyo Astra Zeneca? siyo kila chanjo ya COVID ni Astra Zeneca. Tofautisha sayansi na siasa.
Na wewe tofautisha siasa na sayansi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…