Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Duh mimi nijaribu kupanga gheto moja hivi maeneo flani hapa mwanza nililipa kodi ya miezi minne,,lakini nikawa sina mchongo hata hela ya kula ikawa tiz,.nikawaza sana nikapata jibu kuwa hata yesu nae alirudi kwa baba yake,,,time hii niko na dogo tunakatia kitumbua.
Hahaaaa, mkuu umenichekesha mnoo, ukaona urudishe mpira Kwa kipa[emoji3] [emoji3] [emoji3] .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh mimi nijaribu kupanga gheto moja hivi maeneo flani hapa mwanza nililipa kodi ya miezi minne,,lakini nikawa sina mchongo hata hela ya kula ikawa tiz,.nikawaza sana nikapata jibu kuwa hata yesu nae alirudi kwa baba yake,,,time hii niko na dogo tunakatia kitumbua.
[emoji23][emoji23] we ndo ulifeli...jipange utoke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuna baadhi ya vijana wenzangu wao hufurahia kuwa na gheto kwa ajili ya kufanya tu umalaya badala ya kufikiria kuwa ni hatua ya kwanza ya maisha yake aitumie nafsi aliyoipata kusogea mbele,,mwisho wa siku anaishia kuzalisha wanawake hovyo anakuja kuoa mwanamke asiyekuwa na matarajio nae wanazaa watoto wakiwa chumba kimoja kipato chake hakijakuwa umaskini tayari maana inakuwa too late

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea jambo zuri sana ndugu...mim mwenyew hua nktaka kuleta dem nawazaga saana...!!maana madem hupenda mtelemko....akshaona umjipanga vzuri jua inafuata mimba...!!tuwe makini saana...tujipange kimaisha kwanza...!!ukipata mtot tu jua kuwa umeharibu kila kitu....ukijumlisha n hz kaz zetu zisizokuw na majira mbn tutahaha km vchaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah mleta mada unanikumbusha mbali sana nakumbuka kitambo icho nipo zangu home sina mbele wala nyuma amadi nikakutana na mdada mmoja hivi iyo ni 2014 basi tukaanza mapenzi mtu mzima ikabid niamie kwa bi mdada kuanzia hapo ndio ukawa mwanzo wa maisha ya geto na ndio akili ikafunguka
 
Dah mleta mada unanikumbusha mbali sana nakumbuka kitambo icho nipo zangu home sina mbele wala nyuma amadi nikakutana na mdada mmoja hivi iyo ni 2014 basi tukaanza mapenzi mtu mzima ikabid niamie kwa bi mdada kuanzia hapo ndio ukawa mwanzo wa maisha ya geto na ndio akili ikafunguka
Hahah, itabidi umuandalie zawadi mwanana huyo bi mdada coz ndio alikufungulia njia
 
Jamani yaani huu uzi kidogo nimeuelewa sema tatizo kila mtu anasema ishu ya mkopo je kama una huo mkopo.

Sema ipo vizuri mi kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo form 2. ila ki ukweli life la hom sipendi kiivyo. Sema kama kuaanza geto must hapa hom nichukue kitanda nachokitumia pia kwa miezi ya mwanzo nitakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya ah narudi hom.

Dah sasa kwa uandishi huu naweza pumua maana dah...

Wakuu au kuna ishu nyingine hapo nimekosea. Najua kuna jamaa atakuja kunikosoa tu atasema sijaweka alama za uandishi
 
Jamn yaan huu uz kidg nimeuelewa xema tatizo kila mtu anasema ixhu ya mkopo je kama una huo mkopo..... Xema ipo vizur mi kutu kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo advanc ila ki ukwel life la hom xi pend kiivyo. Xema kama kuaanz geto muxt hap hom nichukue kitanda nachkitumia pia kwa miez ya mwanzo ntakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya aaaaaaaahhh mbeleeeeee....NAPENDA LIFE YA GETTHO

Aisee kweli wewe upo advance dogo!
manengelo njoo uone mwandiko wa mdogo wako! 😂
 
Jamn yaan huu uz kidg nimeuelewa xema tatizo kila mtu anasema ixhu ya mkopo je kama una huo mkopo..... Xema ipo vizur mi kutu kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo advanc ila ki ukwel life la hom xi pend kiivyo. Xema kama kuaanz geto muxt hap hom nichukue kitanda nachkitumia pia kwa miez ya mwanzo ntakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya aaaaaaaahhh mbeleeeeee....NAPENDA LIFE YA GETTHO
We dogo upo advance na haujui kuandika asee?
 
Jamn yaan huu uz kidg nimeuelewa xema tatizo kila mtu anasema ixhu ya mkopo je kama una huo mkopo..... Xema ipo vizur mi kutu kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo advanc ila ki ukwel life la hom xi pend kiivyo. Xema kama kuaanz geto muxt hap hom nichukue kitanda nachkitumia pia kwa miez ya mwanzo ntakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya aaaaaaaahhh mbeleeeeee....NAPENDA LIFE YA GETTHO
Dadeki...
 
Back
Top Bottom