Bufa lipo mkuu...nlihakikisha nmenunua kila kitu nd nkasepa...kama kuna kaumeme hapo vuta bufa chap kamanda mambo yaende poa
Huu uzi naufanyia kaz mzur sana hasa comments za wadau znanipa hamasa za kukaa gheto
Sent from my iPhone using JamiiForums
Akama hauna mishe ya pesa wala usijaribu, utakuja kurudi kwenu kwa aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii njia inaweza kuwa nzuri
Kuna dogo angu Fulani kamaliza chuo mwaka Jana alikuwa anaishi geto na geto lilijaa kila kitu sasa shule imeisha mdingi yake kakomaa dogo arudi home hahaha
Kuna madingi wana mambo ya kidekteta uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Bigup sana bro...sema hyo kupenda watoto wa watu angalia usje kula.mama zao[emoji3]Getto kuishi nilianza nikiwa na miaka 19..Nimesoma bweni kuanzia form one mpka six,nkajiapiza chuo sikai hostel hata kwa dawa,na kwakua nilikua na lengo la kusaka life dar,nilichagua vyuo vya dar tu na nikabahatika kupata kimoja wapo,kuna ndugu yangu alikua na nyumba dar na akahamishiwa mkoani,so akapangisha nyumba nzima na kikabaki chumba kimoja kibovu sana hakina hata sakafu ya cement,nikanunua godoro,kitanda na kapeti maza aliniagizia toka home life likaanza,kutokana na nilivyolelewa home ile familia iliyopanga ile nyumba yote pale walinipenda sana nikawa kama mwanafamilia hivi wakanipa Tv niweke geto kwangu,misosi napewa yani hakuna tofauti na home,ikafika kipindi had nkichelewa kurud naulizwa,siku niliingiza demu kiwizi kinoma na asubuhi kumtoa wakanisaidia masista watoto wa yule mama,nikaona hapa siwezi endelea nikahamia mabibo pale chumba 50k,na huku natafta mishe mana chuo nilikua nasoma jioni,mpaka na maliza chuo nilikua na nshapata mishe ya videography na picha so haikua ngumu sana,mpaka sasa niko fresh namhudumia maza mkoa,namsomesha mdogoangu na naishi life ninalotaka dar kama kijana,nilihamia geto self contained baada ya kuona kipato kinaruhusu sasa nataka nichukue nyumba nzima,kipindi kigumu nimepitia sana ila sijawah kosa kula kwakua kila ninapokaa naishi vzur sana na wapangaji wenzangu na mimi napenda sana watoto hivyo kama unavyojua mwanamke yeyote ukimpenda mtoto wake anakuona wa maana sana hivyo misosi hii nakula sana,siku nisipopika wanajua tu utashangaa unaletewa tu msosi,ndomana naitwa ANKO sababu ya watoto.
Usiogope kuanza kujitegemea mana ukishindia mkate siku 3 akili inafunguka yenyewe.
Am only 23.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaaaaaahaaaaaaa........ametisha sana maana sio rahisi
Yani bora urud kwa aibu ila ulijaribu..ukisema usubr mchongo akili yako italala sana..Ukikaa geto mbona akil zitakuja tuAkama hauna mishe ya pesa wala usijaribu, utakuja kurudi kwenu kwa aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichoka maisha ya kupangiwa na mshua.Nilipanga chumba kabla hata sijamaliza chuo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee home hata wadogo zako watakudharau tu! Machaliu na hata mademu kisa upo home na upo over 23 unamwagilizia bustani!
Yaani nikipata chance tu faasta naamsha mie home life la kifala sana lakini ugumu wa life kitaa ndo kisanga
Its better to leave family house na kama ni mafanikio utayatafuta hukohuko mbele kwa mbele sio upate mafanikio home ndo usepe!!
START YOUR STRUGGLE ON YIUR OWN!
inakubidi uwe na roho njuri kuwaazima wana geto!Narudi kusoma mwaka huu staki kukaa hostel mimi napanga getto bro anakaza sana et nikae hostel nasema noooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh mzee staki kabika kukaa na wana nawaza kutafuta demu wa kukaa naeinakubidi uwe na roho njuri kuwaazima wana geto!
hehe sawa mkuuTeh teh mzee staki kabika kukaa na wana nawaza kutafuta demu wa kukaa nae
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kikwete alitunyang'anya nyumba ya shirika tukatolewa nduki ndio mwanzo wa kukaa gheto...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani usje kaa hostel mkuuNarudi kusoma mwaka huu staki kukaa hostel mimi napanga getto bro anakaza sana et nikae hostel nasema noooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa akarudisha kwa kipaNina mwanangu alihama home kibishi akaenda kupanga baada ya miezi Sita hivi geto likawa limeshakaa Poa. Oneday ilikua weekend akaenda club kujirusha alivyorudi night wakora wamevunja wakabeba kila kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa akaona isiwe tabu akarudi home. Haikupita hata wiki moja ankow akaja kuwatembelea na kumkuta jamaa home akamuuliza vip? Umekuja kusalimia akajibu hapana nimeibiwa. Anko Akamcheka sana akamwambia mwanaume akiamua kuanza maisha harudi tena home.
Mshkaji akaondoka akarudi getto kwake akatandoka mabox maisha yakaendelea.