Ulianzaje kukaa gheto?

Hongera endelea kupambana,ila cjaelewa iyo elfu hamsini matumiz yake kwamba ulitoa kodi miez sita,ukanunua na godoro ikabaki elfu 30 ,
Nawasilisha.
 
All the best ndugu
 
Word is bond [emoji109]
 
Safi sana,ulivyotoka na hatua utaendelea kupiga,kuliko ulivyokuwa kwenye Comfort zone.
 
Sentensi yako ya mwisho nimeipenda sana.
 
All the best,we ni shujaa so far!!
 
Niko Kyela kwa mambo fulani, sababu nitakuwa huku kwa miezi 6 nikaamua panga, bana nyumba za huku mbayaaaa.
Tena hapo Kyela mjini

Misumari inatoka yenyewe ukutani
[emoji23]dah we komaa tu mkuu ukimalza mitikasi kimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…