Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Aririiiiiiiii meza ya jiko km yanguuuu, had rangi.

emoji833.png
4 real. Rangi tamuuu hiyooo.
Jamani
Aririiiiiiiii meza ya jiko km yanguuuu, had rangi.

[emoji833] 4 real. Rangi tamuuu hiyooo.
Weee😱😱
 
Sema unatoka mbeya na ulikua unasoma SAUT na ulikua unaishi Kati ya Nyamalango,sweya,masha au nganza

Katika vyuo wanafunzi wana enjoy maisha basi ni wanafunzi wa SAUT mbali na tabu za masomo mengi chuoni ila nje ya chuo maisha ni matam SAUT aisee na yanakuruhusu kujijenga kimaisha
Mi mwenyewe nilienjoy Sana maisha ya saut nakumbuka Hadi hostel niliyokuwa nakaa inaitwa Paradise[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha[emoji2][emoji3]View attachment 2436995
Apo uhifadhi vizuri maana ukiuweka ovyo utagandiana na kutengeneza vijidudu ambapo mpaka upike tena inabid uweke kwenye jua. Nakumbuka bimkubwa alikuwa anatia kwenye ndoo na anaweka kipande cha mkaa.

Btw hongera sana ghetto limecool mazaga yote ya maana unayo including Animation movies[emoji16]
 
Apo uhifadhi vizuri maana ukiuweka ovyo utagandiana na kutengeneza vijidudu ambapo mpaka upike tena inabid uweke kwenye jua. Nakumbuka bimkubwa alikuwa anatia kwenye ndoo na anaweka kipande cha mkaa.

Btw hongera sana ghetto limecool mazaga yote ya maana unayo including Animation movies[emoji16]
Pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom