Ule uhamasishaji wa Nguvu na Kauli Mbiu tulipocheza na Al Hilal mbona siuoni tukicheza na Club Africaine leo?

Ule uhamasishaji wa Nguvu na Kauli Mbiu tulipocheza na Al Hilal mbona siuoni tukicheza na Club Africaine leo?

Haji Manara ameonekana mchana huu akiwa amekunywa na anafuraha sana,na siku hizi Yanga wakifanya vibaya huwa anakunywa na kujirusha sana sasa sijui hii sherehe ya mchana huu inaashiria nini kwa ndugu zetu wa Utopolo
 
Back
Top Bottom