Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Midomo ndiyo iliwaponza Makolokolo SC fans, mara oooh JKT Watoto, Oooh KMC ni Wabovu, hatimaye kilichowakuta Mbumbumbu SC fans ni aibu ya muhongo [emoji1732][emoji16]Ukiifunga Simba ndiyo umekuwa umecheza Champion League na African Super Cup.
Ndiyo maana ushindi wenu mlisheherekea sana. Timu ndogo na changa duniani kisoka ndiyo hufanya kama Yanga kuweka mabango
Unaifunga timu 5 - 1 halafu unaenda kupigwa 3-0. Sasa hapo utasema una kiwango? Ungefungwa sana ni 1-0 au 2-1.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app