Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Dah aisee home hata wadogo zako watakudharau tu! Machaliu na hata mademu kisa upo home na upo over 23 unamwagilizia bustani!

Yaani nikipata chance tu faasta naamsha mie home life la kifala sana lakini ugumu wa life kitaa ndo kisanga

Its better to leave family house na kama ni mafanikio utayatafuta hukohuko mbele kwa mbele sio upate mafanikio home ndo usepe!!

START YOUR STRUGGLE ON YIUR OWN!
 
wazee kama hao ni kuwaambia ukweli, kuwa sitaishi kwako milele, lazima itafika hatua nitatakuwa kujitegemea kwa kila kitu.

Mara nyingi familia zenye pesa ndio wana hiyo tabia, ila sisi wa maisha ya kawaida yani siku unahama home mzazi anaonesha kama kuumia hivi kumbe kimoyo moyo anafurahi ili umpunguzie mzigo
Hii njia inaweza kuwa nzuri

Kuna dogo angu Fulani kamaliza chuo mwaka Jana alikuwa anaishi geto na geto lilijaa kila kitu sasa shule imeisha mdingi yake kakomaa dogo arudi home hahaha

Kuna madingi wana mambo ya kidekteta uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Getto kuishi nilianza nikiwa na miaka 19..Nimesoma bweni kuanzia form one mpka six,nkajiapiza chuo sikai hostel hata kwa dawa,na kwakua nilikua na lengo la kusaka life dar,nilichagua vyuo vya dar tu na nikabahatika kupata kimoja wapo,kuna ndugu yangu alikua na nyumba dar na akahamishiwa mkoani,so akapangisha nyumba nzima na kikabaki chumba kimoja kibovu sana hakina hata sakafu ya cement,nikanunua godoro,kitanda na kapeti maza aliniagizia toka home life likaanza,kutokana na nilivyolelewa home ile familia iliyopanga ile nyumba yote pale walinipenda sana nikawa kama mwanafamilia hivi wakanipa Tv niweke geto kwangu,misosi napewa yani hakuna tofauti na home,ikafika kipindi had nkichelewa kurud naulizwa,siku niliingiza demu kiwizi kinoma na asubuhi kumtoa wakanisaidia masista watoto wa yule mama,nikaona hapa siwezi endelea nikahamia mabibo pale chumba 50k,na huku natafta mishe mana chuo nilikua nasoma jioni,mpaka na maliza chuo nilikua na nshapata mishe ya videography na picha so haikua ngumu sana,mpaka sasa niko fresh namhudumia maza mkoa,namsomesha mdogoangu na naishi life ninalotaka dar kama kijana,nilihamia geto self contained baada ya kuona kipato kinaruhusu sasa nataka nichukue nyumba nzima,kipindi kigumu nimepitia sana ila sijawah kosa kula kwakua kila ninapokaa naishi vzur sana na wapangaji wenzangu na mimi napenda sana watoto hivyo kama unavyojua mwanamke yeyote ukimpenda mtoto wake anakuona wa maana sana hivyo misosi hii nakula sana,siku nisipopika wanajua tu utashangaa unaletewa tu msosi,ndomana naitwa ANKO sababu ya watoto.

Usiogope kuanza kujitegemea mana ukishindia mkate siku 3 akili inafunguka yenyewe.

Am only 23.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bigup sana bro...sema hyo kupenda watoto wa watu angalia usje kula.mama zao[emoji3]

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Kweli kaka
Dah aisee home hata wadogo zako watakudharau tu! Machaliu na hata mademu kisa upo home na upo over 23 unamwagilizia bustani!

Yaani nikipata chance tu faasta naamsha mie home life la kifala sana lakini ugumu wa life kitaa ndo kisanga

Its better to leave family house na kama ni mafanikio utayatafuta hukohuko mbele kwa mbele sio upate mafanikio home ndo usepe!!

START YOUR STRUGGLE ON YIUR OWN!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mwanangu alihama home kibishi akaenda kupanga baada ya miezi Sita hivi geto likawa limeshakaa Poa. Oneday ilikua weekend akaenda club kujirusha alivyorudi night wakora wamevunja wakabeba kila kitu.

Jamaa akaona isiwe tabu akarudi home. Haikupita hata wiki moja ankow akaja kuwatembelea na kumkuta jamaa home akamuuliza vip? Umekuja kusalimia akajibu hapana nimeibiwa.

Anko Akamcheka sana akamwambia mwanaume akiamua kuanza maisha harudi tena home.

Mshkaji akaondoka akarudi getto kwake akatandoka mabox maisha yakaendelea.
 
Nina mwanangu alihama home kibishi akaenda kupanga baada ya miezi Sita hivi geto likawa limeshakaa Poa. Oneday ilikua weekend akaenda club kujirusha alivyorudi night wakora wamevunja wakabeba kila kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa akaona isiwe tabu akarudi home. Haikupita hata wiki moja ankow akaja kuwatembelea na kumkuta jamaa home akamuuliza vip? Umekuja kusalimia akajibu hapana nimeibiwa. Anko Akamcheka sana akamwambia mwanaume akiamua kuanza maisha harudi tena home.

Mshkaji akaondoka akarudi getto kwake akatandoka mabox maisha yakaendelea.
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa akarudisha kwa kipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom