General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Nimetengenezewa njia hatari,usiombe umkute mtengeneza njia ni mlafi mbona utajuta anapiga nusu hindi badala ya njia mbili tu lohNilidanganywa vingi...
Nilikuwa napenda sana kulia lia hovyo pengine kitu kidogp nalia,niliambiwa nkilia usiku ni kuita wachawi na wataondoka na sauti yangu nitakuwa bubu. Nikaacha habari za kujiliza Liza na madeko
Kingine kula muhindi unaambiwa njoo nikuwekee njia ya kwenda kwenu (wanamtaka origin yako huko)
Ha ha ha ha ha bila shaka na wewe umeshanunua watoto kadhaa mkuuMama alinambia hivi "nilikununua hospital, niliona watt weeengi ila nilipofika kwako tuu,ukanichekeaaa nami nikafurahi na kukuchekea pia,nikakuchua ukawa mwanagu mzuuuri hadi Leo"... Looh niliamini eti nimenunuliwa hospital mpaka nipokuja kujua hahahhaha so funny
Ukimchungulia MTU mzima unapofuka macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] n.k
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukimeza peke ya mchungwa mti lazima uote kichwani
kumbe humu tunachati na maitiNilidanganywa nitaishi milele lakn cha ajabu nilikufa
Ha ha ha ha ha ha ha...na wengi ndio walikuwa hivoNimetengenezewa njia hatari,usiombe umkute mtengeneza njia ni mlafi mbona utajuta anapiga nusu hindi badala ya njia mbili tu loh
Ndio niko kwenye harakati mkuu za kumake money ya kwenda kuwanunua[emoji13] [emoji13]Ha ha ha ha ha bila shaka na wewe umeshanunua watoto kadhaa mkuu
Wengine ukinyooshea kidole jeneza likiwa linapitishwa kuelekea makaburini kidole chako kina ganda[emoji23]Wengine wanasema ukinyoosha kidole kwenye makaburi msiba unafuata kwenu,la sivyo ukunje ngumi ndio uelekeze makaburini