Ule Uzi wa Saa 1 Ijumaa wa GENTAMYCINE aliyesema matokeo ya Yanga na Mwarabu ni ama 2-0 au 3-0 umepotelea wapi?

Ule Uzi wa Saa 1 Ijumaa wa GENTAMYCINE aliyesema matokeo ya Yanga na Mwarabu ni ama 2-0 au 3-0 umepotelea wapi?

Ukiifunga Simba ndiyo umekuwa umecheza Champion League na African Super Cup.
Ndiyo maana ushindi wenu mlisheherekea sana. Timu ndogo na changa duniani kisoka ndiyo hufanya kama Yanga kuweka mabango
Unaifunga timu 5 - 1 halafu unaenda kupigwa 3-0. Sasa hapo utasema una kiwango? Ungefungwa sana ni 1-0 au 2-1.
Midomo ndiyo iliwaponza Makolokolo SC fans, mara oooh JKT Watoto, Oooh KMC ni Wabovu, hatimaye kilichowakuta Mbumbumbu SC fans ni aibu ya muhongo [emoji1732][emoji16]
IMG-20231121-WA0017.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Endelea kuropoka tu.View attachment 2824011

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sawa utopolo.
Timu inayotoa dozi ya 5G inafungwaje 3-0?
Goli 1
Goli 2
Goli 3
Hata la kufutia machozi hakuna.
Yale mabango yenu ya 5-1 ni ishara ya timu changa na ndogo kisoka ndiyo hufanya hivyo
Mliandaa hadi supu kujipongeza meifunga Simba. Sasa Al Ahly wanakuja kupiga kwenye mshono.
Ukifika robo fainal unakutana na timu hizi
  • Wydad
  • Al Ahly
  • Mamelod
  • Al hilal
Huchomoki
 
Highlights za 5-1 za Yanga zunanoga bhana, hakuna kadi nyekundu 2, hakuna penati 2 wala hakuna mbeleko ya kuwanyima penati Yanga kama ninyi mlizowanyima Yanga juzi ilibidi mkandwe 6-1.

Marehemu alikuwa na mdomo sana [emoji851]View attachment 2824530

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kombe la dunia lililopita kuna timu iliifunga Argentina. Kule kwao ilikuwa mapumziko yaani hakuna kufanya kazi kusheherekea ushindi wa kuifunga Argentina.
Wala sishangaii yanayoendelea Yanga
 
Sawa baki hapo hapo NBC. Mlipoifunga Simba 5 kwa 1 mlitegemea nao mtawafunga 5? Ila hongera! Jana mecheza mpira sana
Al Ahly naye anakuja kupiga kwenye mshono 4-0
Kwanza hao CR hawajacheza fainal ya shirikisho wala haina medali kwahiyo wasiwababiishe
Ila aliyekula mkono wa nyani je?
 
Na naukumbuka tena kama kawaida yake Alifumba na Kuuliza / Kutuuliza je, tunadhani ni Timu gani kati ya Yanga SC na CR Belzoud FC itafungwa Magoli hayo ama 2 kwa 0 au 3 kwa 0?

Team GENTAMYCINE tunauhitaji huo Uzi ili tuweze Kuuchangia na kumpa Maua yake GENTAMYCINE ambaye pamoja na kwamba tunamchukia (nami nikiwemo) na Kazuiliwa Kuchangia Jukwaa hili la Michezo ila kiukweli Jamaa Kabarikiwa Talanta ya Kipekee na Mwenyezi Mungu ambayo wengi wetu hatuna na huenda ndiyo maana hata tunamchukia kwa Wivu, Roho Mbaya zetu na Kukubalika Kwake sana hapa JamiiForums.

Huo Uzi aliuanzishia katika Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko pengine kutokana na kuzuiliwa Jukwaa la Michezo ila kwa sasa nautafuta siuoni hivyo naomba aliyemuona anitagi tafadhali.

Salute mno tu Kwako GENTAMYCINE.
Wewe unamchukia G? Mwenzio simchukii bali namdharau
 
Ila aliyekula mkono wa nyani je?
Sawa.
Inakuaje unatoa dozi ya 5G halafu unapigwa 3-0? Nilitegemea utafungwa 1-0 au 2-1.
Nilipoona Yanga wanaweka mabango kisa wameifunga Simba magoli 5 nikajua hapo hakuna timu maana timu changa huwa zinafanya hivyo.
Timu kubwa hata wakikufunga magoli 20 huwa wanakaa kimya ni sawa na mtu aliyekula wali nyama anatamngazia kila na mtu aliyekula wali nyama akakaa kimya.
 
Usiwafundishe moderators kazi yao,ukiona wako kimya ujue anawapoza.
Sikuwahi kujua kumbe nawe ni Mpumbavu, Mswahili na Mnafiki hivi. Kwahiyo nawe Unaamini kuwa Mimi au hii ID yangu ni ya huyo Mume au Basha wenu GENTAMYCINE? Halafu umesema kuwa huenda Cognizant nikawa Nawahonga au Nawapoza Moderators je, Ukiadhibiwa au ukiambiwa utoe Ushahidi ili Usiadhibiwe kwa BAN utaitoa? Nimekudharau kuliko ujuavyo na uwazavyo.
 
Back
Top Bottom