Ulianzaje kukaa gheto?

Mi mwenyewe nilienjoy Sana maisha ya saut nakumbuka Hadi hostel niliyokuwa nakaa inaitwa Paradise[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha[emoji2][emoji3]View attachment 2436995
Apo uhifadhi vizuri maana ukiuweka ovyo utagandiana na kutengeneza vijidudu ambapo mpaka upike tena inabid uweke kwenye jua. Nakumbuka bimkubwa alikuwa anatia kwenye ndoo na anaweka kipande cha mkaa.

Btw hongera sana ghetto limecool mazaga yote ya maana unayo including Animation movies[emoji16]
 
Pamoja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…