Ulianzaje kukaa gheto?

Wanasema kama hujatoboa basi wanawake weka mbali,hawa ndo wanaotufelisha kama ukiendekeza
 
Unataka sifa zipi mkuu
 
Naamu,tunatakiwa kuwa na emergency fund,lakini pia sinking fund ni nzur sana kwa mahitaji tunayoyajua yanakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…