Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Hicho unakificha chobingo hatakiwi kuona mtu yoyote yule[emoji28]Nawaza umemwingiza mtu kwa kujiaminisha hawezi kuiba hela unakuta kasepa na kibubu chenyewe[emoji28][emoji28][emoji16]
Ado ado washkaji nimevunja kibubu hapa nimechoka sina hata mia mazee,nimejilipua lakini fresh hela inatafutwaView attachment 2427087
Vyote nimechukua 350Mkuu gharama yake sh. Ngap
Ndio zile za strips??Ukitia na taa za L.E.D apo unyama wake sio wa nchi hii apo labda mchawi tanesco ndo atakwamisha kufurahia matunda yako.
Kariakoo efu 55-50Nilikiona kinauzwa 35k Aliexpress
Hahaa huku lazima iwe juu wapate faidaKariakoo efu 55-50
Hongera sanaAdo ado washkaji nimevunja kibubu hapa nimechoka sina hata mia mazee,nimejilipua lakini fresh hela inatafutwaView attachment 2427087
Kama iziNdio zile za strips??
Uko sahihi[emoji817][emoji109]Kupeleka ghetto kila mtu ni kujitafutia mabalaa. Ni muhimu sana kuheshimu mahala tunapoweka mbavu zetu.
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji119]watu kiboko nyie, Kuwekewa pic tu ushadescribe na boxerBoxer za bei rahisi
[emoji91][emoji91]
Wanasema kama hujatoboa basi wanawake weka mbali,hawa ndo wanaotufelisha kama ukiendekezaOyaaaaa, wanangu wa magetoni niaaaaaje....
Ishu moja kwa Leo meeeen.
Tujarib kuset na kuziheshimu harakat tunazosukuma zitufikishe tunakohitaji.
Binafsi nlianza kwa kasi ya 4G kufukuzia malengo yangu,.. ila kwa sasa yameganda kdg kwa sababu nliendekeza sana wachuchu[emoji848][emoji19].
Mitikasi ninayofanya hunipa faida ya around 30k Hadi 50k kwa siku, ila kdg kibubu hakiongezeki uzito kwa sababu nimekuwa na matumizi ya ovyo ovyo.
Baada ya kupiga hesabu kwa wiki nzima nmegundua mademu wananipiga sana an.
Kwa sasa nmeamua kuacha kuwapishanisha wachuchu getto angalau nirudi kwa spidi ya uchakarikaji nlokuwa nayo before.
Wachuchu wanafelisha sana mishe
Unataka sifa zipi mkuuNimekua nikiufuatilia huu uzi tangu nipo shule mpaka nimeajiliwa kwenye kampuni fulani hapa jijini Dar na ninaishi nyumbani lakini ni muda sasa wa kwenda kupanga ila changamoto kila chumba ninachopelekwa na madalali hakina sifa ninazozihitaji mimi yaani sijui wenzangu mnatumia mbinu gani ya kupata magheto makali
Naamu,tunatakiwa kuwa na emergency fund,lakini pia sinking fund ni nzur sana kwa mahitaji tunayoyajua yanakujaUmeongea ukwel saving ni muhimu sana na saving nzuri niile unayo iweke kwenye vitu vinavyo ingiza pesa au vitakuja kupanda thaman uko mbeleleni mfano ardhi , kingine tuwe na saving ya mambo ya emergency mfano ugonjwa na kutokuwa na mishe kwa mda flan.
Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
Mkuu hapa ukitaka kuchota maji kwenye ndoo unapanda juu ya friji au kwenye hiyo meza ya kioo hapo ndugu...?View attachment 2402769
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ah ah Mkuu ilo pazia ni la dirishani nilivyo enda kununua waliniambia iyo ndio new fashion [emoji1787][emoji1787][emoji1787]