financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaaaa, mkuu umenichekesha mnoo, ukaona urudishe mpira Kwa kipa[emoji3] [emoji3] [emoji3] .Duh mimi nijaribu kupanga gheto moja hivi maeneo flani hapa mwanza nililipa kodi ya miezi minne,,lakini nikawa sina mchongo hata hela ya kula ikawa tiz,.nikawaza sana nikapata jibu kuwa hata yesu nae alirudi kwa baba yake,,,time hii niko na dogo tunakatia kitumbua.
inakubidi uwe na roho njuri kuwaazima wana geto!
[emoji23][emoji23] we ndo ulifeli...jipange utokeDuh mimi nijaribu kupanga gheto moja hivi maeneo flani hapa mwanza nililipa kodi ya miezi minne,,lakini nikawa sina mchongo hata hela ya kula ikawa tiz,.nikawaza sana nikapata jibu kuwa hata yesu nae alirudi kwa baba yake,,,time hii niko na dogo tunakatia kitumbua.
Kuwapa wana geto wachapie kaz zao ni kushusha thamani geto lakoDah hiki kitu kinanigombanisha sana na girlfriend wangu.. washkaji wanataka kuja ghetto kupiga show zao .. babe hapendi.. ila sio kitu kizuri kweli.. sa hivi wanangu watanchukia tuu
Nyie msichangie,someni tu uzi [emoji23]KKB Tunakomenti wapi ?
Nota Bene.
KKB - Kula Kulala kwa Baba.
Sawa mzee baba.
Umeongea jambo zuri sana ndugu...mim mwenyew hua nktaka kuleta dem nawazaga saana...!!maana madem hupenda mtelemko....akshaona umjipanga vzuri jua inafuata mimba...!!tuwe makini saana...tujipange kimaisha kwanza...!!ukipata mtot tu jua kuwa umeharibu kila kitu....ukijumlisha n hz kaz zetu zisizokuw na majira mbn tutahaha km vchaaIla kuna baadhi ya vijana wenzangu wao hufurahia kuwa na gheto kwa ajili ya kufanya tu umalaya badala ya kufikiria kuwa ni hatua ya kwanza ya maisha yake aitumie nafsi aliyoipata kusogea mbele,,mwisho wa siku anaishia kuzalisha wanawake hovyo anakuja kuoa mwanamke asiyekuwa na matarajio nae wanazaa watoto wakiwa chumba kimoja kipato chake hakijakuwa umaskini tayari maana inakuwa too late
Sent using Jamii Forums mobile app
Babe anaogopa watakuja kuwaulizia jamaa zao kwenye ghetto lakoDah hiki kitu kinanigombanisha sana na girlfriend wangu.. washkaji wanataka kuja ghetto kupiga show zao .. babe hapendi.. ila sio kitu kizuri kweli.. sa hivi wanangu watanchukia tuu
Bado upo kwa baba mkuu?KKB Tunakomenti wapi ?
Nota Bene.
KKB - Kula Kulala kwa Baba.
Hahah, itabidi umuandalie zawadi mwanana huyo bi mdada coz ndio alikufungulia njiaDah mleta mada unanikumbusha mbali sana nakumbuka kitambo icho nipo zangu home sina mbele wala nyuma amadi nikakutana na mdada mmoja hivi iyo ni 2014 basi tukaanza mapenzi mtu mzima ikabid niamie kwa bi mdada kuanzia hapo ndio ukawa mwanzo wa maisha ya geto na ndio akili ikafunguka
Jamn yaan huu uz kidg nimeuelewa xema tatizo kila mtu anasema ixhu ya mkopo je kama una huo mkopo..... Xema ipo vizur mi kutu kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo advanc ila ki ukwel life la hom xi pend kiivyo. Xema kama kuaanz geto muxt hap hom nichukue kitanda nachkitumia pia kwa miez ya mwanzo ntakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya aaaaaaaahhh mbeleeeeee....NAPENDA LIFE YA GETTHO
We dogo upo advance na haujui kuandika asee?Jamn yaan huu uz kidg nimeuelewa xema tatizo kila mtu anasema ixhu ya mkopo je kama una huo mkopo..... Xema ipo vizur mi kutu kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo advanc ila ki ukwel life la hom xi pend kiivyo. Xema kama kuaanz geto muxt hap hom nichukue kitanda nachkitumia pia kwa miez ya mwanzo ntakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya aaaaaaaahhh mbeleeeeee....NAPENDA LIFE YA GETTHO
Dadeki...Jamn yaan huu uz kidg nimeuelewa xema tatizo kila mtu anasema ixhu ya mkopo je kama una huo mkopo..... Xema ipo vizur mi kutu kujiripua fasta tu sema ndo kwanz nipo advanc ila ki ukwel life la hom xi pend kiivyo. Xema kama kuaanz geto muxt hap hom nichukue kitanda nachkitumia pia kwa miez ya mwanzo ntakua na depend kwa mzee ila life ikichanganya aaaaaaaahhh mbeleeeeee....NAPENDA LIFE YA GETTHO
Aisee kweli wewe upo advance dogo!
manengelo njoo uone mwandiko wa mdogo wako! ๐
KKB Tunakomenti wapi ?
Nota Bene.
KKB - Kula Kulala kwa Baba.
Hapo inawezakuwa anasoma HKL. Ila tatizo la kuandika hovyo linazidi kuwa kubwa TZ, hadi wakenya watatushinda kiswahili fasaha.๐๐๐umemitag tu kusoma alichoandika nikajikuta nakunja uso..dah jaman kizaz hik๐๐