Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

Ndo maana mnanuka na fungus jero mwanaume ukojoe umechutama na unawe na maji na ujikaushe na toilet paper huyo ndo mwanaume Sasa sio kukojoa wima kama MBUZI dudu lanuka jasho mikojo joto la chupi za bei rahisi 😁 hatari
Eeeh Yan mwanaume ukojoe umechutama duuu unatania au upo serious 😳.. kama unamtoto wa kiume nataman nimwoneπŸ˜‚
 
Kaka umetembea na mwanamke mwenye ugonjwa wa fungus (candida albicans), dawa yake ni antifungal na usirudi tena kwa yule mwanamke hadi wewe na yeye mjitibie wote mpone. Na kama kuna wanawake wengine umetembea nao ukiwa na hali hiyo pia waambie waende wakatibiwe pia kabla hujatembea nao tena.
Unataka kusema candidiasis ni sexually transmitted?
 
Kitambo sana bwana mmoja akiitwa "Dr. Isaac Ndodi" alikuwa mbobevu wa maswala ya tiba asili na alikuwa na kipindi chake kikirushwa kwenye televisheni kila siku!... na ndo mtu pekee huwa namuamini kwa sababu nina idea ya maswala ya tiba asili... ingawa sikumaliza masomo, nilikula za uso. Kila alichokuwa akifundisha ni kweli! Dawa rahisi ya fungus za sehemu za siri ni kunyoa nywele zote na kupakaa ndimu au limao kote! Fululiza kwa siku 3-7... utapona kabisa!
Tiba asili na ya science ipi bora?? Maana asili wengi huwa ni waongo
 
Eeeh Yan mwanaume ukojoe umechutama duuu unatania au upo serious 😳.. kama unamtoto wa kiume nataman nimwoneπŸ˜‚
Na WATOTO wa kiume 3 na toka wadogo nimewafundisha wakojoe kwa kuchuchumaa wasikojoe wima kama wanyama na wakimaliza wakoshe utupu wao wanae mikono,sababu Muslim mkojo ni najisi na hawezi kusali na mikojo,ukikojoa wima lazima mikojo ikurukie tu miguuni na mkojo wa mwisho lazima umwagike kwenye chupi na pants πŸ‘–πŸ©³
 
Oya Santana Uvinza mwingi baba.
Siajabu hapo suruali mifuko yote umeitoboa Upige gitaa vizuri.
Gita unaliwashia kushoto kulia una kazia.
 
Tiba asili na ya science ipi bora?? Maana asili wengi huwa ni waongo
Akili huna! Huna unachokijua... nikueleweshe kidogo tu kwamba hayo mambo ni interchangeably! Yanategemeana

Kwa sababu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, baada ya kuona au kusikia asili... ukahisi ni uganga

Mche mola wako we kilaza πŸ˜…
 
Wonderfully enough , hiyo ngozi ukiwa unaipikicha pikicha kunacho , inakupa raha mustareheee kama ukiwa unakula mbususuuuuuuuuuuuu mpaka una piziiiiiiiiii
Hii sasa maadili yashakua yakishubwada watu wanaweza kujaa nakufikiria mbususu hii inapelekea utendaji kazi kuwa mdogo ubunifu kuisha
 
Fungus vaa be boxer za cotton sio mpira yaani polyester na zisikubane pia zingatia usafi nyoa minywele ya huko mara kwa mara sio ikae mpaka ijisokote nawa vizuri ukinya hata kukojoa kuwa na tissue ujikaushe pakaa cream za antifungal utapata pharmacy pia pakaa mafuta ya Nazi ukitoka kuoga jikaushe upakae fua taulo mara kwa mara.

Mwanaume mchafu kwangu hapana mwanaume nikiona muonekano wake kiatu mkanda wallet boxer perfume saa najua msafi,jamaa utakuwa unanuka sana makende yake dadek Dem wako kazi anayo [emoji23]utakuta unapenda sana unyonywe kende zako zilambwe wanaume nao wananuka ukute vuzi jasho fungus uchafu hafui boxer ni uvundo wa mzoga.
[emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Back
Top Bottom