7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,729
- 7,966
Utaipata tena maeneo ya Ubungo yupo dalali mmoja mzee wa makamo. Shukia Legho nenda na barabara inayopanda kwenye vibanda wanao choma kiti moto, ukifika kiwanda cha Tanica cha kahawa upande huo huo wa kulia utaona kibanda cha kushona viatu na genge ulizia dalali wa nyumba.Nataka maeneo ya ubungo ubungo hapo au mwenge nisarandie warembo wa chuo mzeya.
Anaitwa Mzee Shayo. Fasta utamuona, atakusaidia sana.