Utaipata tena maeneo ya Ubungo yupo dalali mmoja mzee wa makamo. Shukia Legho nenda na barabara inayopanda kwenye vibanda wanao choma kiti moto, ukifika kiwanda cha Tanica cha kahawa upande huo huo wa kulia utaona kibanda cha kushona viatu na genge ulizia dalali wa nyumba.Nataka maeneo ya ubungo ubungo hapo au mwenge nisarandie warembo wa chuo mzeya.
Hahahaha SawaTunajua wewe ni ke kwaiyo home ni pazuri lakini kwa me awezi kua huru.
Wewe ni nomaKati ya vitu, muhimu utakiwi kukosa ghetto, mtoto wa kiume ni Condom, kuna muda unapata mbuzi za ghafla, na zinatikiwa zichinjwe immedietly.. Ukimwi upo, na una ua.. View attachment 2243866
Sana yani,nimeishi hapo kiasi chake nikaondoka nikarudi town ila now nimerudi tena nyanda za juu kusini. Niko Mafinga hapa,life ni cheap pia na pesa ya madafu ipo kiasi chake.Kama kawa ,hapa life ni cheap sana
Hahha kabisa yani.
utatoboa kweli?View attachment 2244280geto la fundi[emoji28]
Mziki umeleta zengwe nnacheza nao
Iko sawa nlimalza jana ileileutatoboa kweli?
Mkuu kwa bei hiyo bila shaka kiwanja kipo juu ya mawenimenunua kiwanja cha mchongo.
nataka kuweka kageto ka mwendokasi baada ya nusu mwaka
Chumba na sebuleView attachment 2245257
Ukifika kwako osha vizuriZile mboga za sokoni usiziamini Sana, hawaoshi vizuri kuondoa wadudu, takataka na michanga yote. Wanatumia maji yasiyo Safi/salama. Labda uwe unamfaham muuzaji.
Dish washer ni uharibifu wa umeme maana inachagua vyombo, haioshi sufuria.Mbona Dish-washer zipo, sijawahi kutumia ila najua zipo rich people wanatumia
Ila sasa kwa wewe unaopika ugali sijajua sasa [emoji23]
Nitengenezee na wangu,bufa alitoi base kabisa[emoji54]View attachment 2244280geto la fundi[emoji28]
Mziki umeleta zengwe nnacheza nao
Hongera sananimenunua kiwanja cha mchongo.
nataka kuweka kageto ka mwendokasi baada ya nusu mwaka
Chumba na sebuleView attachment 2245257
Nitengenezee na wangu,bufa alitoi base kabisa[emoji54]
Huyu mzee katusaidia kumbe wengi😂Utaipata tena maeneo ya Ubungo yupo dalali mmoja mzee wa makamo. Shukia Legho nenda na barabara inayopanda kwenye vibanda wanao choma kiti moto, ukifika kiwanda cha Tanica cha kahawa upande huo huo wa kulia utaona kibanda cha kushona viatu na genge ulizia dalali wa nyumba.
Anaitwa Mzee Shayo. Fasta utamuona, atakusaidia sana.
Ni la mtumbaPole.....huenda n speaker au ic yake
Hata wewe unamjua [emoji23][emoji23][emoji23],yuko poa sana mkuu.Huyu mzee katusaidia kumbe wengi[emoji23]
Unakomaa naye fundi hapo hapo mpaka kieleweke. Tenga siku nzima ili uhakikishe unakamilisha kazi, tena kabla hajaanza mwambie kabisa unaondoka nayo huiachi.Ni la mtumba
Nilimleta fundi,kalifunguana kashindwa,
Sasa naogopa kulipeleka kwa mafundi wasije nibadilishia vitu,,,
Ndani bila mdundo,kuna poozaaa