Eeeh Yan mwanaume ukojoe umechutama duuu unatania au upo serious π³.. kama unamtoto wa kiume nataman nimwoneπNdo maana mnanuka na fungus jero mwanaume ukojoe umechutama na unawe na maji na ujikaushe na toilet paper huyo ndo mwanaume Sasa sio kukojoa wima kama MBUZI dudu lanuka jasho mikojo joto la chupi za bei rahisi π hatari
Unataka kusema candidiasis ni sexually transmitted?Kaka umetembea na mwanamke mwenye ugonjwa wa fungus (candida albicans), dawa yake ni antifungal na usirudi tena kwa yule mwanamke hadi wewe na yeye mjitibie wote mpone. Na kama kuna wanawake wengine umetembea nao ukiwa na hali hiyo pia waambie waende wakatibiwe pia kabla hujatembea nao tena.
Kwer chiefUnakufa kabisa bora uende hospitali achana na wajuaji wa humu
Ant fungus ndio jina la dawaUnataka kusema candidiasis ni sexually transmitted?
Dah dhihaka imekua too much kama hamjawai kuipata huu ugonjwaKaoza
Antifungal ni kundi la dawa zinazotibu fungusAnt fungus ndio jina la dawa
Ooooh asante chief πAntifungal ni kundi la dawa zinazotibu fungus
Dawa unazoweza kutumia ni Skinderm
Fluconazole hii ni vidonge
Tiba asili na ya science ipi bora?? Maana asili wengi huwa ni waongoKitambo sana bwana mmoja akiitwa "Dr. Isaac Ndodi" alikuwa mbobevu wa maswala ya tiba asili na alikuwa na kipindi chake kikirushwa kwenye televisheni kila siku!... na ndo mtu pekee huwa namuamini kwa sababu nina idea ya maswala ya tiba asili... ingawa sikumaliza masomo, nilikula za uso. Kila alichokuwa akifundisha ni kweli! Dawa rahisi ya fungus za sehemu za siri ni kunyoa nywele zote na kupakaa ndimu au limao kote! Fululiza kwa siku 3-7... utapona kabisa!
Na WATOTO wa kiume 3 na toka wadogo nimewafundisha wakojoe kwa kuchuchumaa wasikojoe wima kama wanyama na wakimaliza wakoshe utupu wao wanae mikono,sababu Muslim mkojo ni najisi na hawezi kusali na mikojo,ukikojoa wima lazima mikojo ikurukie tu miguuni na mkojo wa mwisho lazima umwagike kwenye chupi na pants ππ©³Eeeh Yan mwanaume ukojoe umechutama duuu unatania au upo serious π³.. kama unamtoto wa kiume nataman nimwoneπ
Sio kwerπTiba asili na ya science ipi bora?? Maana asili wengi huwa ni waongo
Akili huna! Huna unachokijua... nikueleweshe kidogo tu kwamba hayo mambo ni interchangeably! YanategemeanaTiba asili na ya science ipi bora?? Maana asili wengi huwa ni waongo
Safi sanaAkili huna! Huna unachokijua... nikueleweshe kidogo tu kwamba hayo mambo ni interchangeably! Yanategemeana
ππππππ Hyo ndo tiba mahususi kabisaa , azingatie Hilo lazima alete mrejesho hapa.Watu mmekazia mambo ya mafuta khaaaa π€π€π€πππππ
Hii sasa maadili yashakua yakishubwada watu wanaweza kujaa nakufikiria mbususu hii inapelekea utendaji kazi kuwa mdogo ubunifu kuishaWonderfully enough , hiyo ngozi ukiwa unaipikicha pikicha kunacho , inakupa raha mustareheee kama ukiwa unakula mbususuuuuuuuuuuuu mpaka una piziiiiiiiiii
Mafuta mafuta kila sehemu mafuta khaaa π€π€π€πππππππ Hyo ndo tiba mahususi kabisaa , azingatie Hilo lazima alete mrejesho hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23]dahFungus vaa be boxer za cotton sio mpira yaani polyester na zisikubane pia zingatia usafi nyoa minywele ya huko mara kwa mara sio ikae mpaka ijisokote nawa vizuri ukinya hata kukojoa kuwa na tissue ujikaushe pakaa cream za antifungal utapata pharmacy pia pakaa mafuta ya Nazi ukitoka kuoga jikaushe upakae fua taulo mara kwa mara.
Mwanaume mchafu kwangu hapana mwanaume nikiona muonekano wake kiatu mkanda wallet boxer perfume saa najua msafi,jamaa utakuwa unanuka sana makende yake dadek Dem wako kazi anayo [emoji23]utakuta unapenda sana unyonywe kende zako zilambwe wanaume nao wananuka ukute vuzi jasho fungus uchafu hafui boxer ni uvundo wa mzoga.
ππMafuta mafuta kila sehemu mafuta khaaa π€π€π€π